SNAP J
JF-Expert Member
- Dec 26, 2013
- 7,106
- 8,043
...Duh, buriani Sabaya. Mungu akupe wepesi kustahimili yajayo. Mshenzi wewe. Kafie mbele.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
...Duh, buriani Sabaya. Mungu akupe wepesi kustahimili yajayo. Mshenzi wewe. Kafie mbele.
Ndiyo CCM ilivyo makonda alimdharau sana PM na VPKitakachomwondoa Ole sabaya ni ile dharau aliyokuwa anamfanyia mkuu wa mkoa mama Anna Mghwira.
Alionywa na VP wa wakati ule lakini hakusikia wala kuonyeka.
AmekusikiaMama atuondolee wakuu wa wilaya na wa mikoa wahuni wote
Huu ni ushauri wa bure kabisa nakupa mdogowangu Mkuu wa Wilaya ya Hai Bwana Lengai Ole Sabaya.
Ukibahatika kuendelea kuwa Mkuu wa hiyo Wilaya ya Hai katika hii pangua pangua inayokuja tafuta kondoo mweupe mchinje waite Masheikh hapo Bomang'ombe wakufanyie dua! Na usirudie tena kutumia mamlaka kuumiza wananchi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji111][emoji111][emoji111]nami namuongozeaa maninaa zakeeDuh, buriani Sabaya. Mungu akupe wepesi kustahimili yajayo. Mshenzi wewe. Kafie mbele.
Jamaa alilia sana siku ile pale Jamhuri stadium wakati wa kumuaga Mekondio ubaya wa kufanya kazi kwa kumtukuza bosi mmoja,nahisi wale wanafiki wote waliokuwa wanajikosha kwa mzee kuanzia sasa hawana chao
Mama atuondolee wakuu wa wilaya na wa mikoa wahuni wote
[emoji23][emoji23]Duh, buriani Sabaya. Mungu akupe wepesi kustahimili yajayo. Mshenzi wewe. Kafie mbele.
[emoji1787][emoji1787]Yule wa Iringa ndio aliwaambia wastaafu ataaavunja vunja
Dah
Halafu leo bi mkubwa kamnukuu mstaafu aliyeambiwa atavunjwa vunjwa
Sijui wana hali gani hawa jamaa
Bora hizo Punda walau zinaweza kukubebea mizigo.. Sasa huyu ni Fisi Kwa taarifa yakoBora Sabaya, ila kuna punda mbili hizo ndo uozo kabisa,
Moja ipo mbeya nyingine Iringa.
Kweli imeandikwa usimtegemee mwanadamu
Jamaa walizidi kujitukuza na kuonea watu huku wakijifanya wao ndo 1st class citizens.Yule wa Iringa ndio aliwaambia wastaafu ataaavunja vunja
Dah
Halafu leo bi mkubwa kamnukuu mstaafu aliyeambiwa atavunjwa vunjwa
Sijui wana hali gani hawa jamaa
Sabaya siku ile pale dodoma alikuwa analia na mengi yale machozi .
Kitakachomwondoa Ole sabaya ni ile dharau aliyokuwa anamfanyia mkuu wa mkoa mama Anna Mghwira.
Alionywa na VP wa wakati ule lakini hakusikia wala kuonyeka.
Yule wa Iringa sijamsikia wala kumuona kwenye TV kama ilivyo kawaida yakeBora Sabaya, ila kuna punda mbili hizo ndo uozo kabisa,
Moja ipo mbeya nyingine Iringa.
Kweli imeandikwa usimtegemee mwanadamu
Kumkosea adabu mwanamama ni jambo baya sana!Bahati mbaya VP wa wakati ule ndiye mwenye Mamlaka kamili sasa. Kupona kwa Ole Sabaya ni sawa na Ngamia kupenya kwenye tundu la sindano.