Oman: Rais Samia ataka kuwepo Maritime transport ya kusafirishia Wanyama wakiwa hai kutoka Tanzania kwenda Oman

Jinsi ya kuanzisha uwekezaji Oman na uwajibikaji wa menejimeti wa kampuni ili mambo yaende shwari

Muscat, Oman

Code of Corporate Governance for Closed Joint Stock Companies


Eng. Redha bin Juma Al Saleh, of Oman Chamber of Commerce and Industry (OCCI) explains the importance of Code of Corporate Governance for Closed Joint Stock Companies
 
Kina nani walizuwia? Mpaka leo Australia wanasafirisha Kondoo huko Uarabuni.
Hebu jiridhishe tena alafu hoja yangu kwa Australia hatupswi kujilinganisha nao wao wanaviwanda vya kila aina kukuza uchumi wao. Kama sisi viwanda vya nyama tu hatuwezi, tutakuza vipi uchumi wetu?
 
Mama umezidi
Mama najua huwa anapitia hapa, tumwambie HAPANA!! Kama Nyerere angeruhusu hili la wanyama kusafirishwa hai kwa wingi je leo tungekuwa na wanyama kwenye mbuga zetu? Mama HAPANA!! HUNA RUHUSA YA KURUHUSU UTOROSHAJI WA MALI ASILI ZETU- (With due respect). Mambo mengine ajifunze KUONA AIBU!!
 
🖕🖕Usipotosheka sema nikuongezee zingine, mbwa wewe
Kama umefikia ujinga wa kiasi hiki haustaili kujibiwa.
,watoto wako wamepata hasara ya kuwa na Mama wa hovyo kuwahi kutokea #Nimemaliza
 
Watu wanafikiria sijui kupigwa
Wakati sahv wanatakiwa wakamate fursa wapeleke wanyama huko mbuzi,kondoo,ngombe etc

Ova
Maendeleo ni kusafirisha bidhaa iliyoongezewa thamani!! Hao waarabu waje wajenge viwanda vya kusindika nyama na tusafirisha nyama iliyosindikwa na siyo tusafirishe ng'ombe na mbuzi kisha kule wakisindika wanatuletea zikiwa na bei juu!!
 
Watu wanafikiria sijui kupigwa
Wakati sahv wanatakiwa wakamate fursa wapeleke wanyama huko mbuzi,kondoo,ngombe etc

Ova
Maendeleo ni kusafirisha bidhaa iliyoongezewa thamani!! Hao waarabu waje wajenge viwanda vya kusindika nyama na tusafirisha nyama iliyosindikwa na siyo tusafirishe ng'ombe na mbuzi kisha kule wakisindika wanatuletea zikiwa na bei juu!!
 

Viwanda hivyo ni wasomali Mkuu na hata Dodoma walikuwa Waturuki walipoacha Wasomali wakendeleza ila wazawa pia

Wao kuja kujenga sidhani maana ni uamuzi wa individuals na sio maamuzi yetu sisi
Halafu kama ni faida Mbona ipo kubwa tu kwa mfano Somalia wala nisitoe mfano wa Australia tena
Somalia yenye vita kila kukicha ila biashara zinaendelea na wanasafirisha live kila leo
Wao wamekubaliana kutuma Ngamia, Kondoo na Mbuzi
Wao hawana Ng’ombe maana hali ya hewa Labda haiwakubali

Miaka yote wanapeleka Uarabuni tangu enzi na enzi Kwa hiyo lazima faida iwepo

Sawa na muuza magari na muuza spare tu [emoji23]
 
Hebu jiridhishe tena alafu hoja yangu kwa Australia hatupswi kujilinganisha nao wao wanaviwanda vya kila aina kukuza uchumi wao. Kama sisi viwanda vya nyama tu hatuwezi, tutakuza vipi uchumi wetu?
Jiridhishe wewe usiyejua,

Halafu wenzako wamesema hakuna nchi inauza wanyama hai bali huuza nyama tu ndio maana nikatolea huo mfano wa Austarlia.
 
Wengi ni udini unawasimbua,
Kwani unadhani hawajui ukweli?
Wanajua basi tu udiniiii kwa kwenda mbele,
Angefanya haya mwenzao na kusifia wangemsifia
Subiri povu sasa
 
I'm not against it but I thought kuongeza thamani nchini ndo goli, hii itakuza vp viwanda vya uchakataji nyama na ngozi nchini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…