Ole wako!! Ukiwa muislam kwenye nchi hizi usithubutu kuhama dini, adhabu ni kifo

Max Mello ndio anafurahia nyuzi kama hizi,
Hakuna anaefurahia adhabu hizi za kuua watu wanaobadili dini

tunaelimishane tuweze kulaani vitendo hivi kwa pamoja

Ni matumaini ya wengi ipo siku sheria hizi zitafutwa watu wawe huru
 
Hakuna anaefurahia adhabu hizi za kuua watu wanaobadili dini

tunaelimishane tuweze kulaani vitendo hivi kwa pamoja

Ni matumaini ya wengi ipo siku sheria hizi zitafutwa watu wawe huru
Nenda kazibuane mitaro na papa, jf ni ya kigalatia ndiomaana inalea huu upuuzi Maxence Melo ndio anaona raha kuona huu upuuzi
 
Nikiletaga nyuzi za kusifia uislam una sheria nzuri za mirathi kwanini huwa hamsemi nina chuki ?
yap,,unajua mimdau wako?

sio iyo tu nafatilia sana mada zako zingine kama ile ya blog yako aimove on forward licha ya kuwa na miaka miwili.unamuona Mayele ndani ya Simba,sijui kuna ile ya kukutana na matapeli asubuhi.
tooth pick ilikuumiza kidole wewe nikakupa pole.kwa kifupi mimi chawa wako og😅😂


ila kuna mada unazingua zinaamsha hisia za chuki za kidini ambazo zingichanganya itakua hatari.
kwa mfano ile mada yako ya Can Is,,,,,Coexi,,with none,,,Mus,,! iyo ni huko kwenye hizo nchi sio kwetu.

kuna wasio na dini kabisa ndio vinara wa upendo,amani na kusaidia watu na matendo mema kuliko waliomeza dini.
yakhe nadhani umenielewa.
 
Sasa waislam mbona hawajadili hoja wanatoa kashfa kwa mtoa mada? Kama jamaa anaongea uongo tuambieni hapa ili tujue....kusema watu wanauwawa wakibadili dini imekuwa ni uchochezi?
 
Nimedanganya ??
Ebu tuwekee vifungu vya sheria za nchi hizo vinavyo sema hivyo.
Hata kama ni Kweli ww inakuhusu nn kwann unawashwa washwa na uislam kila siku?
Kwa nn usiwe unaanzaisha nyuzi za kujadili mapungufu yaliyo jaa kwenye dini yenu?
 
Sasa waislam mbona hawajadili hoja wanatoa kashfa kwa mtoa mada? Kama jamaa anaongea uongo tuambieni hapa ili tujue....kusema watu wanauwawa wakibadili dini imekuwa ni uchochezi?
Angeonekana ana hoja iwapo ange ambatanisha na vifungu vya sheria kwenye katiba za nchi hizo alizo zitaja au aje na mfano mmoja wapo wa mtu ambaye alisha uawa kwa sababu ya kubadili dini.
 
Ebu tuwekee vifungu vya sheria za nchi hizo vinavyo sema hivyo.
Hata kama ni Kweli ww inakuhusu nn kwann unawashwa washwa na uislam kila siku?
Kwa nn usiwe unaanzaisha nyuzi za kujadili mapungufu yaliyo jaa kwenye dini yenu?
Nchi hizo kwa kiasi kikubwa zinafata muongozo wa SHARIA, kuna mpaka mahakama na mapolisi maalum wa Sharia.

Nchi kama Saudia kuna waajiriwa special kabisa wanalipwa na serikali kutekeleza hukumu, kazi yao ni kuwatenganisha watu vichwa na viwiliwili kwa upanga.
 
Ebu tuwekee mfano mmoja wapo wa mtu aliye katwa kichwa kwa sababu ya kubadili dini nchini Saudia arabia.
 
Mada za kipuuzi za kuokoteza ukoteza


Saudia iliyojaa wakristo kibao hadi wakina Ronaldo ndio unaianzishia uzi
 
Ndugu yangu uwe unacha nyuzi za chuki na za uongo kuukashifu uislam.
Hizo nchi ulizotaja hususan Qatar,Saudi Arabia,Malaysia na UAE zina uhuru wa kuabudu na imani uitakayo.
Wafuatilie hata kina Sami Zaidan wana ndugu ambao wameritadi na wakristu na ni wazaliwa wa Qatar.
Kaka hupati faida yeyote kudanganya na kuleta mada za udini.
Punguza udini unakera sana.
 
Angeonekana ana hoja iwapo ange ambatanisha na vifungu vya sheria kwenye katiba za nchi hizo alizo zitaja au aje na mfano mmoja wapo wa mtu ambaye alisha uawa kwa sababu ya kubadili dini.
Hii ndo point sasa ya kumwambia mleta mada aje na vifungu vya Sheria pamoja na mifano sio kuleta matusi na kusema mchochezi,
 
Sasa si ameongea ukweli kama una hoja pinga basi
 
Katiba inasema mtu ana uhuru wa kuabudu chochote ili mradi asivunje sheria. Mimi ninaamini JUA ndio Mungu wangu. Sijavunja katiba, tuheshimiane katika kuabudu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…