Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sali Novena ya Mt.Ritha wa kashia kijana 😂Akapumzike anapostahili
H ishu imenigomeaSali Novena ya Mt.Ritha wa kashia kijana 😂
Ukiona hivyo ujueYesu hataki hata kukuskia.H ishu imenigomea
Kila mmoja anapaswa kuheshimu imani ya mtu mwingine na kutii sheria za nchi husika.Ila RC kuna mambo mnazingua, huku sio kuabudu masanamu kweli,?
Heshimu imani za watu kama wao wanavyokuheshimu wewe..Zana za kufundishia zinapigiwa magoti?
The Catholics are the state. Ile ni dola kamili ya warumi..Uzuri wa wakatoliki hata muwabagaze vipi hawanaga muda wa kujibishana na panya wadogo wadogo. Ukatoliki ni taasis ambayo ime exist karibia miaka 2000. Na mzizi wake sio wa kitoto. Na UKATOLIKI NDIO UKRISTO WENYEWE. WHETHER YOU LIKE IT OR NOT. Mpaka malkia wa sheba ameenda ku bow down juzi kati pale vatican , wewe ni nani upinge?
Kama kuna doctorine zinazopingana na mapenzi ya MUNGU kwa mfano kuabidu sanamu tutazipinga tuu tutasimama na ukweli regardless nani kakoseaUzuri wa wakatoliki hata muwabagaze vipi hawanaga muda wa kujibishana na panya wadogo wadogo. Ukatoliki ni taasis ambayo ime exist karibia miaka 2000. Na mzizi wake sio wa kitoto. Na UKATOLIKI NDIO UKRISTO WENYEWE. WHETHER YOU LIKE IT OR NOT. Mpaka malkia wa sheba ameenda ku bow down juzi kati pale vatican , wewe ni nani upinge?
You are not smart enough to Criticize the most elite people like Roman Catholics!Ila RC kuna mambo mnazingua, huku sio kuabudu masanamu kweli,?
And yet he/she just did..., which makes your point void.You are not smart enough to Criticize the most elite people like Roman Catholics!
It's yours that's void and not his.And yet he/she just did..., which makes your point void.
Umenikumbusha hii novena wakati nipo seminari, Tulikuwa tuna isali sana.Sali Novena ya Mt.Ritha wa kashia kijana 😂
That's what nikaweka pale he is not smart enoughAnd yet he/she just did..., which makes your point void.
And yet he did criticize, which makes him smart (if smartness is needed in criticism and if you measure the smartness by capability to criticize), and technically those who do not criticize are the ones who ain't smart enough..., The only way to get out of this rabbit hole is to criticize the criticisms and not the critic...That's what nikaweka pale he is not smart enough
Haya tuma salamu kwa watu watatu.... 🎤Mwigizaji Olivia Hussey maarufu kama Juliet , aliyepata umaarufu kupitia filamu ya Romeo and Juliet ya mwaka 1968, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 73.
Mwigizaji huyo ambaye amewahi kuuvaa uhusika kama mama wa Yesu katika filamu ya 'Jesus Nazareth' ya mwaka 1977, amefariki siku ya Ijumaa akiwa amezungukwa na wapendwa wake.
Thread closed..✍️Uzuri wa wakatoliki hata muwabagaze vipi hawanaga muda wa kujibishana na panya wadogo wadogo. Ukatoliki ni taasis ambayo ime exist karibia miaka 2000. Na mzizi wake sio wa kitoto. Na UKATOLIKI NDIO UKRISTO WENYEWE. WHETHER YOU LIKE IT OR NOT. Mpaka malkia wa sheba ameenda ku bow down juzi kati pale vatican , wewe ni nani upinge?
Ibada ya sanamu hiyoIla RC kuna mambo mnazingua, huku sio kuabudu masanamu kweli,?
Zana za kufundishia kivipi. Kwani RC wote ni mbumbumbu mpaka waone mapicha picha kama chekechea ?Wao wanakuambia,zile ni kama zana za kufundishia ili waumini waweze kuelewa kwa urahis
Meza wembeIla RC kuna mambo mnazingua, huku sio kuabudu masanamu kweli,?