Ole Sabaya: Rais Samia Suluhu ameleta tumaini jipya katika wakati bado taifa likiwa kwenye maombolezo ya Hayati Magufuli

Malofa mnaangaika sana na ya CCM ili tusihoji aliko Mbowe.
Sabaya na RPC Kili wako busy wanapiga picha za kumlilia Marehemu Jiwe, tumaini lao. Wakiishamaliza maombolezo watakujulisha.
 
Hakuna sehemu Sabaya ameikosea serikali. Wapinzani acheni kujiona kama vile mmechukua dola. Hii bado ni serikali ya CCM.
Akili yako unadhani mtu akimkosoa Sabaya ni wa vyana vya upinzani.
Huyu jamaa anatukosea hata sisi wenzie.
Isitoshe CCM haimaanishai ndo kiwe na watu wa hovyo.
 
Kujipendekeza sasa basi!!
 
Mnajipendekeza marufuku mikutano na maandamano!
Safari hii lazima ushikwe na kwikwi dadeeeki.
Wengine mmeanza kujisalimisha wenyewe kituo cha polisi.

.https://www.instagram.com/p/CM_ekDVrktc/?igshid=aoamrjegs4ch
 
Sabaya nasikia mikono yake imejaa wafu wasiokifani, nasema nasikia
 
Dogo kaanza kujipendekeza
 
Jambazi namba moja oOe Sabaya. Ingekuwa tunafuata kwa umakini utawala wa sheria, huyu katika list ya watu wa mwanzo mwanzo kutimuliwa na kupelekwa mahakamani ilikuwa huyu ole sabaya. Inatakiwa asiruhusiwe hata kugombea nyumba kumi
Hawa vijana wanaishi kijanja janja wanaishi kwa kujitia utahira wa kujikombakomba ili siku zao ziende, wako radhi waue watukane wadhalilishe ili wapate mkate kwa watawala, makonda alisujudu kwa samueli sita baadae kageuka akawa kwa jk, akageuka akawa kwa jpm na kuponda ya kikwete leo baba katutoka ghafla wanapenyeza vikauli vya kujikomba na mapambio kwa mama, style yao ya maisha imekera na kuudhi umma sana....wakafitinisha umma, viongozi na serikali yetu...hadi watu wakaona wamwachie Mungu.....kama ndio yataendelea hivi.....tuone
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…