Oman ambao ni jirani wa Yemen yatoa wito kuwaunga mkono Houth kupigana na Israel

Oman ambao ni jirani wa Yemen yatoa wito kuwaunga mkono Houth kupigana na Israel

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Mufti mkuu wa Oman aitwaye sheikh Alkhalil ametoa wito kwa mataifa ya kiislamu kuwa bega kwa bega na makundi yanayopigana na Israel.

Wito huo ameutoa leo baada ya ndege za Israel kuushambulia mji wa wa bandari wa Hodeada ndani ya Yemen ambao unadhibitiwa na jeshi la Houth.Shambulio hilo limefanywa na Israel kujibu shambulio la droni lililofanywa na Houth ndani ya mji mkuu wa Israel wa Telaviv ambao uko zaidi ya kilomita elfu moja kutoka Yemen na kuua mtu mmoja na kujeruhi wengine kadhaa.

Katika matamshi hayo mufti huyo pia amesema muda wa kuwaunga mkono wapalestina wa Gaza kwa silaha umfika badala ya kuwapelekea chakula pekee na kuwaombea dua.

Oman ni moja ya mataifa ya kiarabu ambayo matamshi ya kiongozi mkuu wa kidini huwa yanaheshimiwa na vile vile inapakana na Yemen kwa sehemu kubwa zaidi katika mipaka yake.
 
Labda ingesaidia angetoa wito wa nchi zote za wavaa kobazi!

Lakini hii ya vinchi viwili tu...! Maana kule nyuma nchi zaidi ya Sita zilijaribu kufanya hivyo lakini wapi..?

Labda mambo hubadirika pengine wanaweza angusha mwembe chini ya mwarobaini?

Myahudi??? Wale hapana aisee
 
Labda ingesaidia angetoa wito wa nchi zote za wavaa kobazi!

Lakini hii ya vinchi viwili tu...! Maana kule nyuma nchi zaidi ya Sita zilijaribu kufanya hivyo lakini wapi..?

Labda mambo hubadirika pengine wanaweza angusha mwembe chini ya mwarobaini?

Myahudi??? Wale hapana aisee
Subiri tuone iwapo huyo mwamba Israel bado amebakiwa na nguvu ile iliyotajwa katika historia.
 
Mufti mkuu wa Oman aitwaye sheikh Alkhalil ameota wito kwa mataifa ya kiislamu kuwa bega kwa bega na makundi yanayopigana na Israel.

Wito huo ameutoa leo baada ya ndege za Israel kuushambulia mji wa wa bandari wa Hodeada ndani ya Yemen ambao unadhibitiwa na jeshi la Houth.Shambulio hilo limefanywa na Israel kujibu shambulio la droni lililofanywa na Houth ndani ya mji mkuu wa Israel wa Telaviv ambao uko zaidi ya kilomita elfu moja kutoka Yemen na kuua mtu mmoja na kujeruhi wengine kadhaa.

Katika matamshi hayo mufti huyo pia amesema muda wa kuwaunga mkono wapalestina wa Gaza kwa silaha umfika badala ya kuwapelekea chakula pekee na kuwaombea dua.

Oman ni moja ya mataifa ya kiarabu ambayo matamshi ya kiongozi mkuu wa kidini huwa yanaheshimiwa na vile vile inapakana na Yemen kwa sehemu kubwa zaidi katika mipaka yake.
Kutoa wito ni jambo moja.Na kujiunga ili wafe wote ndicho kifuatacho.
 
Mufti mkuu wa Oman aitwaye sheikh Alkhalil ameota wito kwa mataifa ya kiislamu kuwa bega kwa bega na makundi yanayopigana na Israel.
Kwa dunia ya sasa hakuna jamii inayoongoza kuanzisha chochoko zinazoletelea vita kama waislamu

Vita nyingi zinazoendelea duniani asilimia kubwa ni chochoko za waislamu ndio waanzishaji.Uende msumbiji vita ipo waanzilishi wao,uende Sudan wao,uende Somalia wao,hata hii ya Israel ya Gaza wao ndio walilianzisha October 7,ukienda Yemen wao,Iraq wao,Lebanon wao,Phillipines wao ,Iran walianzisha wao kupindua mfalme,Ya Afghanistan wao na Osama wao,kuangusha twin tower marekan wao,kushambulia ubalozi wa Tanzania na Kenya wao,magaidi ya kibiti ,mkuranga na Rufiji wao

