Ole Sabaya ukipona hii panguapangua, chinja kondoo

Ole Sabaya ukipona hii panguapangua, chinja kondoo

Ole sabaya ni tapeli wa siku nyingi. Aliwachangisha hela wanafunzi pale St.John kwajili ya tamasha la wanafunzi akakimbia na hela zote. Tuhuma zake ni nyingi huyu bwanamdogo.
Huyu
Yule jamaa sijui alirogwa kuongea vile.Atakuwa anatamani kauli yake ifutike
Hakika majuto ni MJUKUU....!?? Ole Sabaya akachunge ng'ombe Loliondo,,,,,!!
 
Huu ni ushauri wa bure kabisa nakupa mdogo wangu Mkuu wa Wilaya ya Hai Bwana Lengai Ole Sabaya.

Ukibahatika kuendelea kuwa Mkuu wa hiyo Wilaya ya Hai katika hii pangua pangua inayokuja tafuta kondoo mweupe mchinje waite Masheikh hapo Bomang'ombe wakufanyie dua! Na usirudie tena kutumia mamlaka kuumiza wananchi.
Kyela - Mbeya




Arusha

 
Kondoo kaliwaView attachment 1785150

Sent from my vivo 1915 using JamiiForums mobile app
russ.png

Burudika Bwashee😂😂
 
Huu ni ushauri wa bure kabisa nakupa mdogo wangu Mkuu wa Wilaya ya Hai Bwana Lengai Ole Sabaya.

Ukibahatika kuendelea kuwa Mkuu wa hiyo Wilaya ya Hai katika hii pangua pangua inayokuja tafuta kondoo mweupe mchinje waite Masheikh hapo Bomang'ombe wakufanyie dua! Na usirudie tena kutumia mamlaka kuumiza wananchi.
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Back
Top Bottom