- Thread starter
- #21
Nimedanganya ??Hivi ww jamaa hunaga kazi nyingine zaidi ya kushinda humu una piga poroja dhidi ya Uislam ambao huwezi kuufanya wala kuupunguzia chochote?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimedanganya ??Hivi ww jamaa hunaga kazi nyingine zaidi ya kushinda humu una piga poroja dhidi ya Uislam ambao huwezi kuufanya wala kuupunguzia chochote?
Hakuna anaefurahia adhabu hizi za kuua watu wanaobadili diniMax Mello ndio anafurahia nyuzi kama hizi,
Nenda kazibuane mitaro na papa, jf ni ya kigalatia ndiomaana inalea huu upuuzi Maxence Melo ndio anaona raha kuona huu upuuziHakuna anaefurahia adhabu hizi za kuua watu wanaobadili dini
tunaelimishane tuweze kulaani vitendo hivi kwa pamoja
Ni matumaini ya wengi ipo siku sheria hizi zitafutwa watu wawe huru
Saudi Arabia ukiwa muislam ukibadili dini upo salama ?Nenda kazibuane mitaro na papa, jf ni ya kigalatia ndiomaana inalea huu upuuzi Maxence Melo ndio anaona raha kuona huu upuuzi
yap,,unajua mimdau wako?Nikiletaga nyuzi za kusifia uislam una sheria nzuri za mirathi kwanini huwa hamsemi nina chuki ?
Ebu tuwekee vifungu vya sheria za nchi hizo vinavyo sema hivyo.Nimedanganya ??
Angeonekana ana hoja iwapo ange ambatanisha na vifungu vya sheria kwenye katiba za nchi hizo alizo zitaja au aje na mfano mmoja wapo wa mtu ambaye alisha uawa kwa sababu ya kubadili dini.Sasa waislam mbona hawajadili hoja wanatoa kashfa kwa mtoa mada? Kama jamaa anaongea uongo tuambieni hapa ili tujue....kusema watu wanauwawa wakibadili dini imekuwa ni uchochezi?
Nchi hizo kwa kiasi kikubwa zinafata muongozo wa SHARIA, kuna mpaka mahakama na mapolisi maalum wa Sharia.Ebu tuwekee vifungu vya sheria za nchi hizo vinavyo sema hivyo.
Hata kama ni Kweli ww inakuhusu nn kwann unawashwa washwa na uislam kila siku?
Kwa nn usiwe unaanzaisha nyuzi za kujadili mapungufu yaliyo jaa kwenye dini yenu?
Uislam hauna haja ya sifa zako kwa sababu sifa zako haziuongezei chochote ,jadili dini yako acha kuwashwa na uislam.Nikiletaga nyuzi za kusifia uislam una sheria nzuri za mirathi kwanini huwa hamsemi nina chuki ?
Ebu tuwekee mfano mmoja wapo wa mtu aliye katwa kichwa kwa sababu ya kubadili dini nchini Saudia arabia.Nchi hizo kwa kiasi kikubwa zinafata muongozo wa SHARIA za miaka, kuna mpaka mahakama na mapolisi maalum wa Sharia
Nchi kama Saudia kuna waajiriwa special kabisa wanalipwa na serikali kutekeleza hukumu, kazi yao ni kuwatenganisha watu vichwa na viwiliwili.
Mada za kipuuzi za kuokoteza ukotezaMUHIMU: Kama kuna nchi katika hii orodha haiui wanaobadili dini naombeni tuelimishane nifanye marekebisho
Kosa la kuhama dini katika nchi hizi linaitwa APOSTASY, Hukumu ni KIFO
Wanaobadili dini wengi wao huchukua maamuzi hayo pindi wakiwa watu wazima wenye utimamu baada ya kuzichambua dini zingine, dini zao za mwanzoni huziona walichaguliwa na wazazi / walezi wao wakiwa hawajitambui.
Ila sio kila sehem uhuru huu upo, katika nchi hizi ukiwa muislam ni kosa kubadili dini, ukijaribu UTAUWAWA !!
- Afghanistan
- Saudi Arabia
- Brunei / Darussalam
- Iran
- Malaysia
- Maldives
- Mauritania
- Qatar
- United Arab Emirates
- Yemen.
Ndugu yangu uwe unacha nyuzi za chuki na za uongo kuukashifu uislam.MUHIMU: Kama kuna nchi katika hii orodha haiui wanaobadili dini naombeni tuelimishane nifanye marekebisho
Kosa la kuhama dini katika nchi hizi linaitwa APOSTASY, Hukumu ni KIFO
Wanaobadili dini wengi wao huchukua maamuzi hayo pindi wakiwa watu wazima wenye utimamu baada ya kuzichambua dini zingine, dini zao za mwanzoni huziona walichaguliwa na wazazi / walezi wao wakiwa hawajitambui.
Ila sio kila sehem uhuru huu upo, katika nchi hizi ukiwa muislam ni kosa kubadili dini, ukijaribu UTAUWAWA !!
- Afghanistan
- Saudi Arabia
- Brunei / Darussalam
- Iran
- Malaysia
- Maldives
- Mauritania
- Qatar
- United Arab Emirates
- Yemen.
Hii ndo point sasa ya kumwambia mleta mada aje na vifungu vya Sheria pamoja na mifano sio kuleta matusi na kusema mchochezi,Angeonekana ana hoja iwapo ange ambatanisha na vifungu vya sheria kwenye katiba za nchi hizo alizo zitaja au aje na mfano mmoja wapo wa mtu ambaye alisha uawa kwa sababu ya kubadili dini.
Sasa si ameongea ukweli kama una hoja pinga basiUncle bright punguza hizi mambo.
nimeona nyuzi zako nyingi ni za chuki za kidini hiyo haifai mkuu.
80% ya mauwaji ya kimbari April 1994 Rwanda yalichochewa na taarifa za chuki kwenye vyombo vya habari.
matokeo yake watutsi wakafa,na wahutu walioeneza chuki mwenye vyombo vya habari nao wakafa.
watutsi wakakimbia nchi,na wahutu walioeneza chuki nao wakakimbia nchi.mwisho wasiku wote walipata hasara tena kubwa sana.
Hapa tanzania ni mapadri wangapi wameuawa kanisani? Umesikia kesi popote?Saudi Arabia ukiwa muislam ukibadili dini upo salama ?