Msingida
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 10,239
- 11,731
Njeree akalinde sasa,amevuna alichopanda.Tayari kichwa kimeliwa, huwezi kuonesha dharau kwa mkuu wako wa Mkoa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Njeree akalinde sasa,amevuna alichopanda.Tayari kichwa kimeliwa, huwezi kuonesha dharau kwa mkuu wako wa Mkoa
Haya turudi hapa jukwaaniTutarudi hapa Jukwaani na kukukumbusha dada, tena kama ni bwana wako tumia contraceptive asije akakimbia ujauzito
Lilikua suala la muda tuu.
Magu vipi bado upo chato mkuu?Mtachonga sana lakini jamaa ataendelea kula kuku kwa mrija tu.
Ndo ujue Rais wa Sasa anasikiliza wananchiWe jamaa kweli mtoto wa mjini! Yaani Mheshimiwa Rais kaongea asubuhi jioni unamfanyia preempt?
Kama ni kuondoka utaondoka. So get ready Sabaya ili lipate kutimia neno lisemalo, Kila mtu ataubeba msalaba wake mwenyewe.
Hii 🐮 ya Iringa imenyanyasa watu hadi kuwasababishia Pressure hususan watumishi wa umma.Bora Sabaya, ila kuna punda mbili hizo ndo uozo kabisa,
Moja ipo mbeya nyingine Iringa.
Kweli imeandikwa usimtegemee mwanadamu
tena uzuri siku yenyewe imeambatana na EID🥂Naamini Watu wengi watasherehekea hiyo siku.
Nakusalimia mkuuTutarudi hapa Jukwaani na kukukumbusha dada, tena kama ni bwana wako tumia contraceptive asije akakimbia ujauzito
Haahahahahtena uzuri siku yenyewe imeambatana na EID🥂
johnthebaptistKitakachomwondoa Ole sabaya ni ile dharau aliyokuwa anamfanyia mkuu wa mkoa mama Anna Mghwira.
Alionywa na VP wa wakati ule lakini hakusikia wala kuonyeka.
@Sir John Roberts utume wako umetimia, kweli masikini DC wa Hai Ole Sabaya hajasalimikaHuu ni ushauri wa bure kabisa nakupa mdogo wangu Mkuu wa Wilaya ya Hai Bwana Lengai Ole Sabaya.
Ukibahatika kuendelea kuwa Mkuu wa hiyo Wilaya ya Hai katika hii pangua pangua inayokuja tafuta kondoo mweupe mchinje waite Masheikh hapo Bomang'ombe wakufanyie dua! Na usirudie tena kutumia mamlaka kuumiza wananchi.
Hii kitu niliitegemea kabisa!
Duh ukiona mbali sana, ndio maana huenda alikimbilia CloudsHuu ni ushauri wa bure kabisa nakupa mdogo wangu Mkuu wa Wilaya ya Hai Bwana Lengai Ole Sabaya.
Ukibahatika kuendelea kuwa Mkuu wa hiyo Wilaya ya Hai katika hii pangua pangua inayokuja tafuta kondoo mweupe mchinje waite Masheikh hapo Bomang'ombe wakufanyie dua! Na usirudie tena kutumia mamlaka kuumiza wananchi.
Yule aliyesema anapenda wanawake wafupi?Bado Chalamila sasa
John hakuna mnafiki kama wewe kumbukaHii kitu niliitegemea kabisa!
tena uzuri siku yenyewe imeambatana na EID[emoji1635]