Ama tuwaite mikia mirefu vs mikia iliyokatwaπ€ΈπππHao wote ni CCM hakuna jipya hapo
Bashiru sio mwana CCM.Hao wote ni CCM hakuna jipya hapo
Huyu jamaa asipochukuliwa hatua nitashangaa.Mkata mikia mashuhuriππππView attachment 2172549View attachment 2172550View attachment 2172551
Mmoja yuko shule anajiandaa kwenda malawi na mwingine namwonaga maenea ya ubungo msewe na vits yake mbovu mbovu kila siku kutuazima wire wa kubustia betriNiwakumbushe wale wote waliohusika kukata mkia wa Bernad Membe na Abdalahmani Kinana.Inaoneka mikia imeshaanaza kuota upya.Itakumbukwa kwamba Ndugu Membe aliwahi kukili kuwa AMEKATWA MKIA
Sasa wajiandae wao.labda zamu yao itakuwa kukatwa vichwa kabisa.Ila Mungu atwaepusha visasi.
"BWANA asema hivi, Amelaaniwa mtu yule amtegemeaye mwanadamu, Amfanyaye mwanadamu kuwa kinga yake Na moyoni mwake amemwacha BWANA.Yeremia 17:5"
Ngoja wasabato waje!you can't be more Christian than the Roman's
Anaeazima waya ni nani huyo mkuu wa Stendi?Mmoja yuko shule anajiandaa kwenda malawi na mwingine namwonaga maenea ya ubungo msewe na vits yake mbovu mbovu kila siku kutuazima wire wa kubustia betri
Alikuwa katibu mkuu wa chama gani??Bashiru sio mwana CCM.
Wamejiorganize kimya kimya. Jasusi watu walikuwa wanamuulizia mbona kakaa kimya yuko wapi? Kumbe yuko kaziniKweli aisee Sasa liko wazi Hawa jamaa ni ndugu. Sasa wamerudi upyaaaaa!
Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
Balozi Katibu Mkuu atembelee vitz?Mmoja yuko shule anajiandaa kwenda malawi na mwingine namwonaga maenea ya ubungo msewe na vits yake mbovu mbovu kila siku kutuazima wire wa kubustia betri
Membe hajuagi kusamehe hili aliwahi kukiri akiwa waziri kuwa akiwa rais kuna watu 3 watahama nchi.Hao wote ni CCM hakuna jipya hapo
Kwa ki-inglish sahihi ni 'you can't be more Christian than the Romans', siyo hiyo uliyoandika wewe.you can't be more Christian than the Roman's