Kurunzi
JF-Expert Member
- Jul 31, 2009
- 9,753
- 10,747
Hatari na nusuDuh, buriani Sabaya. Mungu akupe wepesi kustahimili yajayo. Mshenzi wewe. Kafie mbele.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatari na nusuDuh, buriani Sabaya. Mungu akupe wepesi kustahimili yajayo. Mshenzi wewe. Kafie mbele.
Mshenzi sana yule
Huyu jamaa alikuwa alijifanya kidume sana!!!....akili zake za kuchunga ng'ombe na kuwinda nyamapori alizihamishia kwenye mamlaka za u-DC akidhani Watu ni sawa na Wanyama.......Shame on Ole Sabaya!!Too late, akachunge ng'ombe. Zama zimebalika. Mwenyezi Mungu hulipa waja wake hapa hapa duniani.
Inasikitisha, inakarihisha, inaudhi kupita maelezo....!!!
Tayari kaliwa kichwa tena inabidi achunguzweKitakachomwondoa Ole sabaya ni ile dharau aliyokuwa anamfanyia mkuu wa mkoa mama Anna Mghwira.
Alionywa na VP wa wakati ule lakini hakusikia wala kuonyeka.
Eid imeangukia patamuSisi ndio tunasubiri afukuzwe kama Mbwa ili tuchinje Kondoo
Jokate hata akilamba ukuu wa Mkoa poa tu hana show kama za akina SabayaHii pangua inayokuja jokate atalamba ukuu wa mkoa.
Halafu mleta mada tambua bi mkubwa hatabiriki,anaweza kumtoa huko akampeleka Lindi huko,pia hata yule wa green city anaweza hamishwa mkoa pia ila nafasi akabaki nayo hiyo hiyo.
Yule wa kilimani pale kwa mutwa anaweza kuachwa.
Yule jamaa sijui alirogwa kuongea vile.Atakuwa anatamani kauli yake ifutikeYule wa Iringa ndio aliwaambia wastaafu ataaavunja vunja
Dah
Halafu leo bi mkubwa kamnukuu mstaafu aliyeambiwa atavunjwa vunjwa
Sijui wana hali gani hawa jamaa
Imeangukia siku nzuri ya EidNaamini Watu wengi watasherehekea hiyo siku.
YametimiaHuu ni ushauri wa bure kabisa nakupa mdogo wangu Mkuu wa Wilaya ya Hai Bwana Lengai Ole Sabaya.
Ukibahatika kuendelea kuwa Mkuu wa hiyo Wilaya ya Hai katika hii pangua pangua inayokuja tafuta kondoo mweupe mchinje waite Masheikh hapo Bomang'ombe wakufanyie dua! Na usirudie tena kutumia mamlaka kuumiza wananchi.
Hatari sana aiseeYule wa Iringa ndio aliwaambia wastaafu ataaavunja vunja
Dah
Halafu leo bi mkubwa kamnukuu mstaafu aliyeambiwa atavunjwa vunjwa
Sijui wana hali gani hawa jamaa
Huyo OCD na Sabaya lao moja, mwenzake tayari kanyolewa, hivyo naye atie maji.Tusimsahau OCD wa Hai aliekuwa anampa mibunduki kuzunguka nayo mitaani usiku......lazima waende wote
Niko naye tunaendelea kula bila tatizo lolote.Nenda kamsaidie kula kuku kwa mrija
Nipo Masaki nasherekea Eidmkuu uko wapi njoo ujibu hii comment.
Mbona bado hajanyolewa amepisha uchunguziHuyo OCD na Sabaya lao moja, mwenzake tayari kanyolewa, hivyo naye atie maji.
Tupo hapa Masaki tunakula kuku mkuu karibu.
Nipo hapa Masaki karibu upate moja moto moja baridiMagu vipi bado upo chato mkuu?