Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Ni tapeli tu hana anajeshi wowoteBalozi Mjenga, yupo Dubai huyo. Mtu wa usalama wa miaka mingi, ni mwanajeshi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni tapeli tu hana anajeshi wowoteBalozi Mjenga, yupo Dubai huyo. Mtu wa usalama wa miaka mingi, ni mwanajeshi.
Taja hiyo miradi na siyo kunyanyua pua juu kama 🐷 aliye on heat!Huna ujualo lolote. Ipo miradi mingi sana anaianzisha Samia na inaendelea kupanuka.
Chuki za kundi la hayati JPM zinazeeka pamoja na wahusika.
Namjua vizuri anaishi huku mbele kidogo ya mbezi beach. Ni mwanajeshi kamili.Ni tapeli tu hana anajeshi wowote
DPW waliopigiwa kelele ni mfano mkubwa sana wa uwekezaji wa awamu ya sita.Taja hiyo miradi na siyo kunyanyua pua juu kama 🐷 aliye on heat!
Sasa mbona ni tapeliNamjua vizuri anaishi huku mbele kidogo ya mbezi beach. Ni mwanajeshi kamili.
Huna ujualo wewe.Sasa mbona ni tapeli
Basi sawaHuna ujualo wewe.
Kumbe umeelewa vizuri ila ujinga wako upo ndani ya DNA kujifanya huelewiDogo point yako ni ipi?
a) Rais kutumia Dreamliner badala ya Gulfstream?
b) Hasara iliyopata ATC baada ya Rais kutumia Dreamliner badala ya Gulfstream?
c) Idadi ya watu walioambatana na Rais Brazil?
d) Kuna faida gani Tanzania tutapata kwenye huo mkutano?
Ebu eleza vizuri tukusaidie Dogo!
Atakuwa mgambo huyo!😃😃😃 Nimemsikiliza vizuri akihojiwa na Farhia Middle hajatamka hata kwa kukosea kuwa ni mwanajeshi, bali mwanadiplomasia.Sasa mbona ni tapeli
DPW wameuziwa bandari sasa ulitaka wasiwekeze? Tanzania imefaidika nini?DPW waliopigiwa kelele ni mfano mkubwa sana wa uwekezaji wa awamu ya sita.
Nenda Morogoro utazame uwekezaji wa kiwanda kipya cha sukari. Yapo mengi sana cha muhimu jikite kiakili kutazama mema pia sio kuishia kutazama mabaya tu.
CCM imejaa matapeli tupuAtakuwa mgambo huyo!😃😃😃 Nimemsikiliza vizuri akihojiwa na Farhia Middle hajatamka hata kwa kukosea kuwa ni mwanajeshi, bali mwanadiplomasia.
Kama ni mwanajeshi ana cheo gani? Wanajeshi hujitambulisha kwa vyeo vyao!
Mpuuzi wewe, kaa na wadau wanaofanya biashara za bandarini wakupe shule pana ya kinachofanyika.DPW wameuziwa bandari sasa ulitaka wasiwekeze? Tanzania imefaidika nini?
Meja Jenerali Mjenga ndio cheo chake. Huyo namfahamu vyema, alitaka kupangisha eneo langu hapa mbezi beach.Atakuwa mgambo huyo!😃😃😃 Nimemsikiliza vizuri akihojiwa na Farhia Middle hajatamka hata kwa kukosea kuwa ni mwanajeshi, bali mwanadiplomasia.
Kama ni mwanajeshi ana cheo gani? Wanajeshi hujitambulisha kwa vyeo vyao!
Halafu serikali imepata nini?Mpuuzi wewe, kaa na wadau wanaofanya biashara za bandarini wakupe shule pana ya kinachofanyika.
Ongezeko la kodi na wepesi wa ushushaji na upakiaji mizigo umeongezeka,Halafu serikali imepata nini?
Nakuletea wasifu wa Mjenga halafu utueleze huo U-Major General aliupata wapi. Huyo aliyetaka kupangisha eneo lako siyo huyu au ni tapeli!Meja Jenerali Mjenga ndio cheo chake. Huyo namfahamu vyema, alitaka kupangisha eneo langu hapa mbezi beach.
Kama wewe wala vitu fresh ya nini kushobokea sie wala makombo? Ahahahahaha!!!Wala makombo wa ikulu hampotezi muda kuleta utetezi..
Wewe baada ya kutumia akili yako umeelewa nini? Ahahahahaha!!!Tumia akili yako kuelewa ujumbe
Ahahahahaha!!!Kumbe umeelewa vizuri ila ujinga wako upo ndani ya DNA kujifanya huelewi