Monetary doctor
JF-Expert Member
- Oct 20, 2022
- 3,711
- 6,762
Duuh khery ya xmas mkuu! Hayo ya mzee Francis mzungu ni hatareHuyu jamaa ni msanii kweli!
Ni amani ipi anayomaanisha,ikiwa taasisi yake ndiyo inayo ratibu na kufadhili machafuko yote ulimwenguni?
Vita,ugaidi,magonjwa ya milipuko, mifumuko ya bei [mf.mafuta,gesi n.k.],na machukizo mengine mengi.yote haya yanaratibiwa na taasisi yake,Anataka kutuaminisha nini?
Asante sana ndugu, kheri nawe pia.Duuh khery ya xmas mkuu! Hayo ya mzee Francis mzungu ni hatare
Kitu kama huna elimu nacho au uelewa usipende kukielezea..Mwigizaji Olivia Hussey maarufu kama Juliet , aliyepata umaarufu kupitia filamu ya Romeo and Juliet ya mwaka 1968, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 73.
Mwigizaji huyo ambaye amewahi kuuvaa uhusika kama mama wa Yesu katika filamu ya 'Jesus Nazareth' ya mwaka 1977, amefariki siku ya Ijumaa akiwa amezungukwa na wapendwa wake.
Hebu tupe ukweli halisi ndugu.Kitu kama huna elimu nacho au uelewa usipende kukielezea..
Aseeh kumbe iko hivyoAsante sana ndugu, kheri nawe pia.
Ingawa kiuhalisia,hata hii Xmas ni sehemu ya sanaa yao kwa kuondoa jina la Tamuz[mwenye tarehe yake ya kuzaliwa],na kupachika jina la YESU,ili tu,kuilinda na kuitunza desturi yao ya kuadhimisha siku/tarehe hiyo aliyozaliwa Prince Tamuz.Hivyo tukirudi kwenye dini [UKRISTO], Xmas ni UBATILI.
Tunafanya meditation hatuabuduIla RC kuna mambo mnazingua, huku sio kuabudu masanamu kweli,?
Hakuna dini yenye ubora.Mimi naonaga mnaobishana kuhusu dini nikama hamnazo . Kila mtu aamini dini yake.
Hakuna dini iliyobora kuliko nyingine.