Omary Mjenga: Gharama za Gulf Stream kwenda Rio de Janerio Brazil ni mara 7 ya Dreamliner ya ATC

Omary Mjenga: Gharama za Gulf Stream kwenda Rio de Janerio Brazil ni mara 7 ya Dreamliner ya ATC

Huu urais ulimuangukia tu kwa bahati, labda Magufuli asingefariki naye asingekuwa rais, lakini kwakuwa iliisha kuwa hivyo muacheni ale raha, kila siku mnamtishia uchaguzi, ambao ni mwakani tu apo.

Jiulizeni asipokula leo atakula lini? Na huo ndio urefu wa kamba mliyompa.

Jamani mnataka president apande bus kwenda Brazil? Au mlitaka apande KLM au Air Frence? Au mlitaka apande Sea Horse?

Kapanda ndege ya Tanzania na watanzania 100 mnalalamika?

Juzi hapa tulikuwa tunalalamika kawakilishwa, sasa kaamua kwenda mwenyewe mnalalamika. Hata akienda kusikiliza tu muacheni aende, tulitaka rais akakutane na wenzake huko, au mnataka afanyeje?
🤣🤣🤣
 
Wananchi waelezwe gharama yote ya Mhe. Rais kwenda Brazil kwenda na kurudi ikijumuisha ujumbe wake wote. Pili tuelezwe ni faida gani itapatikana na safari ya Mhe. Rais kwenda Brazil?.
🙋‍♂️👍👏👌🤝🙏
 
Hakika hawa machawa wa mama Kizimkazi wanatuona Watanzania bado ni wajinga sana!

Omary Mjenga ni mwanadiplomasia Mwandamizi na Mtendaji Mkuu wa National Defense College leo ametetea Rais Samia kutumia ndege ya ATC aina ya Boeing Dreamliner yenye uwezo wa kubeba zaidi ya abiria 100 kibiashara kwa hoja kuwa angetumia ndege ya Rais aina ya Gulfstream gharama ingekuwa mara 7 zaidi!

Amesema hayo wakati akihojiwa na Farhia Middle kwenye kipindi cha dakika 45 cha ITV. Bw. Omary amejenga hoja kuwa Rais anasafiri na ujumbe wa watu wengi wakiwemo walinzi na wasaidizi kadhaa mbali na wataalam! Ameongeza kusema angesafiri kwa Gulfstream ingelazimu wajumbe wengine kusafiri kwa ndege za kibiashara.

Bw. Omary anatakiwa atueleze je kuna umuhimu wa Rais kusafiri na watu zaidi ya 100 katika ziara zake nchi za nje? Uzoefu wetu unaonyesha huwa anasafiri na machawa wake wakiwemo wasanii ambao hawana mchango wo wote katika mazungumzo ya kiserikali na wafanyabiashara ambao wanatumika kuhujumu na kufisadi mali za umma!

Bw. Omary atueleze ni hasara kiasi gani ATC inapata kwa ndege kutofanya biashara kipindi chote cha ziara za Rais?

Bw. Omary atueleze ni faida gani tutapata kutokana na mwaliko wa Rais kuhudhuria mkutano wa G20 akiambatana na watu zaidi ya 100 na kitu gani tungekosa kama angesafiri na watu wachache?

Maswali ni mengi lakini kwa kweli Watanzania tumepigwa!
Omary Mjenga,kijana zao la Songea Boys Secondary School
 
Hakika hawa machawa wa mama Kizimkazi wanatuona Watanzania bado ni wajinga sana!

Omary Mjenga ni mwanadiplomasia Mwandamizi na Mtendaji Mkuu wa National Defense College leo ametetea Rais Samia kutumia ndege ya ATC aina ya Boeing Dreamliner yenye uwezo wa kubeba zaidi ya abiria 100 kibiashara kwa hoja kuwa angetumia ndege ya Rais aina ya Gulfstream gharama ingekuwa mara 7 zaidi!

Amesema hayo wakati akihojiwa na Farhia Middle kwenye kipindi cha dakika 45 cha ITV. Bw. Omary amejenga hoja kuwa Rais anasafiri na ujumbe wa watu wengi wakiwemo walinzi na wasaidizi kadhaa mbali na wataalam! Ameongeza kusema angesafiri kwa Gulfstream ingelazimu wajumbe wengine kusafiri kwa ndege za kibiashara.

