Ole wenu CHADEMA!

Ole wenu CHADEMA!

Kuna kubwa kuliko hili?
Habari zinasema kwamba huko nyuma, mbinu zilizotumika kuwamaliza wapinzani ni pamoja na kupenyeza watu wao ndani ya vyama vyao ili walete vurugu, jambo wanaloweza kulifanya kwa CHADEMA pia, ili viongozi na wanachama wagombane, wafukuzane.
 
This is 2015 na Mbowe bado yuko strong. Watu waliopenyezwa na CCM kuivuruga Chadema wamejulikana na kutimuliwa.
Tunangoja plan B ya CCM ama itakula kwao.
 
This is 2015 na Mbowe bado yuko strong. Watu waliopenyezwa na CCM kuivuruga Chadema wamejulikana na kutimuliwa.
Tunangoja plan B ya CCM ama itakula kwao.

Za mwaka mpya Jasusi.
 
.......

Mitaani, mwanasiasa anayezungumzwa sana kwa upande wa upinzani, huku akipewa nafasi ya kukua zaidi ni Mbowe.

Vyanzo vya habari vinasema CCM wamefanya utafiti, wamelijua hilo , na hawawezi kumwachia akashamiri, kwa sababu
hawataki kusumbuliwa katika uchaguzi wa mwaka 2010.


Chanzo: Tanzania Daima » Account Suspended
Kumbe ndo maana walipoteana 2010, nguvu zote walizielekeza kwa Mbowe, wakasahu kuwa CHADEMA ni taasisi.
 
This is 2015 na Mbowe bado yuko strong. Watu waliopenyezwa na CCM kuivuruga Chadema wamejulikana na kutimuliwa.
Tunangoja plan B ya CCM ama itakula kwao.
Ajabu ni kwamba baada ya wavurugaji kujulikana na kutimuliwa kikosi kilichobaki kimezidi kuimarika kwa kupata wachezaji wapya na kuwaacha waandaaji wakivurugana wenyewe kwa wenyewe! Mbinu za kumdhoofisha Mbowe yaonekana zimegonga mwamba na badala yake kwa sasa ndiye Kiongozi wa Upinzani bungeni.
 
Mwanakijiji, Mkandara na Mzee Es,
10. Mzee Es umesema Freeman ni CCM. Kama alivyosema Mwanasiasa-Tupe ushahidi. Kwa maoni yangu mimi siyo. Ilinichukua muda sana kuamua kuingia CHADEMA. Mimi napenda Utomaso!. Niliwachunguza sana viongozi wa CHADEMA kabla sijajiunga. Wengi nawaamini. Kama watabadilika huko mbele hiyo ni silika nyingine tofauti ya binadamu. Nimekaa karibu sana na Freeman, msimamo wake kuhusu masuala mbalimbali ya maisha naufahamu. Kama watu wa jamii hiyo ni wanaendana na yanayofanyika CCM basi watanzania wengi ni CCM. Lakini siamini hivyo. Kumbuka Freeman ana mizizi katika CHADEMA kama mmoja wa waasisi miaka kumi na ushee nyuma. Unataka kusema toka wakati huo alikuwa CCM?
Mkuu JJ,@John Mnyika
asante kuliweka hili vizuri。
P
 
Mkuu Mkandara upo?。That then,sasa ni inamlinda,
P
Sidhani kama dr. Slaa alopewa Ubalozi naye anamuunga mkono Lissu. Kuna watu wanafadhiliwa na Ford Foundation nao upande wa Lissu. Ingekuwa tofauti ningesema kweli CCM inamlinda Mbowe lakini MUDA HUU kutokea haya najua kabisa dhamira ni kuibomoa Chadema na hakuanzisha Mbowe.
 
Sidhani kama dr. Slaa alopewa Ubalozi naye anamuunga mkono Lissu. Kuna watu wanafadhiliwa na Ford Foundation nao upande wa Lissu. Ingekuwa tofauti ningesema kweli CCM inamlinda Mbowe lakini MUDA HUU kutokea haya najua kabisa dhamira ni kuibomoa Chadema na hakuanzisha Mbowe.
Alianzisha nani?. Aliemtuma Wenje agombee Umakamu ni nani?. Na Je aliemtuma Lissu agombee uwenyekiti ni nani?. Mbowe kwa nini hakuwa muwazi kama atagombea au laa mpaka atengeneze sinema?.

Wakuikwamua CDM ni Lissu na Heche.
 
Sidhani kama dr. Slaa alopewa Ubalozi naye anamuunga mkono Lissu. Kuna watu wanafadhiliwa na Ford Foundation nao upande wa Lissu. Ingekuwa tofauti ningesema kweli CCM inamlinda Mbowe lakini MUDA HUU kutokea haya najua kabisa dhamira ni kuibomoa Chadema na hakuanzisha Mbowe.
Thanks kujua upo!.
P
 
Nimepita tu mtaani hapa kwa sababu ndio mahala pekee naweza pata muda kama huu. Pia naelewa watu wanachanganya nafasi hizi mbili kwa sababu wamezoea kuona mfumo mmoja sio huu wa Chadema ambao
1. Mwenyekiti wa Chama - Ni Mjenzi wa Chama kusimamia Itikadi, sera, mipango na mifumo ndani ya Chama sio kupambana na Chama tawala.
2. Mgombea Urais - Huyu ndiye jicho la Wanachama kupambana na Chama Tawala katika.nafsi ya Urais ili Chama kipate ridhaa ya Wananchi kuongoza nchi.

Ndio maana wakati Mbowe akiwa Mwenyekiti aligombea Dr. Slaa, Lowassa na kisha Tundu Lissu. Huo ndio utatatibu walojiwekea Chadema, hivyo sioni Tundu Lissu kuwa na uwezo na sifa ya Kuongoza Chama labda kwenye kugombea Ufais maana ni mropokaji haachi kitu kama Trump. Na sioni kabisa kama Trump ana uwezo na sifa ya kuwa Mwenyekiti wa Conservatives.
 
Back
Top Bottom