Usyk kalamba Bilioni 120 za kibongo [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] safi sana.
Matatizo gani wewe ursyk mapambano yake ya nyuma ushayaona?Una matatizo
Uzani wa juu hauna mabondia siku hizi.Mapambano mengi niyakutafuta pesa tu.Ata hili pambano hakuna ata ngumi za maana zilizopiganwa.Ila ndo dunia ya sasa ilivyo.watu wako kibiashara zaidi.Kuna mabondia game zao za mwisho huwa zinafanya utabiri kuwa rahisi,
Devin Haney vs Loma ( Hapa Devin alichapwa vizuri tu, nikajisemea next game atamalizwa ( KO) pamoja na kuwa alibebwa na majaji kwenye matokeo).
Fury vs Ngannou nilijua tu game ijayo furry atachapwa kwa( KO) .
na ilikuwa ni Knokout ile alishasanda.
Note: marefa wanaharibu mchezo kuna namna wanalazimisha mchezo umalize round zote ili iwe rahisi kupanga matokeo ya upendeleo. Huwa wanawaokoa wanaowapenda wasichezee Kipigo cha KO.
Kupitia mapambano hayo mawili hapo juu kila kitu kinajieleza.
Mtu pekee ambaye naona hana utata kwenye matokeo ni Gervota Davis
Ngumi kwasasa angalau burudani unaweza kuipata uzani wa chini.uko juu ni biashara tu na promo.Mabondia wa siku hizi miili imejaa minyama tu, ni aibu!
Zile jebu alizokula round ya 9 Kwan pambano halikuishia hapo?cz mi nliangalia clips tuDuh! Nilishangaa raundi ya Tisa Tyson anatupa taulo, refa ndio kamsaidia , la sivyo angepigwa kwa aibu. Alikuwa ameshakubali yaishe. Yule refa mjinga Sana.
kwa punch alizokula fury, wilder sidhan kama atatoboa huyu mtu wa ukraine anarusha makombora kiroho mbayaPambano lilipaswa kuisha raundi ya 9 ila refa aliamua kumbeba Fury.
Usyk akija kumpiga Wilder, atakuwa kamaliza kila kitu kwenye Heavy-Weight boxing.
walita kumpendelea ikashindiikana aisee jamaa anapigaZile jebu alizokula round ya 9 Kwan pambano halikuishia hapo?cz mi nliangalia clips tu
utakuja kumtafutia mandonga matatizo wewe....Ww ndio hujui kitu huyo Wilder Hana hata stamina Mandonga mtu kazi anaenda naye round 12 zote