Ole Sabaya ukipona hii panguapangua, chinja kondoo

Ole Sabaya ukipona hii panguapangua, chinja kondoo

Mawazo ya Mwanadamu si sawa na mawazo ya Mungu. Keep going Sabaya but hujachelewa kujirekebisha ulipojikwaa kua bora.
 
A
Huu ni ushauri wa bure kabisa nakupa mdogo wangu Mkuu wa Wilaya ya Hai Bwana Lengai Ole Sabaya.

Ukibahatika kuendelea kuwa Mkuu wa hiyo Wilaya ya Hai katika hii pangua pangua inayokuja tafuta kondoo mweupe mchinje waite Masheikh hapo Bomang'ombe wakufanyie dua! Na usirudie tena kutumia mamlaka kuumiza wananchi.
Ananyea chupi huko aliko huyu mshenzi.
 
Huu ni ushauri wa bure kabisa nakupa mdogo wangu Mkuu wa Wilaya ya Hai Bwana Lengai Ole Sabaya.

Ukibahatika kuendelea kuwa Mkuu wa hiyo Wilaya ya Hai katika hii pangua pangua inayokuja tafuta kondoo mweupe mchinje waite Masheikh hapo Bomang'ombe wakufanyie dua! Na usirudie tena kutumia mamlaka kuumiza wananchi.
Uzi huu una siku kadhaa lakini naona kila kukicha ushahidi unazidi kuanikwa.
Kama itaundwa tume huru aua akatokea mtu wa kufungua kesi inawezekana Ole Sabaya akaishia pabaya.
Nashauri amrahisishie kazi Madam President kwa ku step down mwenyewe kwa hiari yake!!
 
Uzi huu una siku kadhaa lakini naona kila kukicha ushahidi unazidi kuanikwa.
Kama itaundwa tume huru aua akatokea mtu wa kufungua kesi inawezekana Ole Sabaya akaishia pabaya.
Nashauri amrahisishie kazi Madam President kwa ku step down mwenyewe kwa hiari yake!!
Hatumsingizii bwanamdogo alizidisha dharau kwa wakubwa zake na kunyanyasa wananchi.
 
Huu ni ushauri wa bure kabisa nakupa mdogo wangu Mkuu wa Wilaya ya Hai Bwana Lengai Ole Sabaya.

Ukibahatika kuendelea kuwa Mkuu wa hiyo Wilaya ya Hai katika hii pangua pangua inayokuja tafuta kondoo mweupe mchinje waite Masheikh hapo Bomang'ombe wakufanyie dua! Na usirudie tena kutumia mamlaka kuumiza wananchi.
Hili la Kondoo tena Mweupe kuliambatanisha na Masheikh ni Ushirikina.
Na sina hakika sana ila kuna kila dalili kuwa huyo bwana hajabahtika kuwa Muislam hivyo muelekeze awaite viongozi wake wa Kiimani wafanye hayo mauu unayoyashauri ila Masheikh, sawa?
 
Huu ni ushauri wa bure kabisa nakupa mdogo wangu Mkuu wa Wilaya ya Hai Bwana Lengai Ole Sabaya.

Ukibahatika kuendelea kuwa Mkuu wa hiyo Wilaya ya Hai katika hii pangua pangua inayokuja tafuta kondoo mweupe mchinje waite Masheikh hapo Bomang'ombe wakufanyie dua! Na usirudie tena kutumia mamlaka kuumiza wananchi.
why mashehe?
 
Hili la Kondoo tena Mweupe kuliambatanisha na Masheikh ni Ushirikina.
Na sina hakika sana ila kuna kila dalili kuwa huyo bwana hajabahtika kuwa Muislam hivyo muelekeze awaite viongozi wake wa Kiimani wafanye hayo mauu unayoyashauri ila Masheikh, sawa?
Umepotoka kondoo,ngamia ni wanyama ambao waislam wanaamini mitume iliwatumia kuwachinja kwajili ya kafara yakuomba toba. Hata hivyo ni maoni yangu tuu sijalazimisha hata Mapadri na wachungaji wanaweza kumuombea kijana aliyekengeuka.
 
Yule aliyekimbiza mtoto aliyemrushiwa jiwe Wilaya ya Chemba na mtoto akamzidi mbio kisha akaenda kumchapa viboko baba wa mtoto sasa yuko Rorya anatukana watu tu kila kukicha.
Akipewa mkoa mnaonaje hasa wa Manyara maana ni hodari wa mbio au Kilimanjaro kabisa kwa ajili ya KILIMARATHON.


Sent from my LG-F800S using JamiiForums mobile app
 
Watu washanunua kondoo wanasubiri panga lipigwe kondoo wachinjwe...7ya ni out vyovyote vile ametesa sana watu huyo jambazi...
 
Wenzio walishajipa vyeo tayari kuwa;

å Paul Makonda a.k.a Daudi Albert Bashite - WAZIRI MKUU (PM)

å Ole Sabaya - Waziri Wa Mapolisi

å Chalamila (RC - Mbeya) - Waziri Wa Jeshi (JWTZ)

Hapo sasa. Maana take kila mtu ajiandae kula mboko kila siku mbele ya mke na watoto wake..
 
Back
Top Bottom