Brian deacon nyie si ndiyo mmefanya bwana yesu?Ujumbe upi unautanabaisha hapo Kwenye hili..? Embu funguka.!
Wao wanakuambia,zile ni kama zana za kufundishia ili waumini waweze kuelewa kwa urahisIla RC kuna mambo mnazingua, huku sio kuabudu masanamu kweli,?
Zana za kufundishia zinapigiwa magoti?Wao wanakuambia,zile ni kama zana za kufundishia ili waumini waweze kuelewa kwa urahis
Mambo ya kiiman mkuu,Zana za kufundishia zinapigiwa magoti?
Yawezekana huo upigaji wa magoti siyo rasmi bali wanafanya rehearsal tu.🤣🤣Zana za kufundishia zinapigiwa magoti?
Yeye ni nani kwenye hii dunia?Uzuri wa wakatoliki hata muwabagaze vipi hawanaga muda wa kujibishana na panya wadogo wadogo. Ukatoliki ni taasis ambayo ime exist karibia miaka 2000. Na mzizi wake sio wa kitoto. Na UKATOLIKI NDIO UKRISTO WENYEWE. WHETHER YOU LIKE IT OR NOT. Mpaka malkia wa sheba ameenda ku bow down juzi kati pale vatican , wewe ni nani upinge?
Nani huyo?Yeye ni nani kwenye hii dunia?
Unamzungumzia nani chizimkazi?Mpaka malkia wa sheba ameenda ku bow down juzi kati pale vatican , wewe ni nani upinge?
Warumi sio wakristo woteBrian deacon nyie si ndiyo mmefanya bwana yesu?
We jamaa mzinguajiUnamzungumzia nani chizimkazi?