Mzalendo2015
JF-Expert Member
- Aug 14, 2012
- 6,710
- 9,063
HuyuOle sabaya ni tapeli wa siku nyingi. Aliwachangisha hela wanafunzi pale St.John kwajili ya tamasha la wanafunzi akakimbia na hela zote. Tuhuma zake ni nyingi huyu bwanamdogo.
Hakika majuto ni MJUKUU....!?? Ole Sabaya akachunge ng'ombe Loliondo,,,,,!!Yule jamaa sijui alirogwa kuongea vile.Atakuwa anatamani kauli yake ifutike
Kyela - MbeyaHuu ni ushauri wa bure kabisa nakupa mdogo wangu Mkuu wa Wilaya ya Hai Bwana Lengai Ole Sabaya.
Ukibahatika kuendelea kuwa Mkuu wa hiyo Wilaya ya Hai katika hii pangua pangua inayokuja tafuta kondoo mweupe mchinje waite Masheikh hapo Bomang'ombe wakufanyie dua! Na usirudie tena kutumia mamlaka kuumiza wananchi.
umemaliza zamu ya kulinda kaburi ?Nipo hapa Masaki karibu upate moja moto moja baridi
Hawezi baki hai hata achinje Ngamia
Nasimama na hizi comment zakoTutarudi hapa Jukwaani na kukukumbusha dada, tena kama ni bwana wako tumia contraceptive asije akakimbia ujauzito
😆😆😆Nasimama na hizi comment zako
Kondoo ipo tayari mkuu?Sisi ndio tunasubiri afukuzwe kama Mbwa ili tuchinje Kondoo
Kondoo kaliwaSisi ndio tunasubiri afukuzwe kama Mbwa ili tuchinje Kondoo
Nimealikwa Kigamboni aisee!! Ilikuwa ni Minofu ya Mbuzi wawili na Vinywaji hatare acheni Mungu aitwe Mungu.Kondoo ipo tayari mkuu?
Tunaendelea dada!umemaliza zamu ya kulinda kaburi ?
umemaliza zamu ya kulinda kaburi ?
Wiki ijayo mahakamani , kwisha habari !
Hahahaha... kwani ni mara yake ya kwanza kupelekwa mahakamani? Au umebarehe juzi dada!!?? Hujui ya miaka ya nyuma?Wiki ijayo mahakamani , kwisha habari !
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Huu ni ushauri wa bure kabisa nakupa mdogo wangu Mkuu wa Wilaya ya Hai Bwana Lengai Ole Sabaya.
Ukibahatika kuendelea kuwa Mkuu wa hiyo Wilaya ya Hai katika hii pangua pangua inayokuja tafuta kondoo mweupe mchinje waite Masheikh hapo Bomang'ombe wakufanyie dua! Na usirudie tena kutumia mamlaka kuumiza wananchi.