adriz
JF-Expert Member
- Sep 2, 2017
- 12,207
- 26,521
Kombe halijaisha bado niko hapa akichukua najitoa jukwaa la mapishi siingii tena..Wewe dogo Giroud ana magoli manne mpaka sasa kwenye kombe la dunia na ameshavunja rekodi ya Henry na kuwa mfungaji bora wa wakati wote.