Bw. Omary anatakiwa atueleze je kuna umuhimu wa Rais kusafiri na watu zaidi ya 100 katika ziara zake nchi za nje? Uzoefu wetu unaonyesha huwa anasafiri na machawa wake wakiwemo wasanii ambao hawana mchango wo wote katika mazungumzo ya kiserikali na wafanyabiashara ambao wanatumika kuhujumu na kufisadi mali za umma!

Bw. Omary atueleze ni hasara kiasi gani ATC inapata kwa ndege kutofanya biashara kipindi chote cha ziara za Rais?

Bw. Omary atueleze ni faida gani tutapata kutokana na mwaliko wa Rais kuhudhuria mkutano wa G20 akiambatana na watu zaidi ya 100 na kitu gani tungekosa kama angesafiri na watu wachache?

Maswali ni mengi lakini kwa kweli Watanzania tumepigwa!
Hatujapigwa mbona kawaida sn
 
Hakika hawa machawa wa mama Kizimkazi wanatuona Watanzania bado ni wajinga sana!

Omary Mjenga ni mwanadiplomasia Mwandamizi na Mtendaji Mkuu wa National Defense College leo ametetea Rais Samia kutumia ndege ya ATC aina ya Boeing Dreamliner yenye uwezo wa kubeba zaidi ya abiria 100 kibiashara kwa hoja kuwa angetumia ndege ya Rais aina ya Gulfstream gharama ingekuwa mara 7 zaidi!

Amesema hayo wakati akihojiwa na Farhia Middle kwenye kipindi cha dakika 45 cha ITV. Bw. Omary amejenga hoja kuwa Rais anasafiri na ujumbe wa watu wengi wakiwemo walinzi na wasaidizi kadhaa mbali na wataalam! Ameongeza kusema angesafiri kwa Gulfstream ingelazimu wajumbe wengine kusafiri kwa ndege za kibiashara.

Bw. Omary anatakiwa atueleze je kuna umuhimu wa Rais kusafiri na watu zaidi ya 100 katika ziara zake nchi za nje? Uzoefu wetu unaonyesha huwa anasafiri na machawa wake wakiwemo wasanii ambao hawana mchango wo wote katika mazungumzo ya kiserikali na wafanyabiashara ambao wanatumika kuhujumu na kufisadi mali za umma!

Bw. Omary atueleze ni hasara kiasi gani ATC inapata kwa ndege kutofanya biashara kipindi chote cha ziara za Rais?

Bw. Omary atueleze ni faida gani tutapata kutokana na mwaliko wa Rais kuhudhuria mkutano wa G20 akiambatana na watu zaidi ya 100 na kitu gani tungekosa kama angesafiri na watu wachache?

Maswali ni mengi lakini kwa kweli Watanzania tumepigwa!
Huyu Omary naye anafukuzia uteuzi
 
Hivi mbona Rais wa Zambia huwa anaondoka na watu wasiozidi wa4 na hatujawahi kusikia amepata shida huyu wa kwetu anaondoka na watu zaidi 100 kwenda kufanya nini? huyu mama hana huruma na watanzania hata kdg
 
Siku bdege hiyo ikipata shida ndo utajua idadi na aina ya watu wanaoambatana na mh kwenye hizo ziara.
Kuna wajukuu wanakwenda kufanya shopping...
Ila kusema ukweli, kuna jamii flani hapa Tanzania wakilata uRais wanaifanya kama kazi ya familia kuanzia watoto hadi wajukuu na hadi wajomba.
Chunguzeni kwa viongozi waliopata kutuongoza.
Huyu mama siyo mzalendo hata kdg ni aibu tupu
 
Yeye si anakuta tu ndege hapo anapanda ? Acha ajilie raha mwanamke mwenzetu, maisha ni haya haya tena ni mafupi.
Kwa hiyo ajilie mwenyewe kwa vile kwa wengine maisha yao ni marefu, siyo?
 
Hakika hawa machawa wa mama Kizimkazi wanatuona Watanzania bado ni wajinga sana!

