Ole Sabaya na wenzake wakutwa na kesi ya kujibu kwenye mashtaka ya Uhujumu Uchumi

Ole Sabaya na wenzake wakutwa na kesi ya kujibu kwenye mashtaka ya Uhujumu Uchumi

Kashahukumiwa miaka 30,kesi gani tena za kipuuzi km hizo zinaendelea?si atumikie kifungo tu.
Huu ni upumbavu kukaa tunajadili upuuzi wa mtu aliyefungwa.
Kashafungwa otherwise mumuachie mumuhukumu tena.
Huu ni uonevu.
Nchi ni yetu sote,
Hamna binadamu yuko sawa mnamtesa mtu kijingajinga tu.
Kama Sabaya alikosea si anaonywa na adhabu aliyopata inatosha.
Nyie watu mnaishi kama wanyama aisee.
Hukumu ya kesi moja haifuti tuhuma za kesi nyingine.
 
Dogo atajuta babake aliyemtia ujinga huu kufa ghafla.

Yaani akitoka jela atakuta mchumba wake ana watoto 3, mlio karibu naye mpatieni ujumbe huu...kwamba maisha kila mtu huvuna alichopanda.
Mwenye namba za mchumba wake sabaya anipe connection ili nikale mzigo kimasihara
 
Kashahukumiwa miaka 30,kesi gani tena za kipuuzi km hizo zinaendelea?si atumikie kifungo tu.
Huu ni upumbavu kukaa tunajadili upuuzi wa mtu aliyefungwa.
Kashafungwa otherwise mumuachie mumuhukumu tena.
Huu ni uonevu.
Nchi ni yetu sote,
Hamna binadamu yuko sawa mnamtesa mtu kijingajinga tu.
Kama Sabaya alikosea si anaonywa na adhabu aliyopata inatosha.
Nyie watu mnaishi kama wanyama aisee.
Mkuu wewe ndio ungekuwa umedhulumiwa mamilioni usingesema haya maneno, usimfikirie Sabaya tu wafikirie pia victims. Kupitia hii kesi Mzee Mrosso anaweza kupata pesa zake angalau kidogo
 
Kasi hii bila hukumu hizi kumhusisha Magu, si sahihi, mahakamani ifikie hatua ione haja ya kutoa neno dhidi ya Magu, hamna asiyejuwa hawa walifanya kwa amri/baraka zake, sawa tu kuwa hamna asiyejuwa kuwa kesi ya Mbowe ni sehemu ya adhari za Magu!
Ni mambo ya aibu sn
 
Back
Top Bottom