Omary Mjenga: Gharama za Gulf Stream kwenda Rio de Janerio Brazil ni mara 7 ya Dreamliner ya ATC

Omary Mjenga: Gharama za Gulf Stream kwenda Rio de Janerio Brazil ni mara 7 ya Dreamliner ya ATC

Sema wewe jamaa na yule choice variables huwa ni waongo waongo sana

Lini omary mjenga kawa meja jenerali? Kweli unamfahamu? Napata mashaka kama unamfahamu kweli

Meja jenerali😂😂
Uache utani aisee
Brigedia kama sijakosea, aliniambia, niliongea nae kirefu miezi michache iliyopita, alitaka kupangisha eneo langu hapa mbezi beach.
 
Luteni Jenerali, niliongea nae kirefu miezi michache iliyopita, alitaka kupangisha eneo langu hapa mbezi beach.
Oyaa hivi upo serious au unatania? Hivi unajua luteni jenerali vizuri? Luteni jenerali ni cheo Cha mwisho kabisa jeshini yaani hiko cheo ndio mtu huteuliwa kuwa CDF

Omary mjenga kwanza sio mwanajeshi. Alikua mwalimu tu wa shule ya sekondary ya jeshi, baadae akawa lecturer udsm, baadae akaingia wazara ya mambo ya nje , akawa pia katibu binafsi wa jk enzi akiwa waziri, akendelea huko wizara ya nje kwa nafasi zingine

Hapo unasema jirani yako ikiwa humjui kabisa, huwa mnapenda kuandika uongo mnapata faida gani?
 
Oyaa hivi upo serious au unatania? Hivi unajua luteni jenerali vizuri? Luteni jenerali ni cheo Cha mwisho kabisa jeshini yaani hiko cheo ndio mtu huteuliwa kuwa CDF

Omary mjenga kwanza sio mwanajeshi. Alikua mwalimu tu wa shule ya sekondary ya jeshi, baadae akawa lecturer udsm, baadae akaingia wazara ya mambo ya nje , akawa pia katibu binafsi wa jk enzi akiwa waziri, akendelea huko wizara ya nje kwa nafasi zingine

Hapo unasema jirani yako ikiwa humjui kabisa, huwa mnapenda kuandika uongo mnapata faida gani?
Tapeli huyo! Anajifanya usalama wa Taifa!🚮🚮mpuuzi huyo!
 
Oyaa hivi upo serious au unatania? Hivi unajua luteni jenerali vizuri? Luteni jenerali ni cheo Cha mwisho kabisa jeshini yaani hiko cheo ndio mtu huteuliwa kuwa CDF

Omary mjenga kwanza sio mwanajeshi. Alikua mwalimu tu wa shule ya sekondary ya jeshi, baadae akawa lecturer udsm, baadae akaingia wazara ya mambo ya nje , akawa pia katibu binafsi wa jk enzi akiwa waziri, akendelea huko wizara ya nje kwa nafasi zingine

Hapo unasema jirani yako ikiwa humjui kabisa, huwa mnapenda kuandika uongo mnapata faida gani?
Kwenye simu yangu nimemsave kama Balozi Mjenga, na niliongea nae kwa kirefu tu akaniambia yeye ni mwanajeshi na pia ni balozi wa Tanzania Dubai, anaishi huku mbezi beach nadhani maeneo karibu na kilongawima.

Nidanganye ili nipate nini?. Inisaidie nini?
 
Kwenye simu yangu nimemsave kama Balozi Mjenga, na niliongea nae kwa kirefu tu akaniambia yeye ni mwanajeshi na pia ni balozi wa Tanzania Dubai, anaishi huku mbezi beach nadhani maeneo karibu na kilongawima.

Nidanganye ili nipate nini?. Inisaidie nini?
Wewe ni muongo sababu najua omary mjenga hawezi kuamua kukuongopea yeye ni mwanajeshi na yeye ni balozi wa Dubai. Balozi wa Dubai ni luteni jenerali yakubu Mohamed

Uliandika uongo ukiamini wote humu hatumjui. Hajawahi kuwa mwanajeshi na kwa sasa ana majukumu mengine Wala si balozi wa nchi yoyote
 
Tapeli huyo! Anajifanya usalama wa Taifa!🚮🚮mpuuzi huyo!
Jamaa muongo muongo Sana, mwanzo alisema ni meja jenerali, ghafla akassma luteni jenerali, ghafla tena brigedia jenerali. Mtu ambae hajawahi kuwa hata mwanajeshi

Hamjui hata kidogo.
 
Back
Top Bottom