TANZIA Olivia Hussey, Aliyewahi kuigiza kama Bikira Maria (Mama wa Yesu) afariki dunia

TANZIA Olivia Hussey, Aliyewahi kuigiza kama Bikira Maria (Mama wa Yesu) afariki dunia

Kati ya Mei 13 na Oktoba 13, 1917, watoto watatu Lucia, Fransisco na Yasinta wachungaji wa Kireno kutoka Alhindrel, walitokewa na Bikira Maria huko Cova da Iria, karibu na Fátima, mji umbali wa maili 110 kaskazini mwa Lisbon. Wakati huo, Ulaya ilihusika katika vita ya umwagaji damu sana. Ureno yenyewe ilikuwa katika machafuko ya kisiasa, baada ya kupindua mfalme wake mnamo 1910.
Kibeho Rwanda wanaamini pia bikira alitokea akiwa mweusi.

Lurdi Ufaransa alitokea akiwa mweupe.

Gaudeloupe Mexico alitokea akiwa mweupe.

Na kanisa liliidhinisha matukio yote kwamba ni ukweli.

Cha kushangaza waafrika wana amini kwamba bikira Maria wa ukweli, Ni mwenye rangi nyeupe!

Sasa image ipi ni kweli kuhusu sura na mwonekano wa huyo bikira Maria?
FB_IMG_1735479254392.jpg
 
Kibeho Rwanda wanaamini pia bikira alitokea akiwa mweusi.

Lurdi Ufaransa alitokea akiwa mweupe.

Gaudeloupe Mexico alitokea akiwa mweupe.

Na kanisa liliidhinisha matukio yote kwamba ni ukweli.

Cha kushangaza waafrika wana amini kwamba bikira Maria wa ukweli, Ni mwenye rangi nyeupe!

Sasa image ipi ni kweli kuhusu sura na mwonekano wa huyo bikira Maria?View attachment 3187843
Kanisa halikurupuki katika kuhakiki na kuthibitisha matukio, Ndiyo maana hata watakatifu huchukua mamia ya miaka kuthibitishwa kama watakatifu. Mfano muujiza wa Lanciano, miujiza ya watakatifu Ritha n.k yote hiyo imethibitishwa kitaalam na wataalam wenye hadhi kubwa duniani. Wewe ni nani ubishe?
 
Kanisa halikurupuki katika kuhakiki na kuthibitisha matukio, Ndiyo maana hata watakatifu huchukua mamia ya miaka kuthibitishwa kama watakatifu. Mfano muujiza wa Lanciano, miujiza ya watakatifu Ritha n.k yote hiyo imethibitishwa kitaalam na wataalam wenye hadhi kubwa duniani. Wewe ni nani ubishe?
Hujajibu swali.

Hujibu ulicho ulizwa unajibu usivyo ulizwa.

Naku uliza hivi image ipi ya bikira Maria ni ya kweli?

Akiwa mweupe au akiwa mweusi?
 
Hujajibu swali.

Hujibu ulicho ulizwa unajibu usivyo ulizwa.

Naku uliza hivi image ipi ya bikira Maria ni ya kweli?

Akiwa mweupe au akiwa mweusi?
Image iiyokuwa approved na Kanisa Katoliki ya Mwanamke Myahudi ambaye ni mume halali wa Yosefu na mama wa Yesu aliyewatokea watoto wa fatima. Hayo mengine ni story zenu za vijiweni na soga za Ellen G White.
 
Hii ndio zero brain. Af wenyewe wanajiona wasomi
 
Image iiyokuwa approved na Kanisa Katoliki ya Mwanamke Myahudi ambaye ni mume halali wa Yosefu na mama wa Yesu aliyewatokea watoto wa fatima. Hayo mengine ni story zenu za vijiweni na soga za Ellen G White.
Hata wewe hizo ni stori zenu za vijiweni na soga za Emperor Constantine na king James.

Yesu, Maria na Yosefu ni Biblical figures tu, fictional characters.

Hawana tofauti na kina Abunuwasi au Alinacha wa kwenye Hekaya za kusadikika na kutungwa.

Yesu hajawahi kuwepo, hayupo na hatakaa awepo.

Bikira Maria hajawahi kuwepo, hayupo na hatakaa awepo.

Ni imani zenu uchwara tu mlizo pumbazwa na kuaminishwa na hizo dini zenu.
 
😂😂😂😂😂🤣🤣😂😂😂😂Acheni Hizi Leo Tutalala Na Viatu
 
Uzuri wa wakatoliki hata muwabagaze vipi hawanaga muda wa kujibishana na panya wadogo wadogo. Ukatoliki ni taasis ambayo ime exist karibia miaka 2000. Na mzizi wake sio wa kitoto. Na UKATOLIKI NDIO UKRISTO WENYEWE. WHETHER YOU LIKE IT OR NOT. Mpaka malkia wa sheba ameenda ku bow down juzi kati pale vatican , wewe ni nani upinge?
Ukatoliki ni upagani ndio maana mnaabudu masanamu
 
RC ni Ukristo na Ukristo ni RC.
Hili limepelekea madhehebu yote bandia kutaka kuiangusha RC lkn mwishowe wanaanguka wao.RC ndo waliokusanya maandiko yote ya Biblia kwa maana nyingine wao ndo wamiliki wa Biblia kwakuwa ndo walioamua wewe uletewe nini kwenye maandiko hayo.
Hata kama ninyi ni wjinga jiongezeni kidogo tu,mtajua kuwa bila RC hayo madhehebu yenu bandia yasingekuwepo.
 
Habari za kimataifa

Kiongozi wa kanisa katoliki duniani papa Francis awetaka waamini na wakristo ulimwenguni kote kuishi maisha ya amani akitaka udugu ujengwe kwa kuunganisha daraja na sio kuwekeana ukuta!

Papa Francis amesema hayo katika viwanja vya st Peter jijini Vatican

Nikiripoti kutoka Vatican city..,. Monetary doctor, zerominus10
Huyu jamaa ni msanii kweli!
Ni amani ipi anayomaanisha,ikiwa taasisi yake ndiyo inayo ratibu na kufadhili machafuko yote ulimwenguni?
Vita,ugaidi,magonjwa ya milipuko, mifumuko ya bei [mf.mafuta,gesi n.k.],na machukizo mengine mengi.yote haya yanaratibiwa na taasisi yake,Anataka kutuaminisha nini?
 
Back
Top Bottom