Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 12,835
- 23,584
- Thread starter
- #61
Aiseee.eti chozi la jicho moja.wabongo nimewashindwa [emoji1787]Tena chozi la jicho moja kama mchawi hahahahahaha aende tu kima wa kijani huyo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aiseee.eti chozi la jicho moja.wabongo nimewashindwa [emoji1787]Tena chozi la jicho moja kama mchawi hahahahahaha aende tu kima wa kijani huyo.
Tuwekee ile clip tujikumbushe mkiiHuyo Mshenzi alipandisha Mabega sana ,hafai kuwa kiongozi ,uongozi ni busara na wala si ubabe,jamaa alikuwa anatumia ubabe kuwapora mali wafanyabiashara ,pia ile skendo yake ya kumtaka msanii nandy aliyekuwa kwenye hotel flani huko kilimanjaro kwa kutumia ubabe.
qBora hizo Punda walau zinaweza kukubebea mizigo.. Sasa huyu ni Fisi Kwa taarifa yako
Anapandisha mabega sanaaaa lazima tuyashushe kwa nyundoHawezi kutoboa huyo muhuni ana dharau sana.
Anapandisha mabega sanaaaa lazima tuyashushe kwa nyundoYule wa Iringa sijamsikia wala kumuona kwenye TV kama ilivyo kawaida yake
Magu alikuwa anapenda sana makanjanja kuwapa uongoziArudie fan yake yake ya utapeli,si alikuwa anajifanya ni mtu wa system(tiss)
Mataga wewe hayo mabega tunayashusha kwa nyundoMtachonga sana lakini jamaa ataendelea kula kuku kwa mrija tu.
Naona huyu mama kaamua kuwanyoosha. Na wewe kama unatabia za kunyanyua mabega na ubabe jiandae mama hapendi.Mtachonga sana lakini jamaa ataendelea kula kuku kwa mrija tu.
Aaah wabongo!Bwana ametoa bwana ametwaa jina la bwana lihimidiwe
Kisonono[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wa hivi wakitenguliwa huwa hawachukui hata mwaka, kwasababu ya kukesha kwa waganga wanafilisika na utaskia ana "BP, KISUKARI, KISONONO, TEZI DUME, MSONGO WA MAWAZO".
Maara paap utasikia "Jamaa amekufa bado mdogo sana, umri ulikua unadai bado, dakika zake za mwisho alikua kichaa bana alikua anavua nguo na kuongea hovyo tu.".
R.I.P sabayaKitakachomwondoa Ole sabaya ni ile dharau aliyokuwa anamfanyia mkuu wa mkoa mama Anna Mghwira.
Alionywa na VP wa wakati ule lakini hakusikia wala kuonyeka.
Hao wote watatu ni fisi tupu hakuna wenye afadhaliBora Sabaya, ila kuna punda mbili hizo ndo uozo kabisa,
Moja ipo mbeya nyingine Iringa.
Kweli imeandikwa usimtegemee mwanadamu
Jamaa kichwa chake kwa mbele forehead utadhani 'dik-hed'Yule wa Iringa sijamsikia wala kumuona kwenye TV kama ilivyo kawaida yake
Veronica ahahahaaa...!Hahaha ivi mtu kama Musiba sijui ataishi vipi