BLACK MOVEMENT
JF-Expert Member
- Mar 11, 2020
- 4,548
- 11,901
Msukuma ana uzalendo gani? Hivi uzalendo unapimwa kwenye muzani au kwa kutumia kile kisado?Bora msukuma na kibajaji. Wao wanatambua elimu yao ndogo ila wamejaa uzalendo na upendo kwa nchi yao. Sio watu wabinagsi kama...
Anakuzidi kila kitu, huo ndio ukweli, unacho mzidi ni chuki pekeeJambazi limeishiwa hoja
Waambie hawa wajingaNi siasa za kijinga huwezi kuzuia Arusha kuuza madini halafu hapo Kenya zinauzwa kila mahali, nje ya nchi zinauzwa kila mahali. Hayo ni mashindano ambayo si ya kimaendeleo. Cha maana ni kuweka kibali kwa kila jiwe hata likiuzwa Dar hakuna shida ilimradi liwe na kibali
Ana kuzidi kila kitu mkuu, wewe zaidi ya ndugu zako nani mwingine anakujua? We ni takataka tuUmefafanua vema kabisa. Lema aliishia kidato cha pili. Pia alijiunga na CHADEMA kwenye 2008... hadi 2007 Lema alikuwa bado yuko TLP. Ni mfuasi mwaminifu wa hayati Lyatonga. Huko CHADEMA ni mhamiaji ila anapata nguvu kubwa kwa sababu ya kutoka wote Machame na Mbowe. Kuhusu wizi wa magari sina uhakika sana ila wanasiasa wengi wa Arusha wa vyama vyote wana kashfa za uhalifu... kwa mfano Diwani mstaafu Nyari aliyekuwa jambazi.
Weee huna ubinafisi? Hizi ID fake zinaficha mambo mengi sana,Mi sijawahi kumwamini mchaga. Mtanisamehe sina ukabila ila hawa jamaa ni wabinafsi sana
Humu wamejaaa wapumbavu tupu mkuu, watu wana akili za kuvukui Barabara na za kujua kutumia mitandao ya kijamiiJenga hoja.
Lema hajasema soko la Mererani lihamishwe. Ole sendeka ndiyo hajaielewa hoja ya Lema!!!
Lema kasema Mererani isiwe sehemu pekee ya kuwa na soko la Tanzanite. Sasa huo uzushi wa kuhamisha soko toka Mererani unaletwa na kina Sendeka wapiga kelele ambao wao kila kitu kiko sawa il mradi tu kinafanywa na CCM!!Humu wamejaaa wapumbavu tupu mkuu, watu wana akili za kuvukui Barabara na za kujua kutumia mitandao ya kijamii
Lema anatumika na Kenya kuvuruga amani ya Tanzania ili tukose watalii wahamie Kenya kwa wingi
Wewe ndio bure
Na kesho Mwenyekiti wao akimuunga mkono Lema utawasikia wakimpongeza bila tone la aibu.Lema kasema Mererani isiwe sehemu pekee ya kuwa na soko la Tanzanite. Sasa huo uzushi wa kuhamisha soko toka Mererani unaletwa na kina Sendeka wapiga kelele ambao wao kila kitu kiko sawa il mradi tu kinafanywa na CCM!!
Ukiona akina lema wanaongea ujue wametumwa na bi kiroboto maaana yule sio mwenzenu anawachora tu nyie ila yule ni Mussa ndani ya MisriOlegunar olemedeki sendeka huwa anapenda sana kujipa umuhimu, kwani kauli ya Lema ni ya serikali?
chawa wa lemaWewe una ujanja gani?
Hao chawa ni wapuuzi sanachawa wa lema
Lema hafai kabisaNgoja tuone...