JABALI LA KARNE
JF-Expert Member
- Apr 19, 2021
- 3,093
- 5,850
Hukumu ya kesi moja haifuti tuhuma za kesi nyingine.Kashahukumiwa miaka 30,kesi gani tena za kipuuzi km hizo zinaendelea?si atumikie kifungo tu.
Huu ni upumbavu kukaa tunajadili upuuzi wa mtu aliyefungwa.
Kashafungwa otherwise mumuachie mumuhukumu tena.
Huu ni uonevu.
Nchi ni yetu sote,
Hamna binadamu yuko sawa mnamtesa mtu kijingajinga tu.
Kama Sabaya alikosea si anaonywa na adhabu aliyopata inatosha.
Nyie watu mnaishi kama wanyama aisee.
Mwenye namba za mchumba wake sabaya anipe connection ili nikale mzigo kimasiharaDogo atajuta babake aliyemtia ujinga huu kufa ghafla.
Yaani akitoka jela atakuta mchumba wake ana watoto 3, mlio karibu naye mpatieni ujumbe huu...kwamba maisha kila mtu huvuna alichopanda.
Bado ana kesi nyingi sanaZitaenda pamoja hakuna shida
Mkuu wewe ndio ungekuwa umedhulumiwa mamilioni usingesema haya maneno, usimfikirie Sabaya tu wafikirie pia victims. Kupitia hii kesi Mzee Mrosso anaweza kupata pesa zake angalau kidogoKashahukumiwa miaka 30,kesi gani tena za kipuuzi km hizo zinaendelea?si atumikie kifungo tu.
Huu ni upumbavu kukaa tunajadili upuuzi wa mtu aliyefungwa.
Kashafungwa otherwise mumuachie mumuhukumu tena.
Huu ni uonevu.
Nchi ni yetu sote,
Hamna binadamu yuko sawa mnamtesa mtu kijingajinga tu.
Kama Sabaya alikosea si anaonywa na adhabu aliyopata inatosha.
Nyie watu mnaishi kama wanyama aisee.
Mkuu unajitambua kweli mpaka unaandika hivi
Ni mambo ya aibu snKasi hii bila hukumu hizi kumhusisha Magu, si sahihi, mahakamani ifikie hatua ione haja ya kutoa neno dhidi ya Magu, hamna asiyejuwa hawa walifanya kwa amri/baraka zake, sawa tu kuwa hamna asiyejuwa kuwa kesi ya Mbowe ni sehemu ya adhari za Magu!
Ni jangili sn yuleHapo naskia alkua hadhulum. Alisaidia Sana watu waliodhulumiwaga haki zao hapo iringa
AshughulikiweHuyu nae alikuwa anamajivuno, kuna siku alikuwa anauliza unanijua mimi nani? Siku hizi kapoa km maji ya mtungi
kwa kweliInaitwa "the last nail to his pretty coffin"!