Oleksandr Usyk amtwanga Tyson Fury na kuwa Undisputed Heavyweight Champion...

Oleksandr Usyk amtwanga Tyson Fury na kuwa Undisputed Heavyweight Champion...

Mabondia wa siku hizi miili imejaa minyama tu, ni aibu!
 
..Tyson Fury ni mrefu kupita kiasi na hiyo ni advantage kubwa.

..kwasababu ni mrefu anatumia jab mkono wa kushoto kushambulia na kujikinga.

..jab ya mkono wa kushoto iko very fast, na mpinzani wake asipoweza kujilinda nayo, au kuikwepa, basi hawezi kumshinda Tyson Fury.

..Na Tyson Fury hutumia jab ya mkono wa kushoto kutengeneza upenyo wa kupiga ngumi ya nguvu zaidi kwa kutumia mkono wa kulia.

..kwa maoni yangu, bondia anayeweza kumshinda Tyson Fury lazima awe na uwezo wa ku-defend, au kukwepa jab. Pia lazima awe na kasi ya kumuingilia na kumjeruhi Tyson Fury mapema.

..Usyk aliweza kumpiga Tyson Fury kwasababu alimuumiza akawa anatoka damu puani. Kitendo cha kutoka damu puani kikapunguza kasi na shabaha / accuracy ya Tyson Fury kutupa jab.

..Nakubaliana na wanaosema Refa alimuokoa Tyson Fury asishindwe kwa Knock Out.
 
Kuna mabondia game zao za mwisho huwa zinafanya utabiri kuwa rahisi,
Devin Haney vs Loma ( Hapa Devin alichapwa vizuri tu, nikajisemea next game atamalizwa ( KO) pamoja na kuwa alibebwa na majaji kwenye matokeo).
Fury vs Ngannou nilijua tu game ijayo furry atachapwa kwa( KO) .
na ilikuwa ni Knokout ile alishasanda.
Note: marefa wanaharibu mchezo kuna namna wanalazimisha mchezo umalize round zote ili iwe rahisi kupanga matokeo ya upendeleo. Huwa wanawaokoa wanaowapenda wasichezee Kipigo cha KO.
Kupitia mapambano hayo mawili hapo juu kila kitu kinajieleza.
Mtu pekee ambaye naona hana utata kwenye matokeo ni Gervota Davis
Uzani wa juu hauna mabondia siku hizi.Mapambano mengi niyakutafuta pesa tu.Ata hili pambano hakuna ata ngumi za maana zilizopiganwa.Ila ndo dunia ya sasa ilivyo.watu wako kibiashara zaidi.
 
Duh! Nilishangaa raundi ya Tisa Tyson anatupa taulo, refa ndio kamsaidia , la sivyo angepigwa kwa aibu. Alikuwa ameshakubali yaishe. Yule refa mjinga Sana.
Zile jebu alizokula round ya 9 Kwan pambano halikuishia hapo?cz mi nliangalia clips tu
 
Pambano lilipaswa kuisha raundi ya 9 ila refa aliamua kumbeba Fury.

Usyk akija kumpiga Wilder, atakuwa kamaliza kila kitu kwenye Heavy-Weight boxing.
kwa punch alizokula fury, wilder sidhan kama atatoboa huyu mtu wa ukraine anarusha makombora kiroho mbaya
 
Back
Top Bottom