TANZIA Olivia Hussey, Aliyewahi kuigiza kama Bikira Maria (Mama wa Yesu) afariki dunia

TANZIA Olivia Hussey, Aliyewahi kuigiza kama Bikira Maria (Mama wa Yesu) afariki dunia

Omopa

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2022
Posts
335
Reaction score
1,466
FB_IMG_1735385784551.jpg


Mwigizaji Olivia Hussey maarufu kama Juliet , aliyepata umaarufu kupitia filamu ya Romeo and Juliet ya mwaka 1968, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 73.

Mwigizaji huyo ambaye amewahi kuuvaa uhusika kama mama wa Yesu katika filamu ya 'Jesus Nazareth' ya mwaka 1977, amefariki siku ya Ijumaa akiwa amezungukwa na wapendwa wake.
 
Uzuri wa wakatoliki hata muwabagaze vipi hawanaga muda wa kujibishana na panya wadogo wadogo. Ukatoliki ni taasis ambayo ime exist karibia miaka 2000. Na mzizi wake sio wa kitoto. Na UKATOLIKI NDIO UKRISTO WENYEWE. WHETHER YOU LIKE IT OR NOT. Mpaka malkia wa sheba ameenda ku bow down juzi kati pale vatican , wewe ni nani upinge?
 
Uzuri wa wakatoliki hata muwabagaze vipi hawanaga muda wa kujibishana na panya wadogo wadogo. Ukatoliki ni taasis ambayo ime exist karibia miaka 2000. Na mzizi wake sio wa kitoto. Na UKATOLIKI NDIO UKRISTO WENYEWE. WHETHER YOU LIKE IT OR NOT. Mpaka malkia wa sheba ameenda ku bow down juzi kati pale vatican , wewe ni nani upinge?
Yeye ni nani kwenye hii dunia?
 
Habari za kimataifa

Kiongozi wa kanisa katoliki duniani papa Francis awetaka waamini na wakristo ulimwenguni kote kuishi maisha ya amani akitaka udugu ujengwe kwa kuunganisha daraja na sio kuwekeana ukuta!

Papa Francis amesema hayo katika viwanja vya st Peter jijini Vatican

Nikiripoti kutoka Vatican city..,. Monetary doctor, zerominus10
 
Back
Top Bottom