Oman yasema hawaoni haja kuwabembeleza Houth kutozilenga meli huku vita Gaza vikiendelea

Oman yasema hawaoni haja kuwabembeleza Houth kutozilenga meli huku vita Gaza vikiendelea

Hilo swala sasa liamuliwe kwa nguvu kwani hakuna sababu ya kubembelezana na gaidi.
Ili uwavamie ni lazima upate BASE ya kuanzia vita.

Kwa hali ya sasa hapo Middle East nani atampa Base (Mlango wa kuungilia) US ili aivamie Yemen. ?
Saudia?😀

Teknolojia imekua sana , Proxy country zimeongezeka hakuna Scuds tu, kuna kila aina ya Makombora na drone za kisasa... Ni ngumu US afungue front hapo then aendelee na GAZA na Ukraine.
 
Sawa tujikite kuwafikilia wspunguzeje hizo zinaa kisha wairan wajikite ya israel na palesti ndo wako bara moja .
Sawa sawa kuna mkongo mmoja kanitumia private message ananiambia Congo haiwezekani eti kuwacha zina sababu ya hali ya hewa na vyakula vyake 😄
 
Ili uwavamie ni lazima upate BASE ya kuanzia vita.

Kwa hali ya sasa hapo Middle East nani atampa Base (Mlango wa kuungilia) US ili aivamie Yemen. ?
Saudia?😀

Teknolojia imekua sana , Proxy country zimeongezeka hakuna Scuds tu, kuna kila aina ya Makombora na drone za kisasa... Ni ngumu US afungue front hapo then aendelee na GAZA na Ukraine.
Waarabu wachache ameshaajitambua , hawezi kufanya kama Alivyfanya kwa sadam , labda apiganie kwenye carier lake lile
 
Kumbe jumuiya ya kimataifa ilitaka kuitumia Oman kwa maslahi yake pekee bila kuzingatia athari nyengine.Jambo la kufurahisha ni kuwa katika mazungumzo baina yao ikiwajumuisha wanamgambo wa Houth,Oman imejitenga na harakati hizo.
Kwa mujibu wa msemaji mmoja wa Oman ambaye hakutaka kujitokeza hadharani,ni kuwa Oman imesema haioni umuhimu wa kuwataka Houith kuacha kuzilenga meli zinazokwenda na kutoka Israel kwa vile haina mantiki huku wapalestina wakiendelea kuuliwa.
Kukataa kwa Oman kusuluhisha mgogoro huo ni hatua nyengine ya kuendelea kuungwa mkono kwa Hamas kutoka kwa waislamu wenzao maeneo ya mbali na eneo la vita.Juzi Malaysia imepiga marufuku ushirikiano wa aina zote wa mawasilano ya bahari na Israel.
SAUDI watoto wa Mtume wanasemaje kwani?
 
Danganyaneni tu , mtaona kama Houth atasavaivu, nchi za kiarabu hazina ubavu wa kuzuia operation za USA
 
Ngumu .
Ni rahisi kutokea kwenye bases.

Carrier ni risky sana
Na ndio maana amezikipimbiza mbali huku mmoja ikipigwa nia kariba trillion 100 zinapotea pamoja na ma f22 na b2 .. itakuwa kama titanic rincle kwa ajili ya watalii
 
Back
Top Bottom