Yaani waislamu ni kero kwa dunia

Watakwambia uislamu dini ya amani nyuma wameshika upanga
 
Kwa dunia ya sasa hakuna jamii inayoongoza kuanzisha chochoko zinazoletelea vita kama waislamu

Vita nyingi zinazoendelea duniani asilimia kubwa ni chochoko za waislamu ndio waanzishaji.Uende msumbiji vita ipo waanzilishi wao,uende Sudan wao,uende Somalia wao,hata hii ya Israel ya Gaza wao ndio walilianzisha October 7,ukienda Yemen wao,Iraq wao,Lebanon wao,Iran walianzisha wao kupindua mfalme,Ya Afghanistan wao na Osama wao,kuangusha twin tower marekan wao,kushambulia ubalozi wa Tanzania na Kenya wao,magaidi ya kibiti ,mkuranga na Rufuji wao

Yaani waislamu ni kero kwa dunia

Watakwambia uislamu dini ya amani nyuma wameshika upanga
Huwajui vizuri wayahudi wewe rudi katika shule ya historia hao jamaa hawafai
 
Kwa dunia ya sasa hakuna jamii inayoongoza kuanzisha chochoko zinazoletelea vita kama waislamu

Vita nyingi zinazoendelea duniani asilimia kubwa ni chochoko za waislamu ndio waanzishaji.Uende msumbiji vita ipo waanzilishi wao,uende Sudan wao,uende Somalia wao,hata hii ya Israel ya Gaza wao ndio walilianzisha October 7,ukienda Yemen wao,Iraq wao,Lebanon wao,Iran walianzisha wao kupindua mfalme,Ya Afghanistan wao na Osama wao,kuangusha twin tower marekan wao,kushambulia ubalozi wa Tanzania na Kenya wao,magaidi ya kibiti ,mkuranga na Rufuji wao

Yaani waislamu ni kero kwa dunia

Watakwambia uislamu dini ya amani nyuma wameshika upanga
Anayepiga ni muisrael halafu unasema anayechokoza ni muislamu.Akili gani hiyo uliyonayo
 
Ushindi wa mwarabu ni kushangilia vifo vya wayahudi 1200 na mateka wa kiyahudi 250 kisasi kikiwarudia wanauawa waarabu na wapalesitina zaidi ya elfu 30 na bado wanahesabu kuwa wamefanikiwa.
 
Ushindi wa mwarabu ni kushangilia vivo vya wayahudi 1200 na mateka wa kiyahudi 250 kisasi kikiwarudia wanauawa waarabu na wapalesitina zaidi ya elfu 30 na bado wanahesabu kuwa wamefanikiwa.
Hapo zamani ilidhaniwa myahudi hata mmoja hawezi kuuliwa na muarabu ikizingatiwa vita vya siku 7 na jinsi wanavyoweza kujiokoa kama kule Entebe. Kama kweli mayahudi wapatao 1200 waliuliwa basi aliyewaua atakuwa alipata ushindi.
 
Kwa dunia ya sasa hakuna jamii inayoongoza kuanzisha chochoko zinazoletelea vita kama waislamu

Vita nyingi zinazoendelea duniani asilimia kubwa ni chochoko za waislamu ndio waanzishaji.Uende msumbiji vita ipo waanzilishi wao,uende Sudan wao,uende Somalia wao,hata hii ya Israel ya Gaza wao ndio walilianzisha October 7,ukienda Yemen wao,Iraq wao,Lebanon wao,Iran walianzisha wao kupindua mfalme,Ya Afghanistan wao na Osama wao,kuangusha twin tower marekan wao,kushambulia ubalozi wa Tanzania na Kenya wao,magaidi ya kibiti ,mkuranga na Rufuji wao

Yaani waislamu ni kero kwa dunia

Watakwambia uislamu dini ya amani nyuma wameshika upanga
Waabudu MFU mkifuataga amri ya kuoana jinsia moja na akili zinawatoka kama marinder yalivyowatoka
 
Mufti mkuu wa Oman aitwaye sheikh Alkhalil ameota wito kwa mataifa ya kiislamu kuwa bega kwa bega na makundi yanayopigana na Israel.