Omary Mjenga ni mwanadiplomasia Mwandamizi na Mtendaji Mkuu wa National Defense College leo ametetea Rais Samia kutumia ndege ya ATC aina ya Boeing Dreamliner yenye uwezo wa kubeba zaidi ya abiria 100 kibiashara kwa hoja kuwa angetumia ndege ya Rais aina ya Gulfstream gharama ingekuwa mara 7 zaidi!

Amesema hayo wakati akihojiwa na Farhia Middle kwenye kipindi cha dakika 45 cha ITV. Bw. Omary amejenga hoja kuwa Rais anasafiri na ujumbe wa watu wengi wakiwemo walinzi na wasaidizi kadhaa mbali na wataalam! Ameongeza kusema angesafiri kwa Gulfstream ingelazimu wajumbe wengine kusafiri kwa ndege za kibiashara.

Bw. Omary anatakiwa atueleze je kuna umuhimu wa Rais kusafiri na watu zaidi ya 100 katika ziara zake nchi za nje? Uzoefu wetu unaonyesha huwa anasafiri na machawa wake wakiwemo wasanii ambao hawana mchango wo wote katika mazungumzo ya kiserikali na wafanyabiashara ambao wanatumika kuhujumu na kufisadi mali za umma!

Bw. Omary atueleze ni hasara kiasi gani ATC inapata kwa ndege kutofanya biashara kipindi chote cha ziara za Rais?

Bw. Omary atueleze ni faida gani tutapata kutokana na mwaliko wa Rais kuhudhuria mkutano wa G20 akiambatana na watu zaidi ya 100 na kitu gani tungekosa kama angesafiri na watu wachache?

Maswali ni mengi lakini kwa kweli Watanzania tumepigwa!
Kwa hulka za machawa watakubeza kwa kauli sawa na hizi:
Acha wivu wa like
Ndege wapo nayo Rio na wanatamba nayo!
Chungulia angani!
Kajiajiri
Bata batani
 
Hakika hawa machawa wa mama Kizimkazi wanatuona Watanzania bado ni wajinga sana!

Omary Mjenga ni mwanadiplomasia Mwandamizi na Mtendaji Mkuu wa National Defense College leo ametetea Rais Samia kutumia ndege ya ATC aina ya Boeing Dreamliner yenye uwezo wa kubeba zaidi ya abiria 100 kibiashara kwa hoja kuwa angetumia ndege ya Rais aina ya Gulfstream gharama ingekuwa mara 7 zaidi!

Amesema hayo wakati akihojiwa na Farhia Middle kwenye kipindi cha dakika 45 cha ITV. Bw. Omary amejenga hoja kuwa Rais anasafiri na ujumbe wa watu wengi wakiwemo walinzi na wasaidizi kadhaa mbali na wataalam! Ameongeza kusema angesafiri kwa Gulfstream ingelazimu wajumbe wengine kusafiri kwa ndege za kibiashara.

Bw. Omary anatakiwa atueleze je kuna umuhimu wa Rais kusafiri na watu zaidi ya 100 katika ziara zake nchi za nje? Uzoefu wetu unaonyesha huwa anasafiri na machawa wake wakiwemo wasanii ambao hawana mchango wo wote katika mazungumzo ya kiserikali na wafanyabiashara ambao wanatumika kuhujumu na kufisadi mali za umma!

Bw. Omary atueleze ni hasara kiasi gani ATC inapata kwa ndege kutofanya biashara kipindi chote cha ziara za Rais?

Bw. Omary atueleze ni faida gani tutapata kutokana na mwaliko wa Rais kuhudhuria mkutano wa G20 akiambatana na watu zaidi ya 100 na kitu gani tungekosa kama angesafiri na watu wachache?

Maswali ni mengi lakini kwa kweli Watanzania tumepigwa!
Fedha za walipa kodi zinatumika kirafiki? Vifaa muhimu vya uokoaji vipo?
 
Hakika hawa machawa wa mama Kizimkazi wanatuona Watanzania bado ni wajinga sana!

Omary Mjenga ni mwanadiplomasia Mwandamizi na Mtendaji Mkuu wa National Defense College leo ametetea Rais Samia kutumia ndege ya ATC aina ya Boeing Dreamliner yenye uwezo wa kubeba zaidi ya abiria 100 kibiashara kwa hoja kuwa angetumia ndege ya Rais aina ya Gulfstream gharama ingekuwa mara 7 zaidi!

