Monetary doctor
JF-Expert Member
- Oct 20, 2022
- 3,711
- 6,762
Duuh khery ya xmas mkuu! Hayo ya mzee Francis mzungu ni hatareHuyu jamaa ni msanii kweli!
Ni amani ipi anayomaanisha,ikiwa taasisi yake ndiyo inayo ratibu na kufadhili machafuko yote ulimwenguni?
Vita,ugaidi,magonjwa ya milipuko, mifumuko ya bei [mf.mafuta,gesi n.k.],na machukizo mengine mengi.yote haya yanaratibiwa na taasisi yake,Anataka kutuaminisha nini?