Olengurumwa: Ufafanuzi wa Kisheria kuhusu Ardhi ya Loliondo na Ngorongoro

Olengurumwa: Ufafanuzi wa Kisheria kuhusu Ardhi ya Loliondo na Ngorongoro

Hivi ulishawahi kuona bangi ikipuliziwa dawa??

Nijuavyo katika mimea isiyokuwa na mahitaji ya dawa mmoja wapo ni bangi.

Kule kwetu usandaweni tunaitumia kama mboga zingine na huku isibania ni kitu inatupa sana pesa hatuna mpango wa kulima mahindi na mazao mengine.
Madini wakiyakuta kwenye shamba unalolilipia na kulima siku zote huwa wanagharamikia wao?
Ni utani tuu kwenye swali lililo kwenye bolded mkuu.
Tuna sheria ya ajabu ya umiliki wa radhi kwa Tanzania.
Hahaaa!! hahaaa!! ni kweli haipuliziwi dawa kulingana na maeneo husika, na hali ya hewa, hapa nchini Lesotho inaota hovyo mpaka majalalani! ...yaani huku haiuzwi kabisaa!! ntakuwekea kapicha siku moja uone!

Lakini sasa DSM, Ntwara, Lindi nk, lazima umwagilie tu!
 
Back
Top Bottom