Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Issue sio kupewa au asipewe, issue ni kubadilika na kutubu kama kuna mahala aliwakosea watu.Mimi ninapendekeza apewe mkoa mzima wa Kilimanjaro.
Ole sabaya ni anaanza mapambio, namuomba Mh. Raisi S.S.Hassan azibe masikio yake, asiruhusu kabisa mapambio masikioni mwake.Mkuu wa wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya amesema kuwa Rais wa sasa wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ameleta tumaini jipya katika nchi yetu wakati bado Taifa likiwa kwenye maombolezo kufuatia kifo cha aliyekuwa Rais wa Tanzania, Hayati Dkt John Magufuli....
Hafai kabisa kuwa paleHivi yule mganda kyaka pale white house ya bongo mnamuonaje wakuu?
Hiki ndiyo kipindi cha CHAWA kama wewe kulia na kusaga menoKazi bado inaendelea tena kwa speed ya 6G
Nina imani sana na mama yetu hawezi kumbakiza kwenye payroll ya serikaliJambazi namba moja oOe Sabaya. Ingekuwa tunafuata kwa umakini utawala wa sheria, huyu katika list ya watu wa mwanzo mwanzo kutimuliwa na kupelekwa mahakamani ilikuwa huyu ole sabaya. Inatakiwa asiruhusiwe hata kugombea nyumba kumi
Hivi yule siyo mrundi?Yule sasa hivi haja kubwa inagonga kyupi
Bado nina imani mama yetu hawezi kumrudisha kazini na akikosa kazi lazima ataanza ujambaziKati ya watu wajinga ni huyu Ole sabaya anatakiwa akamatwe
Au mko studio mnatunga song la kumshawishi mama muendeleze uchawa wenu?Tunaangalia!
Ni jambazi mtarajiwa mara tu baada ya kukosa kaziOle Sabaya ni hazina ya uongozi wa nchi hii. Huyu ndio kiboko ya manyani na waganga njaa hana chembe ya mzahanao.
Na akianza ujambazi lazima auwaweBado nina imani mama yetu hawezi kumrudisha kazini na akikosa kazi lazima ataanza ujambazi
Nakuona unavyo tetemekaTunaangalia!
Hakuna cha personal terms,huyo mtu hakubaliki tu kwenye jamii ya watu walio staraabikaKuna watu wana personal terms na Sabaya.
Juzi chato alikuwa analia kama mwanasesereOle Sabaya Leo ndio anaona tofauti ya utawala mbona aliwavamia wafanyabiashara wanasiasa na silaha? zamu yake yaja
We chawaTunaangalia!
Kabla hujaandika kitu hapa jamvini jaribu kujitahidi kushirikisha akiliHakuna sehemu Sabaya ameikosea serikali. Wapinzani acheni kujiona kama vile mmechukua dola. Hii bado ni serikali ya CCM.