Msukuma Original
JF-Expert Member
- Oct 2, 2018
- 928
- 3,330
Wewe nenda kalime mpunga huko Simiyu. Acha kuongopea watu kuwa wewe ni polisi. Kujipendekeza kwa jiwe kutawagharimu. Hata kama ungekuwa una mamlaka ya kuzuia mapokezi ya mpendwa wetu, ungeyazuia kwa sababu gani? Ni kosa watu kumpokea mpendwa wao? Acha kujitoa ufahamu.Natamani kubadili kituo cha kazi ili kuja kuwapa funzo hao wahuni wa CHADEMA, eti karibu nyumbani lissu,huu ni upuuzi,vunja miguu wahuni wote pamoja na mhuni wao mkubwa
Sipendi upuuzi mimi
Mkuu Wewe kawadanganye vijana wenzako waandamane kesho,harafu jumanne watakupeni mrejesho nini kimewakutaThe army can’t defeat people ndugu. Huwezi vunja miguu au kupiga risasi watu 2000. Hakuna anayeweza kufanya hivyo na hata waliojaribu hawakufanikiwa
Kaulize us wale walioandamana nini kimekuta,si huwa mnasema us ni baba wa demokrasiaNi aibu kwa serikali na kiongozi mkuu wa nchi kutumia SILAHA ZA KIVITA kushambulia raia wake MCHANA KWEUPE, eti kwa kuwa tu amewazidi hoja. Ni aibu na fedheha kubwa sana.
Nakwambia kila siku sio jumapili. Mmepigwa upofu hadi mmeshindwa kusoma Majira. Kwa taarifa yako International Media zina fanya live coverage ya tukio la Lissu Kesho. Kwa upande mwingine kuna barua kwa wakuu wa vyombo iliyokuwa copied kwa wakubwa wa umoja wa mataifa.Mkuu Wewe kawadanganye vijana wenzako waandamane kesho,harafu jumanne watakupeni mrejesho nini kimewakuta
Wewe endelea kuota,undhani wote waliomo humu ni wakulima wa simiyu? ,sina muda wa kukuaminisha Mimi ni nani na sihitaji unijue,ila jichanganyeni kesho ndo mtakijua kilichomzui kuku kukojoaWewe nenda kalime mpunga huko Simiyu. Acha kuongopea watu kuwa wewe ni polisi. Kujipendekeza kwa jiwe kutawagharimu. Hata kama ungekuwa una mamlaka ya kuzuia mapokezi ya mpendwa wetu, ungeyazuia kwa sababu gani? Ni kosa watu kumpokea mpendwa wao? Acha kujitoa ufahamu.
Embu usimfananishe Mange na kitukuu cha Yesu Lissu. Hivi unafikiri mtu kupona risasi 38 ni mchezo eeeh???Hapana tunawakanya kama tulivyowakanya kwenye maandamano ya Katafunua, Mange 77Nyeupe na Mkatuelewa.
Mbona unakuwa na kichwa kigumu kuelewa? Hawaandamani bali wanampokea mpendwa wao. Au siku hizi ni kosa kumpokea mpendwa wako?Mkuu Wewe kawadanganye vijana wenzako waandamane kesho,harafu jumanne watakupeni mrejesho nini kimewakuta
Hii nchi sio ya baba ako.Wewe endelea kuota,undhani wote waliomo humu ni wakulima wa simiyu? ,sina muda wa kukuaminisha Mimi ni nani na sihitaji unijue,ila jichanganyeni kesho ndo mtakijua kilichomzui kuku kukojoa
Tatizo wafuasi wa chadema huwa nadhindwa kuelewa ilimu zenu ni za kiwango gani,unajua màana ya neno Tanzania is a sovereignty state,?Nakwambia kila siku sio jumapili. Mmepigwa upofu hadi mmeshindwa kusoma Majira. Kwa taarifa yako International Media zina fanya live coverage ya tukio la Lissu Kesho. Kwa upande mwingine kuna barua kwa wakuu wa vyombo iliyokuwa copied kwa wakubwa wa umoja wa mataifa.
Nyie ingieni mkenge tu iyo kesho na polisi wenu muanze kupiga watu alafu muone nchi yetu mtaiweka wapi.
Kwa kifupi Lissu kajipanga, inahitaji akili zaidi kukabiliana nae la sivyo mwaka huu wakuu wotewa vyombo vya ulinzi na usalama na boss wao watatolewa arrest warrant na Mahakama ya Kimataifa ya Jinai
Tatizo umeniqoute huku umekunywa.Ungemsaidia marehemu Mkapa alipokuwa anapigania uhai wake ukivunje miguu kifo ingekuwa msaada mkubwa sana
Lisu ana haki zake tulizeni mshono kwani mkituua nyie mtaishi milele? Ndo maana babu yangu alniambia polsi na mbwa tofauti yao ndogo sana, na ni wachache sana wanojielewa.Hapana tunawakanya kama tulivyowakanya kwenye maandamano ya Katafunua, Mange 77Nyeupe na Mkatuelewa.
Hakutakuwa na mikusanyiko yoyote,msubirini huyo mhuni wenu afike nyumbani mkamsalimie kwake sio kufanya mikusanyiko iliyopigwa marufuku,nawambia kesho maji mtayaita mma.Mbona unakuwa na kichwa kigumu kuelewa? Hawaandamani bali wanampokea mpendwa wao. Au siku hizi ni kosa kumpokea mpendwa wako?
Natamani kubadili kituo cha kazi ili kuja kuwapa funzo hao wahuni wa CHADEMA, eti karibu nyumbani lissu,huu ni upuuzi,vunja miguu wahuni wote pamoja na mhuni wao mkubwa
Sipendi upuuzi mimi
Mtu akiwa polsi anakuwa na ujinga mwingi kichwani, sasa kuwa polsi ni sifa au ni utumwa, naona unalewa kodi zetu.Wewe endelea kuota,undhani wote waliomo humu ni wakulima wa simiyu? ,sina muda wa kukuaminisha Mimi ni nani na sihitaji unijue,ila jichanganyeni kesho ndo mtakijua kilichomzui kuku kukojoa
Hii nchi sio ya baba ako. Angalia usije ukaishia pabaya.Hakutakuwa na mikusanyiko yoyote,msubirini huyo mhuni wenu afike nyumbani mkamsalimie kwake sio kufanya mikusanyiko iliyopigwa marufuku,nawambia kesho maji mtayaita mma.
Eti lissu ,mtu mmoja hawezi leta karaha kwa raia milioni 50,tena ole wenu na huo waraka wenu sijui wa umoja wa mataifa au umoja wa facebook
Nani kakwambia Mimi police?Mtu akiwa polsi anakuwa na ujinga mwingi kichwani, sasa kuwa polsi ni sifa au ni utumwa, naona unalewa kodi zetu.