Oman waamua kutujengea VIP na maduka kwenye Uwanja wa ndege wa Kilimanjaro

Oman waamua kutujengea VIP na maduka kwenye Uwanja wa ndege wa Kilimanjaro

samia alipokutana na mjomba wake Oman, huyo mjomba wake ni mzaramo au kabila lako?.....mtu kama hujui, hutajua kuwa hujui
Kwa taarifa yako tu! Oman wapo watu wa mataifa na makabila mbalimbali kutoka Africa na nchi nyingine nyingi duniani Ikiwemo Tanzania.

Huko utawakuta watu kutoka Unguja, Pemba, Tanga, Wazaramo, Wandengereko, Wamakonde na kwengine n.k... Japokuwa wengi wao wanajiita Wa Arabu kutoka huko Oman na kumbe sio na wala asili hiyo ya Kiarabu hawana!
 
Oman kupitia Shirika lake la Viwanja vya ndege vya Oman Jumatatu Juni 13 walisaini mkataba wa makubaliano (MoU) na Kampuni ya Maendeleo ya Viwanja vya Ndege ya Kilimanjaro (KADCO) ili kuendeleza jengo la abiria la VIP katika Uwanja wa Kimataifa wa Kilimanjaro...
Twafwaaa!
 
Nilikuwa nashangaa kwanini serikali miaka yote hawakujenga mahoteli jirani na uwanja huu wa KIA?

Tusipige kelele sasa mdau wa maendeleo ameamua kuja kuwekeza baada ya nchi kufunguka na kuona fursa ambayo wazee wetu nashangaa hawakuiona inayotazama mlima maarufu wa Kilimanjaro na pia kujenga mahoteli wageni wafikie wakisubiri miruko / flight za ndege.
Kweli pale KIA unapata view nzuri sana ya mlima Kilimanjaro !! Hoteli ya kitalii itapendeza sana !!
 
wenye wivu mwaka huu watakufa au watapararaizi........maaana kwa jinsi Rais anavyo upiga mwingi ni hatari...
wachawi na wanga sasa wanahara kwa uchungu wa roho mbaya.

hakuna kurudi nyuma mwendo mdundo mpaka kieleweke.
Sanaaa....

Wanahara mpaka wapate wehu na bado[emoji108]
 
Cha ajabu waarabu tumezaliwanao huku, wamekulia huku, tumekuwanao,, in short sio wageni kwetu kama mabeberu, wachina, wahindi, mayahudi/waafrika wa nchi zingine, lakini khofu waliyonayo wamatumbi wa JF, Insta, YouTube n.k sio ya nchi hii [emoji16][emoji16][emoji16] ingelikua wale wamang'ati waishio porini tungesema hawa bado washamba na wenye khofu na race zingine,,lakini mmbongo dah ana hofu kiasi hicho!![emoji16][emoji16]
Inastaajabisha sana!
 
Majirani wanajinadi huku sisi tunu hii bado haijanadiwa vizuri. Pengine ubia wa KADCO na OAMC kampuni ya Omani kujenga hoteli n.k wanaweza kupindua meza katika namna kubwa kabisa kibiashara :

What To Expect In Amboseli National Park Kenya
What to Expect in Amboseli National Park Kenya

Is Mount Kilimanjaro easily seen here?

Yes, although its actually in neighboring Tanzania border, the perfect views of the world’s tallest free-standing mountain and Africa’s highest peak are in Kenya’s Amboseli National park since its located in the foothills of the Kilimanjaro.

Due to its closeness to the Tanzanian border, Amboseli does have the best vistas of Kili. But the main issue is that Kili rises 5895 meters/19341 feet high, meaning its summit almost swathed in cloud. Your best way of viewing the peak is at dawn-when conditions are so clear more especially during your early morning game drives

What to Expect in Amboseli National Park Kenya

What to Expect in Amboseli National Park Kenya: Amboseli National Park ranks the finest tourist destination for the first time safari travelers in Kenya East Africa, comprising a size that allows tourists to see virtually every aspect in few days could be two or three and it is easily out reached, which means that you don’t have to follow a long-haul flight with a very long flight in order to access the main destination. The short- haul flight between Wilson Airport and Amboseli airstrip is less than an hour in a light aircraft ... READ MORE : What to Expect in Amboseli National Park Kenya | Kenya Safaris
 
Shughuli gani?

Airport vitu kama hivyo ni kawaida mbona?

Kwakuwa huku kwetu hatujawahi kuviona labda hivyo! Ila ni mambo ya kawaida sana
Mjuaji wewe siyo!
Kuna mahali niliposema siyo vya kawaida?

Ni wazi kwamba uelewa wako ni mwembamba, ndiyo maana umerukia kwenye swala la "vitu vya kawaida" na kushindwa kuona maana pana ya kilichoandikwa hapo.
 
Kilichopo Ni chuki dhidi ya WAARABU period!
Ndiyo tunawachukia. Kwani kuna tatizo sisi tukiwachukia. Mbona sisi pia tunachukiwa. Au kwa mfano hii komenti yako mbona inachukiwa na wengine.
Kuchukiwa sio inshu.
 
“Hili nalo nendeni mkalitizame”
 

Attachments

  • EA7EF519-054F-40B0-8427-9898BBBC5013.jpeg
    EA7EF519-054F-40B0-8427-9898BBBC5013.jpeg
    62 KB · Views: 3
Hivi unajua hata terminal 2 ya uwanja wa mwalimu Nyerere tulijengewa na Wafaransa?

Kweli Tanzania ujinga ni kipaji
 
Nyie mmeshindwa kui develop au

Ova
Kwa nini iwe shida Kia kuendelezwa na Oman wakati haikuwa shida wakati Wafaransa wanatujengea Terminal 2 ya Uwanja wa Ndege Dar? Na juzi wameingia tena Makubaliano kuiboresha zaidi?
 
ingefurahisha kama wangeelekezwa na kushawishiwa kwenda kuendeleza maeneo mapya ya viwanja vya ndege vya Mbeya na Mwanza, wasiwe wanakwenda kwenye maeneo yaliyowekezwa tayari hakuna value addition ya kutosha.
 
Back
Top Bottom