Umeambiwa mchakato wa mabadiliko simba usha kamilika??Unaingiaje ubia na watu usio waamini? Halafu pia hizo pesa hajaweka kwenye akaunti ya simba iweje a excute maamzi ya ajira wakati hata haja halalisha uwekezaji wake.?
Hayo matatu ya mwisho ndo yapi sasa?Mkuu, mbona kwa mwaka huwa anaweka zaidi ya 3B, sasa hizo 2oB unamaanisha 2B and "Other Business"?
Nadhani OB ni kama
1. Kubeba Mataji
2. Kufika hatua ya makundi Michuano ya Kimataifa CAf
3. Kuongeza mapato ndani ya Club
4. Kuifanya timu kujiendesha bila hasara
5. Kuongeza vyanzo vya mapato ya Club
Na mengine meengi.
Kwa akili kama hizi mo kashajipigia watu.Hivi hao wanaodai 20bn wanazani zitaingizwa kwenye mpesa ya mashabiki?
Punguzeni utoto twendeni tukampe 5 ihefu
Bahati nzuri Mungu hakukupa hizo Bil.20 hivi angekupa Ungeziweka bila Mchakato Mzima kukamilika Acheni Hoja za kihuni Huyo Kigwangala kama Anazo Azitoe Mo ajiondekeeSisi hii tabia ya kutishia kujiuzulu imetuchosha, yeye ajibu hoja kitajiri. Aweke hizo 20 billions maswali ya yaishe. Halafu pamoja na hilo asisahau simba sio Mali yake na hesabu za fedha kila mwaka ziwe zinakaguliwa na kusomwa mkutano mkuu.
Ajira ziwe zinatangazwa wanasimba waziombe.
Mikataba ya Mo extra na Mo halisi iwekwe wazi.
Mchakato wa logo nao aseme nani alimpa ridhaa ya kuibadili.
Pia uwanja wa bunju ulionunuliwa n.a. Rais kikwete iweje uitwe MO arena ni kwa hadidu zipi za vikao vya wanasimba?
N.a. iwapo atajiuzulu nashauri ashtakiwe kwa utapeli huwezi kuua nia ya watu wengine kuwekeza kwenye mpira wa tanzania na mambo kama haya ndo yaliyowakuta Yanga baada ya Manji kuondoka.
Tumechoka kuchezewa!
Weweee tulia hivyohivyo sindano ikuingie barabaraKahoji kwanza team yako ya utopolo kwa nin msim unaanza bila uzi mpya!! kelele za ki ngedele ngedele peleka kwa chura wenzako
Bwana ngedele tukutane saa kumii ili ujue muwekezaji wa kwel ni yupi sio unabweka bweka hapaWeweee tulia hivyohivyo sindano ikuingie barabara
Pooleni mmeingizwa choo msichostahili. HahahaaBwana ngedele tukutane saa kumii ili ujue muwekezaji wa kwel ni yupi sio unabweka bweka hapa
Kiukweli kuhoji sana hii ishu sipendi... ila sipendi zaidi anapokuja na utetezi wa kujitoa... huo ni upumbavu.Sisi hii tabia ya kutishia kujiuzulu imetuchosha, yeye ajibu hoja kitajiri. Aweke hizo 20 billions maswali ya yaishe. Halafu pamoja na hilo asisahau simba sio Mali yake na hesabu za fedha kila mwaka ziwe zinakaguliwa na kusomwa mkutano mkuu.
Ajira ziwe zinatangazwa wanasimba waziombe.
Mikataba ya Mo extra na Mo halisi iwekwe wazi.
Mchakato wa logo nao aseme nani alimpa ridhaa ya kuibadili.
Pia uwanja wa bunju ulionunuliwa n.a. Rais kikwete iweje uitwe MO arena ni kwa hadidu zipi za vikao vya wanasimba?
N.a. iwapo atajiuzulu nashauri ashtakiwe kwa utapeli huwezi kuua nia ya watu wengine kuwekeza kwenye mpira wa tanzania na mambo kama haya ndo yaliyowakuta Yanga baada ya Manji kuondoka.
Tumechoka kuchezewa!
Tukana uwezavyo mmeshikwa pabaya. Unanichekesha sanaBwana ngedele tukutane saa kumii ili ujue muwekezaji wa kwel ni yupi sio unabweka bweka hapa
Unapenda nn sasaKiukweli kuhoji sana hii ishu sipendi... ila sipendi zaidi anapokuja na utetezi wa kujitoa... huo ni upumbavu.
Sawa, itakuletea furahaHata hiyo 20 kuandika hujui.
Naona kila siku unakomalia 20B kama yako. Wenye Simba yao wametulia, wewe kazi pekeche pekeche! Umbea kama dada aliyepewa talaka ya ghafla.Unaingiaje ubia na watu usio waamini? Halafu pia hizo pesa hajaweka kwenye akaunti ya simba iweje a excute maamzi ya ajira wakati hata haja halalisha uwekezaji wake.?
We kama naniSisi hii tabia ya kutishia kujiuzulu imetuchosha, yeye ajibu hoja kitajiri. Aweke hizo 20 billions maswali ya yaishe. Halafu pamoja na hilo asisahau simba sio Mali yake na hesabu za fedha kila mwaka ziwe zinakaguliwa na kusomwa mkutano mkuu.
Ajira ziwe zinatangazwa wanasimba waziombe.
Mikataba ya Mo extra na Mo halisi iwekwe wazi.
Mchakato wa logo nao aseme nani alimpa ridhaa ya kuibadili.
Pia uwanja wa bunju ulionunuliwa n.a. Rais kikwete iweje uitwe MO arena ni kwa hadidu zipi za vikao vya wanasimba?
N.a. iwapo atajiuzulu nashauri ashtakiwe kwa utapeli huwezi kuua nia ya watu wengine kuwekeza kwenye mpira wa tanzania na mambo kama haya ndo yaliyowakuta Yanga baada ya Manji kuondoka.
Tumechoka kuchezewa!
We zuzu nini ,,kila mtu atavuna alicho panda nazan umeanza kuona matunda baada ya game za Leo ,,piga kelele za kingedele huku mnyama akiendelea kuchanja mbugaTukana uwezavyo mmeshikwa pabaya. Unanichekesha sana
Unacheka ki ngedele unafrah mwenyewe ,,,kwan utopolo wa meshinda goal ngap hukoPooleni mmeingizwa choo msichostahili. Hahahaa