Ole wake MO ajiuzulu,maana hapendi kuhoji 2oB.

Unacheka ki ngedele unafrah mwenyewe ,,,kwan utopolo wa meshinda goal ngap huko
We mtoto acha jazba. Imekula kwenu. Ila kajitahidi kuchukua ubingwa mara tatu mfululizo
 
Mchakato kweli bado wa kuifanya simba kuwa kampuni hilo atukatai, na kwa maana hiyo simba bado ipo chini ya wanachama na wenyekiti/Rais wa simba alijiuzulu, yupo anaekaimu hapa tu kuna shidah
Pil :- MO ni Nani simba?! Na je kama mtasema ni muekezaji kawekeza wapi?
3:- simba ina faidika na nin kupitia brand ya MO extra na MO halisi
Je ipo mikataba yake?
LA mwisho Mchakato umefikia wap na kipi kipo tayar na kip bado
Maaan mim nataka niwe mmoja wa wanachama watakao nunua hisa hata Kam si shabiki wa SIMBA Bali ni haki yangu ya msing kuwekeza kokote ili mradi nisivunje sheria za nchi
 
MO huwa anapima upepo sana ila trust me mauzo ya MO yanaenda juu kupitia ads za simba naweza kusema MO anahitaji simba haswa, Ndio mana unaona anaanza kutoa Inshu za private za Minister kisa tu kahojiwa juu ya mchakato wa kumpata Madam CEO na iyo 20B, Mo amezidi kutrend na kuuza zaidi product zake zaidi after kujiingiza zaidi Simba huyo muhindi mkiamua kutulia mumbane ataweka Mpunga mana aki quit simba ata Mauzo yake ya bidhaa zake yatashuka sana
Share za METL zina fly kwa vile ya neno Mo halikauki midomoni mwa watanzania akitoka mazima simba hata Forbes utaona watamshusha
 
simba bado ipo chini ya wanachama na wenyekiti/Rais wa simba alijiuzulu, yupo anaekaimu hapa tu kuna shidah...๐ฆ๐ฐ๐š๐ค๐š ๐ฃ๐š๐ง๐š ๐ฐ๐š๐ง๐š๐œ๐ก๐š๐ฆ๐š ๐ค๐ฎ๐ฉ๐ข๐ญ๐ข๐š ๐ฆ๐ค๐ฎ๐ญ๐š๐ง๐จ ๐ฆ๐ค๐ฎ๐ฎ ๐ฐ๐š๐ฅ๐ข๐ฆ๐ฉ๐ข๐ญ๐ข๐ฌ๐ก๐š ๐ค๐š๐๐ฎ๐ ๐ฎ๐๐š ๐ค๐ฎ๐ฐ๐š ๐ค๐š๐ข๐ฆ๐ฎ ๐ฆ๐ฉ๐ค๐š ๐ค๐ข๐ฉ๐ข๐ง๐ ๐œ๐ก๐š ๐ฆ๐ข๐š๐ค๐š ๐ฆ๐ข๐ง๐ง๐ž ๐ข๐ฉ๐ข๐ญ๐ž

Pil :- MO ni Nani simba?! Na je kama mtasema ni muekezaji kawekeza wapi?.....๐ญ๐ž๐ง๐๐ž๐ซ ๐ข๐ฅ๐ข๐จ๐ญ๐š๐ง๐ ๐š๐ณ๐ฐ๐š ๐ง๐š ๐ฐ๐š๐ง๐š๐œ๐ก๐š๐ฆ๐š ๐ฐ๐š ๐ฌ๐ข๐ฆ๐›๐š ๐ค๐ฎ๐ฆ๐ญ๐š๐Ÿ๐ฎ๐ญ๐š ๐ฆ๐ฎ๐ž๐ค๐ž๐ณ๐š๐ฃ๐ข ๐ง๐ข ๐ฆ๐จ ๐ง๐๐ข๐จ ๐š๐ฅ๐ข๐ž๐ฌ๐ก๐ข๐ง๐๐š ๐ก๐ข๐ฒ๐จ ๐ญ๐ž๐ง๐๐ž๐ซ ๐ง๐š ๐ค๐ฎ๐ญ๐š๐ง๐ ๐š๐ณ๐ฐ๐š ๐ค๐ฐ๐ž๐ง๐ฒ๐ž ๐ฆ๐ค๐ฎ๐ญ๐š๐ง๐จ ๐ฆ๐ค๐ฎ๐ฎ, ๐ค๐ฐ๐š ๐ก๐ข๐ฒ๐จ ๐ฆ๐จ ๐ง๐ข ๐ฆ๐ฎ๐ž๐ค๐ž๐ณ๐š๐ฃ๐ข ๐ฌ๐ข๐ฆ๐›๐š ๐ข๐ง๐ ๐š๐ฐ๐š ๐ญ๐š๐ซ๐š๐ญ๐ข๐›๐ฎ ๐ณ๐š ๐ฆ๐š๐›๐š๐๐ข๐ซ๐ข๐ค๐จ ๐ก๐š๐ณ๐ข๐ฃ๐š๐ค๐š๐ฆ๐ข๐ฅ๐ข๐ค๐š

