Ole Sabaya ukipona hii panguapangua, chinja kondoo

Ole Sabaya ukipona hii panguapangua, chinja kondoo

Huu ni ushauri wa bure kabisa nakupa mdogo wangu Mkuu wa Wilaya ya Hai Bwana Lengai Ole Sabaya.

Ukibahatika kuendelea kuwa Mkuu wa hiyo Wilaya ya Hai katika hii pangua pangua inayokuja tafuta kondoo mweupe mchinje waite Masheikh hapo Bomang'ombe wakufanyie dua! Na usirudie tena kutumia mamlaka kuumiza wananchi.
Achinje bata mwekundu.
 
Huyo Mshenzi alipandisha Mabega sana ,hafai kuwa kiongozi ,uongozi ni busara na wala si ubabe,jamaa alikuwa anatumia ubabe kuwapora mali wafanyabiashara ,pia ile skendo yake ya kumtaka msanii nandy aliyekuwa kwenye hotel flani huko kilimanjaro kwa kutumia ubabe.
Alikua anamuiga makonda
 
View attachment 1745295

Ila nadhani miongobi mwa vijana walioumia huyu anaweza kuongoza. Sijaona unafiki wa majonzi ktik kiliochake hiki.

Yampasa kujua ya kwamba haya yote ni maisha na huwa yanabadilika. Vyeo vipo na huwa vinapita.
Kilio chake hakikuwa cha kinafiki sababu hakuwa anaamini kilichotokea,kila akifikiria alivyowaumiza watu na nguzo yake ndio hio imeanguka ataacha kulia kweli?
 
Siyo kuchinja kondoo,atoe sadaka ya kuteketeza kwa Mola wake.
 
Wapumzike kwa amani Sabaya na Chalamila....tutaonana tawala nyingine tukijaaliwa
 
Kuna clip ya yule mfanyabiashara wa Moshi ile ndio hukumu ya SaaMbaya
 
Bora Sabaya, ila kuna punda mbili hizo ndo uozo kabisa,
Moja ipo mbeya nyingine Iringa.

Kweli imeandikwa usimtegemee mwanadamu
Umeona kesi za kughusi za sabaya kule hai...rejea kesi ya diwani aoiyoshinda juzi.
Kuvamia hotel ya mbowe na Magari yenye namba feki za UN..
 
Huu ni ushauri wa bure kabisa nakupa mdogo wangu Mkuu wa Wilaya ya Hai Bwana Lengai Ole Sabaya.

Ukibahatika kuendelea kuwa Mkuu wa hiyo Wilaya ya Hai katika hii pangua pangua inayokuja tafuta kondoo mweupe mchinje waite Masheikh hapo Bomang'ombe wakufanyie dua! Na usirudie tena kutumia mamlaka kuumiza wananchi.
Mtachonga sana lakini jamaa ataendelea kula kuku kwa mrija tu.
 
Bora Sabaya, ila kuna punda mbili hizo ndo uozo kabisa,
Moja ipo mbeya nyingine Iringa.

Kweli imeandikwa usimtegemee mwanadamu
Wote hao wataendelea na uRC wao sijui utakimbilia wapi.
 
Back
Top Bottom