Olympic nimeona hadi black Japanese

Olympic nimeona hadi black Japanese

Michezo ni starehe na starehe ni gharama.
Pesa inahitajika kwenye mchezo wa aina yoyote ile
Nalog off
 
Olympics ya mwaka huu nimeona Black Japanese...naona watu weusi hii sector ya michezo hatuna mpinzani..

Aibu ni Sisi Tu watanzania...hakuna hata Mtanzania wa nchi nyingine kweli?

Yaani kuna wakenya wanawakilisha Hadi nchi zingine..Sisi tuna watanzania watatu Tu? Hata mabondia wa kuwakilisha nchi za kiarabu hatuna???
Uraia pacha ndio changamoto mkuu tuna sera za kirogoko ndio maana tumekaa kigorokogoroko
 
Mi nimemwona mu ukraine mweusi kajishindia medali ya dhahabu kwenye mieleka
Nalog off
 
Nitazame tofauti kidogo.

Hua naamini kwa namna iwavyo na kwa muda iwe mfupi ama mrefu ujao...
Sisi ngozi nyeusi tutatawala dunia kupitia nchi za hao hao watawala wa sasa.

Sisi huku Tanzania na barani mwetu Afrika kwa ujumla wake, kwanza hatujui uwezo wetu ni nini ,ili kupitia huo uwezo tunaweza kufanya nini, na kupitia uwezekano huo tufanye nini.
 
Back
Top Bottom