Wito huo ameutoa leo baada ya ndege za Israel kuushambulia mji wa wa bandari wa Hodeada ndani ya Yemen ambao unadhibitiwa na jeshi la Houth.Shambulio hilo limefanywa na Israel kujibu shambulio la droni lililofanywa na Houth ndani ya mji mkuu wa Israel wa Telaviv ambao uko zaidi ya kilomita elfu moja kutoka Yemen na kuua mtu mmoja na kujeruhi wengine kadhaa.

Katika matamshi hayo mufti huyo pia amesema muda wa kuwaunga mkono wapalestina wa Gaza kwa silaha umfika badala ya kuwapelekea chakula pekee na kuwaombea dua.

Oman ni moja ya mataifa ya kiarabu ambayo matamshi ya kiongozi mkuu wa kidini huwa yanaheshimiwa na vile vile inapakana na Yemen kwa sehemu kubwa zaidi katika mipaka yake.
Kauli ya Shehe sio Serikali ya Oman
 
Huwajui vizuri wayahudi wewe rudi katika shule ya historia hao jamaa hawafai
Wale taifa ni la kwao hakuna nchi inaitwa Palestine haijawahi kuwepo
Taifa pekee duniani ambalo mipaka yao haikuchorwa na mkoloni ni Isreal tu

Israel kwenye Biblia ile nchi walipewa na Mungu na mipaka yao iko defined kwenye Biblia inaanzia wapi na kuishia wapi

Kumekuwa na vita nyingi waarabu kutaka kupora nchi yao mara wafanikiwe mara washindwe

Wakishindwa walitawanyika nchi nyingi duniani .Lakini wengine hubaki wakipambana ndani

1948 walirudi kwa nguvu zote kutimua waarabu waliokuwa wanekalia nchi yao kwa miaka .Wakafanikiwa kuwavurumisha hadi Gaza.Umoja wa mataifa ukaingilia kati kuwa hao waarabu waliozaliwa hapo Israel wakaishi miaka mingi wataenda wapi? Ikaja solution ya ku create serikali ya majimbo ambako Israel kutakuwa na Majimbo mawili huru yenye mamlaka kamili kila upanfe ukiwa na serikali yake .Hilo wazo lilikubalika na wapalestina wenye msimamo wastani ila wenye msimamo mkali wakagoma kuwa myahudi lazima afutwe juu ya uso wa dunia na asiwepo Israel. Hapo ndipo mziki ulipoanzia .Kule Gaza kuna serikali mbili moja ya wapalestina msimamo wastani ambao wangependa kuwe na serikali mbili za majimbo jimbo huru la Palestine na la wayahudi.Wakapiga kura Palestine moderate wakampa uraisi Raisi wa sasa Mahamoud Abbas kama Raisi wa Palestine anayetambuliwa kimataifa na hata Tanzania kama Raisi wa Palestine na wana ubalozi hata hapa Tanzania

Kivumbi kikaja Hamas wakaamua kuanzisha vita na kundi la Mahamoud Abbas wakateka kipande cha Gaza na kukikalia kinachopakana na Israel wakaanza vita vikisaidiana na Iran kupigana na Mahamoud Abbas na Israel

Wakati hakitambuliwi na serikali ya Palestine wala jumuiya ya kimataifa zaidi ya makundi ya kigaidi na Iran

Wapalestina wenyewe moderate na serikali yao waluopigia kura na kumpa Mahamoud Abbas hawana shida na issue ya kuwa na two states ndani ya Israel hata iwe kesho

Shida iko kwa hao mujahidina wa Hamas na Iran wao wataka Israel ifutwe Pale Israel na duniani

Jumuiya ya kimataifa ikikaa mezani na serikali halali ilichochaguliwa kidemokrasia na wananchi mjadala unakuwa uko vizuri tu tatizo ni hayo makundi ya kigaidi ya Hamas

Solution ya mgogoro pale ni kuwa na serikali mbili za majimbo ambapo Israel wala haina Shida ndio maana ilikubali kuwa na mamlaka huru ya Palestine chini ya Mahamoud Abbas aliyepewa ridhaa ya kuunda serikali na wapalestina wenyewe kwenye uchaguzi walioufanya wenyewe wakijisimamia wenyewe na tume zao za Uchaguzi sio Israel
 
Back
Top Bottom