Ole wenu mnaopanga kuvuruga Msiba wa Rais Benjamin W. Mkapa, Kesho Kichapo hadi mtachakaa

Nafsi zinawasuteni kwa mliyo mfanyia mh Lissu
 
Wana weweseka tu huku wameficha nyuso zao kwa aibu
 
Utavunjwa wewe kiuno ili ubakie ombaomba kama matonya maana ndiyo adhabu pekee unayo stahili
Natamani kubadili kituo cha kazi ili kuja kuwapa funzo hao wahuni wa CHADEMA, eti karibu nyumbani lissu,huu ni upuuzi,vunja miguu wahuni wote pamoja na mhuni wao mkubwa

Sipendi upuuzi mimi
 
Inasikitisha Sana watu wanasua Sua kwenda kuaga ..:. Sijui upendo na Umoja wetu Uko wapi ..:.
Siku za karibuni hatufanyi mambo kitaifa iwe sherehe au misiba

We need National Ünity .... mambo ya kuanzia kupazimisha watu kuaga hayakua utamaduni wetu ... utaona hata Timu ya Taifa ikifungwa watu hufurahi
 
Haya maneno yanawachoma sana hawa mataga
Kwa hatua waliyofikia watanzania hamuwezi fanya lolote. Mlifanya makosa sana kumpiga risasi mkifikiri mmemmaliza. Haya ndo matokeo ya kutumia nguvu badala ya akili.

Pambaneni na Lissu mliyemjenga wenyewe. Na si utani huyu mtu anapendwa kweli
 

Baada ya serikali kujua hilo, watumishi wa umma wametakiwa kwenda kuaga, ili kuleta taswira kuwa marehemu alikuwa anakubalika.
 
Hakuna atayevuruga msiba watu wanakwenda kumpokea Tundu Lisu ambaye lisaa limoja atakuwa anatua kwenye ardhi ya bongo.
 
Wa kina nani wewe Kama nani unatuamrisha
 
Ubarikiwe sana mkuu
 
Natamani kubadili kituo cha kazi ili kuja kuwapa funzo hao wahuni wa CHADEMA, eti karibu nyumbani lissu,huu ni upuuzi,vunja miguu wahuni wote pamoja na mhuni wao mkubwa

Sipendi upuuzi mimi
Hahahaha Hahahaha kunywa sumu kabsaa ili usione pumbavu kabsaa ww
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…