3:- simba ina faidika na nin kupitia brand ya MO extra na MO halisi
Je ipo mikataba yake?...๐ค๐ข๐ฉ๐ข๐ง๐๐ข ๐ฆ๐š๐ ๐จ๐ซ๐ข ๐ง๐ข ๐‚๐„๐Ž ๐ฐ๐š ๐ฌ๐ข๐ฆ๐›๐š ๐š๐ฅ๐ข๐ฆ๐ญ๐š๐ฆ๐›๐ฎ๐ฅ๐ข๐ฌ๐ก๐š ๐ฆ๐จ ๐ž๐ฑ๐ญ๐ซ๐š ๐ค๐ฎ๐ฐ๐š ๐ฆ๐๐ก๐š๐ฆ๐ข๐ง๐ข ๐ค๐ฐ๐ž๐ง๐ฒ๐ž ๐ฃ๐ž๐ณ๐ข ๐ฒ๐š ๐ฌ๐ข๐ฆ๐›๐š ๐ง๐š ๐ค๐ฐ๐š ๐ฆ๐ฐ๐š๐ค๐š ๐š๐ง๐š๐ฅ๐ข๐ฉ๐š ๐ฆ๐ข๐ฅ๐ข๐จ๐ฆ 250.

LA mwisho Mchakato umefikia wap na kipi kipo tayar na kip bado
Maaan mim nataka niwe mmoja wa wanachama watakao nunua hisa hata Kam si shabiki wa SIMBA Bali ni haki yangu ya msing kuwekeza kokote ili mradi nisivunje sheria za nchi...๐ฉ๐š๐ฅ๐ž ๐ค๐ฎ๐ง๐š ๐ค๐š๐ฆ๐š๐ญ๐ข ๐ข๐ง๐š๐ฒ๐จ๐ฌ๐ข๐ฆ๐š๐ฆ๐ข๐š ๐ก๐ฎ๐ฒ๐จ ๐ฆ๐œ๐ก๐š๐ค๐š๐ญ๐จ ๐ง๐๐ข๐จ ๐ข๐ง๐š๐ญ๐š๐ค๐ข๐ฐ๐š ๐ค๐ฎ๐ญ๐จ๐ค๐š ๐ฆ๐›๐ž๐ฅ๐ž ๐ค๐ฎ๐ž๐ฅ๐ž๐ณ๐ž๐š ๐ฎ๐ฆ๐ฆ๐š ๐ค๐ข๐ฉ๐ข ๐ค๐ข๐ง๐š๐œ๐ก๐จ๐ž๐ง๐๐ž๐ฅ๐ž๐š ๐ง๐š ๐ค๐ข๐ฉ๐ข ๐›๐š๐๐จ
 
Akiulizwa zilipo b 20
 
Utopolo buku mbili fc naona mnaazisha uzi kila kikicha ili Simba igeuke vibakuli hamtafanikiwa
Mimi ni Simba,hoja ni za msingi.Mo analeta janjajanja ya nyani.Aweke hela za Simba mezani km mwanahisa.mambo mengine yafuate.
 
Mchanganuo wa 20B
Kulipa mahitaji yote ya simba ikiwa pamoja na kulipia makombe yote ya tanzania
NB: Ndio maana mechi za kimataifa mnakula 255
1.2017/2018 B4
2.2018/2019 B5
3.2019/2020 B7
Kwa hiyo hela mnayomdai mo ni B4
#panic at your own risk
 
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