Oman waamua kutujengea VIP na maduka kwenye Uwanja wa ndege wa Kilimanjaro

Oman waamua kutujengea VIP na maduka kwenye Uwanja wa ndege wa Kilimanjaro

Unaamka ktk hoteli ya kisasa kabisa dirishani kuna pazia, unalivuta kufungua unakumbana na taswira ya mlima mrefu zaidi duniani wanaotambua kwa sifa ya free standing mountain huku mlima wote haukufunikwa na mawingu lakini kilele cha Kilimanjaro kimefunikwa kwa theluji nyeupe kama hariri na mazingira yote kwa maili kibao / kilometa za ardhi kuna mji mpya wa kisasa iliopangika.
Mount Kilimanjaro

Mount Kilimanjaro is the tallest mountain on the African continent and the highest free-standing mountain in the world. 9. Kilimanjaro has three volcanic cones, Mawenzi, Shira and Kibo.19 Feb 2010
Hakika muonekano huo utabaki ktk bongo na picha za kumbukumbu kushare na ku like ktk platform zote za kidigitali


Ubia wa OAMC Oman Airports Management Company Investor Profile | CAPA na KADCO KADCO | Home kufungua fursa kibao mtambuka

Tuchape kazi nasi tutaweza kupata ajira katika viwanja vikubwa duniani kama ilivyo kwa ndugu zetu wa nchi jirani ambao utawakuta ktk viwanja na mahoteli mbalimbali duniani.


Kilimanjaro Airport itaweza kuwa Airport hub / kitovu cha miruko ya ndege kuelekea sehemu mbalimbali za dunia badala tu ya kupokea watalii kwa sana.

Kilimanjaro Airport itakuwa sehemu ya mashirika ya ndege kukimbilia kwa matengenezo madogo madogo na ya dharura ya madege makubwa katika eneo hili la dunia.

Pilikapilika zote hizi zinahitaji uwekezaji mkubwa mtambuka ikiwemo mahoteli ambapo marubani, air hostess, abiria watahitaji sehemu ya kupumzikia na kulala.

Kilimanjaro kutokana na ukaribu wake na tanzanite itaongeza fursa ya kuwa eneo la mnada wa kimataifa wa madini mbalimbali yanayopatikana Tanzania, hivyo uwepo wa mahoteli ya kimataifa, kumbi za kisasa za mnada pamoja na kiwanja cha ndege kinachotoa huduma viwango vya kimataifa jirani kabisa na mahoteli na kumbi kutaifanya Tanzania yetu kuwa na kitu cha ziada na kuwa kimbilio la wafanyabiashara, watalii na wanunuzi mabilionea binafsi wapenzi wa Vito na madini.

Serikali ijipange na kulifanya eneo lote lisiwe squatters bali kuwapo mpangilio wa mpango mji wa kisasa na eneo maalum la uwekezaji tofauti na hali ilivyo jirani na uwanja wa ndege wa JNIA DSM ambao umezongwa na shughuli mtambuka zisizoendana na location ya uwanja mkubwa wa ndege.
 
sijawahi kuwaamini waarabu. lakini hakuna namna, lazima tufungue tu milango ya nchi ili wajanja waje watatuchangamsha bongolala. kilichobaki sasaivi kwa mwenye akili ni kuchangamkia fursa yeyote, changamkia pia partnership na wawekezaji watakaokuja. ama la utaishia kulalamika kila siku wakati wajanja wanachanja mbuga.

Mkuu chapwa,,ondoa hofu kwa waarabu, wale jamaa imani imewaingia sana, ni tofauti na mabeberu hata hofu ya Mungu hakuna.
 
Hivi nani aliwaambia hao wanyama ni wenu? Huo ni urithi wa Dunia nzima, ila sisi tumekutwa tuko jirani nao, embu msijitoe akili.
 
Vipi Chato airport? Mbona hukulalamika kama ni kukosa vipaombele kipindi kile?
Mkuu 'jarojik' unajua kwa uhakika kuwa "sikulalamika" kuhusu Chato?

Nikikuita wewe ni mpumbavu utasema nakuonea?
 
Hivi nani aliwaambia hao wanyama ni wenu? Huo ni urithi wa Dunia nzima, ila sisi tumekutwa tuko jirani nao, embu msijitoe akili.

Waambie bwana,, kuna wengine hata sungura hawakumshudia halafu wanakuja hapa kulialia.

In short navyojua ni chuki zinawaendesha, hakuna sababu nyingine.
 

kutujengea VIP na maduka kwenye Uwanja wa ndege wa Kilimanjaro hata mbunge wa jimbo la Hai anaweza kugharamia ujenzi huo. Why oman? Je ni gharama kiasi gani ambazo watanzania watashindwa?​

Kama Mbunge wa Hai anaweza kufanya hivyo mpaka sasa ameshajenga vingapi?
 
Hakuna uwanja wa kimataifa wa ndege usiokuwa na maduka. Yaelekea sisi tulishondwa hilo! Tusilaumu wala kusikitika kwa maduka hayo kuna hatua itapigwa. Na wanyama watapona kwa kuwa hakutakuwa na duka la wanyama uwanjani. Hatiwezi kuishi kama kisiwa lazima twende na dunia. Tukipinga ku doubt jambo fulani basi pia tuwe na solution yake. Kwenye hili wako sahihi iwapo kweli wanavutia watalii
[emoji1][emoji3][emoji28]Hakutakuwa na duka la wanyama uwanjani

Tembea ujionee...

Airport zipo Hotels, Malls, Shopping Centers n.k... Ni kawaida tu! Yaani kawaida...

Watu wacheni ghofu![emoji849] Kha!?

Swali: Kwa nini Warabu wanawatia ghofu namna hii? Mnakosa amani mnakosa raha kwa nini... na kwa nini sio Wazungu au Wachina ambao wanaiba, wanadhulumu, wanaua kila kukicha?[emoji848]
 
[emoji1][emoji3][emoji28]Hakutakuwa na duka la wanyama uwanjani

Tembea ujionee...

Airport zipo Hotels, Malls, Shopping Centers n.k... Ni kawaida tu! Yaani kawaida...

Watu wacheni ghofu![emoji849] Kha!?

Swali: Kwa nini Warabu wanawatia ghofu namna hii? Mnakosa amani mnakosa raha kwa nini... na kwa nini sio Wazungu au Wachina ambao wanaiba, wanadhulumu, wanaua kila kukicha?[emoji848]

Cha ajabu waarabu tumezaliwanao huku, wamekulia huku, tumekuwanao,, in short sio wageni kwetu kama mabeberu, wachina, wahindi, mayahudi/waafrika wa nchi zingine, lakini khofu waliyonayo wamatumbi wa JF, Insta, YouTube n.k sio ya nchi hii 😁😁😁 ingelikua wale wamang'ati waishio porini tungesema hawa bado washamba na wenye khofu na race zingine,,lakini mmbongo dah ana hofu kiasi hicho!!😁😁
 
wanajijengea wenyewe hakuna mlalahoi atakayelala kwenye hiyo five star hata hayo maduka yatawasaidia wenyewe sisi tutaendelea kununua kwenye maduka tuliyoyazoea huko kitaa.
Hata Airports nyingine duniani kwa asiye na uwezo au mlala hoi hawezi kumudu kulala 5* hotel au kufanya shopping maduka ya Malls, kwahiyo sio Tanzania tu!

Watu [emoji849]
 
Back
Top Bottom