Amesema hayo wakati akihojiwa na Farhia Middle kwenye kipindi cha dakika 45 cha ITV. Bw. Omary amejenga hoja kuwa Rais anasafiri na ujumbe wa watu wengi wakiwemo walinzi na wasaidizi kadhaa mbali na wataalam! Ameongeza kusema angesafiri kwa Gulfstream ingelazimu wajumbe wengine kusafiri kwa ndege za kibiashara.

Bw. Omary anatakiwa atueleze je kuna umuhimu wa Rais kusafiri na watu zaidi ya 100 katika ziara zake nchi za nje? Uzoefu wetu unaonyesha huwa anasafiri na machawa wake wakiwemo wasanii ambao hawana mchango wo wote katika mazungumzo ya kiserikali na wafanyabiashara ambao wanatumika kuhujumu na kufisadi mali za umma!

Bw. Omary atueleze ni hasara kiasi gani ATC inapata kwa ndege kutofanya biashara kipindi chote cha ziara za Rais?

Bw. Omary atueleze ni faida gani tutapata kutokana na mwaliko wa Rais kuhudhuria mkutano wa G20 akiambatana na watu zaidi ya 100 na kitu gani tungekosa kama angesafiri na watu wachache?

Maswali ni mengi lakini kwa kweli Watanzania tumepigwa!
Cha kusikitisha ni kwamba Samia alisema mashirika ya umma yasiingiliwe na wanasiasa halafu yeye anatumia ndege ya shirika la umma.
 
Hakika hawa machawa wa mama Kizimkazi wanatuona Watanzania bado ni wajinga sana!

Omary Mjenga ni mwanadiplomasia Mwandamizi na Mtendaji Mkuu wa National Defense College leo ametetea Rais Samia kutumia ndege ya ATC aina ya Boeing Dreamliner yenye uwezo wa kubeba zaidi ya abiria 100 kibiashara kwa hoja kuwa angetumia ndege ya Rais aina ya Gulfstream gharama ingekuwa mara 7 zaidi!

Amesema hayo wakati akihojiwa na Farhia Middle kwenye kipindi cha dakika 45 cha ITV. Bw. Omary amejenga hoja kuwa Rais anasafiri na ujumbe wa watu wengi wakiwemo walinzi na wasaidizi kadhaa mbali na wataalam! Ameongeza kusema angesafiri kwa Gulfstream ingelazimu wajumbe wengine kusafiri kwa ndege za kibiashara.

Bw. Omary anatakiwa atueleze je kuna umuhimu wa Rais kusafiri na watu zaidi ya 100 katika ziara zake nchi za nje? Uzoefu wetu unaonyesha huwa anasafiri na machawa wake wakiwemo wasanii ambao hawana mchango wo wote katika mazungumzo ya kiserikali na wafanyabiashara ambao wanatumika kuhujumu na kufisadi mali za umma!

Bw. Omary atueleze ni hasara kiasi gani ATC inapata kwa ndege kutofanya biashara kipindi chote cha ziara za Rais?

Bw. Omary atueleze ni faida gani tutapata kutokana na mwaliko wa Rais kuhudhuria mkutano wa G20 akiambatana na watu zaidi ya 100 na kitu gani tungekosa kama angesafiri na watu wachache?

Maswali ni mengi lakini kwa kweli Watanzania tumepigwa!
Kiukweli wewe ni mpumbavu,Rais ataenda popote bila kujalisha gharama yaani unafanya marudio.

Enzi ya Mkapa mliambiwa Ndege ya Rais lazima inunuliwe hata kama mtakula nyasi,hii ni baada ya wengine kudai Ina gharama kubwa kama unavyosema wewe.

Kiufupi kuwa na Rais ni gharama
 
Cha kusikitisha ni kwamba Samia alisema mashirika ya umma yasiingiliwe na wanasiasa halafu yeye anatumia ndege ya shirika la umma.
CAG akija kuhoji na yeye atajifanya kushangaa wakati ni yeye amesababisha hasara!
 
Back
Top Bottom