Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
UmerogwaJob Ndugai fyekelea mbali, Mwigulu fyekelea mbali, Nape kaa nae mbali, Jafo piga bench.. weka sub huyo [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
UmerogwaJob Ndugai fyekelea mbali, Mwigulu fyekelea mbali, Nape kaa nae mbali, Jafo piga bench.. weka sub huyo [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Angekuwa ni mtu muadilifu hasingejifanya kuwa ni afisa usalama na kuwalaghai wananchiNi kweli kabisa, lakini kuna simtofahamu nyingi juu yake.
Kuna wengi wamenyanyashwa na huyo Sabaya kiasi cha kuharibu mazuri yake.
Utakuwa na matatizo kichwaniMimi ninapendekeza apewe mkoa mzima wa Kilimanjaro.
HajitambuiLobying ya kishamba ya Sabaya.
Hiyo ndiyo dawa ya majambazi kama yeyeNa akianza ujambazi lazima auwawe
Vipi tena Mmawia. Huamini kama Sabaya hapo anajipendekeza kwa Mama?Hajitambui
Kwa hiyo ni Tapeli wa siku nyingi?Angekuwa ni mtu muadilifu hasingejifanya kuwa ni afisa usalama na kuwalaghai wananchi
Nipo pamoja na wewe kuwa Sabaya anajipigia cross alafu afungeVipi tena Mmawia. Huamini kama Sabaya hapo anajipendekeza kwa Mama?
Tapeli kubwa tuKwa hiyo ni Tapeli wa siku nyingi?
Hesabu 23:23Umerogwa
Hatari sn waondoleweSabaya na RPC moshi wakamatwe yamekuwa Majambazi badala ya Walinzi.
Aiseee,kumbe utapeli unalipa ukiufanya vizuri ?Tapeli kubwa tu
Bado nina imani mama yetu hawezi kumrudisha kazini na akikosa kazi lazima ataanza ujambazi
Jaribu mkuu utaona ukiwa huko fieldAiseee,kumbe utapeli unalipa ukiufanya vizuri ?
We CCM wa wapi?Ole Sabaya siku zako zinahesabika!! Huwezi kuwahadaa watanzania na huyo mama sio mjinga! Shika adabu zako sisi sio wajinga wa kutuletea hadaa zako za kijinga! Unatakiwa ufukuzwe! Idiot!
Ukishajua ndiyo itakuwa dawa ya korona au ya kupunguza hasara ilizopata ATCL?Malofa mnaangaika sana na ya CCM ili tusihoji aliko Mbowe.
Siwezi kula jasho la watu wengine tena kwa udhulumati na vitisho.Jaribu mkuu utaona ukiwa huko field
Aje akusanye malofa wake wanachafua hali ya hewaUkishajua ndiyo itakuwa dawa ya korona au ya kupunguza hasara ilizopata ATCL?