Kinoamiguu
JF-Expert Member
- Nov 29, 2018
- 11,936
- 15,196
Educates vs un educated
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anaondoka kwasababu zipi hasa?Huu ni ushauri wa bure kabisa nakupa mdogo wangu Mkuu wa Wilaya ya Hai Bwana Lengai Ole Sabaya.
Ukibahatika kuendelea kuwa Mkuu wa hiyo Wilaya ya Hai katika hii pangua pangua inayokuja tafuta kondoo mweupe mchinje waite Masheikh hapo Bomang'ombe wakufanyie dua! Na usirudie tena kutumia mamlaka kuumiza wananchi.
Watazamaji=watazawaterNgoja tuone
Acha sisi wengine tuwe watazamaji
Ova
Duh! Kuna clip RC anaongea na kumuonya akavua tinted na kubinua mabega, ilikuwa dharau kubwa sana.Huyo Mshenzi alipandisha Mabega sana ,hafai kuwa kiongozi ,uongozi ni busara na wala si ubabe,jamaa alikuwa anatumia ubabe kuwapora mali wafanyabiashara ,pia ile skendo yake ya kumtaka msanii nandy aliyekuwa kwenye hotel flani huko kilimanjaro kwa kutumia ubabe.
Nimeiona aiseee ni dharau kubwa sana aliyoonyesha kwa Mama Anna RC KLM....Sabaya hafai kuwa kiongozi akaendelee na utapeli wake wa uANDAKAVA IGO SIRII UPELEZI WA NDANI.Duh! Kuna clip RC anaongea na kumuonya akavua tinted na kubinua mabega, ilikuwa dharau kubwa sana.
Hawezi baki hai hata achinje NgamiaHuu ni ushauri wa bure kabisa nakupa mdogo wangu Mkuu wa Wilaya ya Hai Bwana Lengai Ole Sabaya.
Ukibahatika kuendelea kuwa Mkuu wa hiyo Wilaya ya Hai katika hii pangua pangua inayokuja tafuta kondoo mweupe mchinje waite Masheikh hapo Bomang'ombe wakufanyie dua! Na usirudie tena kutumia mamlaka kuumiza wananchi.
TusubiriHawezi baki hai hata achinje Ngamia
Hafai kuwa kiongozi kwasababu ana kiburi,dharau na kutumia mamlaka aliyopewa kunyanyasa wananchi badala ya kuwasaidia.Anaondoka kwasababu zipi hasa?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wenzio walishajipa vyeo tayari kuwa;
å Paul Makonda a.k.a Daudi Albert Bashite - WAZIRI MKUU (PM)
å Ole Sabaya - Waziri Wa Mapolisi
å Chalamila (RC - Mbeya) - Waziri Wa Jeshi (JWTZ)
Hapo sasa. Maana take kila mtu ajiandae kula mboko kila siku mbele ya mke na watoto wake..
Yaani siyo tu kama atabaki Hai.... Kama akiendelea kuwa Mkuu wa Wilaya yoyote ile, basi huyo mganga wake ni deal.Huu ni ushauri wa bure kabisa nakupa mdogo wangu Mkuu wa Wilaya ya Hai Bwana Lengai Ole Sabaya.
Ukibahatika kuendelea kuwa Mkuu wa hiyo Wilaya ya Hai katika hii pangua pangua inayokuja tafuta kondoo mweupe mchinje waite Masheikh hapo Bomang'ombe wakufanyie dua! Na usirudie tena kutumia mamlaka kuumiza wananchi.
Tutarudi hapa Jukwaani na kukukumbusha dada, tena kama ni bwana wako tumia contraceptive asije akakimbia ujauzitoHawezi baki hai hata achinje Ngamia
Living legendHuu ni ushauri wa bure kabisa nakupa mdogo wangu Mkuu wa Wilaya ya Hai Bwana Lengai Ole Sabaya.
Ukibahatika kuendelea kuwa Mkuu wa hiyo Wilaya ya Hai katika hii pangua pangua inayokuja tafuta kondoo mweupe mchinje waite Masheikh hapo Bomang'ombe wakufanyie dua! Na usirudie tena kutumia mamlaka kuumiza wananchi.
Wenzio walishajipa vyeo tayari kuwa;
å Paul Makonda a.k.a Daudi Albert Bashite - WAZIRI MKUU (PM)
å Ole Sabaya - Waziri Wa Mapolisi
å Chalamila (RC - Mbeya) - Waziri Wa Jeshi (JWTZ)
Hapo sasa. Maana take kila mtu ajiandae kula mboko kila siku mbele ya mke na watoto wake..
Tayari kichwa kimeliwa, huwezi kuonesha dharau kwa mkuu wako wa MkoaHuu ni ushauri wa bure kabisa nakupa mdogo wangu Mkuu wa Wilaya ya Hai Bwana Lengai Ole Sabaya.
Ukibahatika kuendelea kuwa Mkuu wa hiyo Wilaya ya Hai katika hii pangua pangua inayokuja tafuta kondoo mweupe mchinje waite Masheikh hapo Bomang'ombe wakufanyie dua! Na usirudie tena kutumia mamlaka kuumiza wananchi.