TikTok2021
JF-Expert Member
- Nov 14, 2022
- 690
- 1,060
lema apuuzwe ni mshamba wa canada
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Baada ya kurejea toka Canada ndio watanzania wamejua kumbe huyu Lema ana akili ndogo kuliko mtoto wa chekechea aiseekaja kuleta mzozo
Bora msukuma na kibajaji. Wao wanatambua elimu yao ndogo ila wamejaa uzalendo na upendo kwa nchi yao. Sio watu wabinagsi kama lema tena wana busara kubwa na ufahamu mkubwa kutokana na nafasi za uongozi walizotunukiwa na wananchi.Lema ana elimu duni mno. Hoja zake nyingi ni za kihisia sio za kisomi. Mara nyingi kaonyesha chuki kwa Zitto sababu ikiwa ni hiyohiyo ya elimu. Lema kielimu ni sawa na Babutale, Msukuma na Kibajaji.
We Babu Tale na Msukuma wana PhD usiwafananishe na Lema plseLema ana elimu duni mno. Hoja zake nyingi ni za kihisia sio za kisomi. Mara nyingi kaonyesha chuki kwa Zitto sababu ikiwa ni hiyohiyo ya elimu. Lema kielimu ni sawa na Babutale, Msukuma na Kibajaji.
😄😄😄 samahani mkuu nilisahau. Nafuta kauli.We Babu Tale na Msukuma wana PhD usiwafananishe na Lema plse
Umefafanua vema kabisa. Lema aliishia kidato cha pili. Pia alijiunga na CHADEMA kwenye 2008... hadi 2007 Lema alikuwa bado yuko TLP. Ni mfuasi mwaminifu wa hayati Lyatonga. Huko CHADEMA ni mhamiaji ila anapata nguvu kubwa kwa sababu ya kutoka wote Machame na Mbowe. Kuhusu wizi wa magari sina uhakika sana ila wanasiasa wengi wa Arusha wa vyama vyote wana kashfa za uhalifu... kwa mfano Diwani mstaafu Nyari aliyekuwa jambazi.Bora msukuma na kibajaji. Wao wanatambua elimu yao ndogo ila wamejaa uzalendo na upendo kwa nchi yao. Sio watu wabinagsi kama lema tena wana busara kubwa na ufahamu mkubwa kutokana na nafasi za uongozi walizotunukiwa na wananchi.
Ukija kwa lema tunaambiwa alikua mwizi wa magari. Hapo alipofika ni mapambano kujipatia maisha binafsi. Elimu yenyewe ndogo sana itakua form four failure. Shida ni pale anaona kua mchaga ni CV, yaani ni sawa na kua na degree. Ndio maana analeta akili za vijiweni kwenye mambo yanahitaji akili ya darasani.
Kutoka shinyanga mpaka Iringa mbona mbali sana kwanin wasingefanyia mwanza??Hebu tujikumbushe kidogo. Wakati wa utawala wa serikali ya awamu ya kwanza almasi ilikuwa inachimbwa Mwadui Shinyanga lakini ukataji almasi uliokuwa unafanywa na Tancut ulikuwa unafanyika Iringa. Sasa sijui ipi ni ipi na ipi inafaa iwe ipi.
Wewe u a akili ipi? Ya kujua kutumia smart phone?Asilaumiwa sana nadhani ujinga mwingi alionao ni shauri ya elimu yake ni ndogo mnoo.
Wewe ndio bureSio msaliti tu bali ni hasara kwa taifa ,juzi kafananisha watanzania na Mbwa
Wewe na elimu yako, una nini cha maana? Lema ana kuzidi kila kitu,Lema ana elimu duni mno. Hoja zake nyingi ni za kihisia sio za kisomi. Mara nyingi kaonyesha chuki kwa Zitto sababu ikiwa ni hiyohiyo ya elimu. Lema kielimu ni sawa na Babutale, Msukuma na Kibajaji.
Weee una elimu gana na ujanja gani? Akili ya kutambua ku log in kqenye mitandao ya kijamii ndio unalingishia wanaume humu?Na hili ndio tatizo kubwa ,hata wafuasi wake wengi wana hilo tatizo aisee ,wanafananishwa na mbwa na bado wanamchekea.
Kabisa ana mzifi ChukiBahati mbaya kwako ni kwamba huyo unayemuita Tapeli wa kisiasa unamzidi chuki tu.mwenzako anasimamishwa na rais pia hotuba zake zinasikika na ku trend.
wakati wewe ukute cha kwako kinacho trend ni picha zako za utupu unazojipiga na kutumia mabint
Wewe una ujanja gani?lema apuuzwe ni mshamba wa canada
Unao ushahidi? Una una toa uharo tu humu? Huo ushahidi hujui sehemu ya kuuwakilisha?Lema anatumika na Kenya kuvuruga amani ya Tanzania ili tukose watalii wahamie Kenya kwa wingi.