Ole Sabaya ukipona hii panguapangua, chinja kondoo

Ole Sabaya ukipona hii panguapangua, chinja kondoo

Duh, buriani Sabaya. Mungu akupe wepesi kustahimili yajayo. Mshenzi wewe. Kafie mbele.
...
IMG_20210402_134625.jpeg
 
Huu ni ushauri wa bure kabisa nakupa mdogowangu Mkuu wa Wilaya ya Hai Bwana Lengai Ole Sabaya.

Ukibahatika kuendelea kuwa Mkuu wa hiyo Wilaya ya Hai katika hii pangua pangua inayokuja tafuta kondoo mweupe mchinje waite Masheikh hapo Bomang'ombe wakufanyie dua! Na usirudie tena kutumia mamlaka kuumiza wananchi.

Huyo Mshenzi alipandisha Mabega sana ,hafai kuwa kiongozi ,uongozi ni busara na wala si ubabe,jamaa alikuwa anatumia ubabe kuwapora mali wafanyabiashara ,pia ile skendo yake ya kumtaka msanii nandy aliyekuwa kwenye hotel flani huko kilimanjaro kwa kutumia ubabe.
 
Wa hivi wakitenguliwa huwa hawachukui hata mwaka, kwasababu ya kukesha kwa waganga wanafilisika na utaskia ana "BP, KISUKARI, KISONONO, TEZI DUME, MSONGO WA MAWAZO".

Maara paap utasikia "Jamaa amekufa bado mdogo sana, umri ulikua unadai bado, dakika zake za mwisho alikua kichaa bana alikua anavua nguo na kuongea hovyo tu.".
 
ndio ubaya wa kufanya kazi kwa kumtukuza bosi mmoja,nahisi wale wanafiki wote waliokuwa wanajikosha kwa mzee kuanzia sasa hawana chao
Jamaa alilia sana siku ile pale Jamhuri stadium wakati wa kumuaga Meko
 
Mama atuondolee wakuu wa wilaya na wa mikoa wahuni wote

Zamani RC/DC ilikuwa na hadhi sana lkini tangu waanze kuweka wahuni na wavuta bangi wamekishusha hadhi....yaani hadi mdangaji anakuwa DC oyeeeee!!! Wewe hadi Ally Happy anakuwa RC??? Bashite?? Tulizoea kuona watu wanaojielewa kama MAKAMBA snr, MECKY SADIQ et al
 
Hawezi kutoboa huyo muhuni ana dharau sana.
 
Yule wa Iringa ndio aliwaambia wastaafu ataaavunja vunja
Dah
Halafu leo bi mkubwa kamnukuu mstaafu aliyeambiwa atavunjwa vunjwa
Sijui wana hali gani hawa jamaa
Jamaa walizidi kujitukuza na kuonea watu huku wakijifanya wao ndo 1st class citizens.
 
Mzee wa kulia jicho moja

Huenda mama akamwamini akampa ukuu wa mkoa. Mungu yuu upande wake
 
Sabaya siku ile pale dodoma alikuwa analia na mengi yale machozi .
EyHj-pMWEAApCvq.jpeg


Ila nadhani miongoni mwa vijana walioumia huyu anaweza kuongoza. Sijaona unafiki wa majonzi ktik kiliochake hiki.

Yampasa kujua ya kwamba haya yote ni maisha na huwa yanabadilika. Vyeo vipo na huwa vinapita.
 
Kitakachomwondoa Ole sabaya ni ile dharau aliyokuwa anamfanyia mkuu wa mkoa mama Anna Mghwira.

Alionywa na VP wa wakati ule lakini hakusikia wala kuonyeka.

Bahati mbaya VP wa wakati ule ndiye mwenye Mamlaka kamili sasa. Kupona kwa Ole Sabaya ni sawa na Ngamia kupenya kwenye tundu la sindano.
 
Back
Top Bottom