Omary Mjenga: Gharama za Gulf Stream kwenda Rio de Janerio Brazil ni mara 7 ya Dreamliner ya ATC

Omary Mjenga: Gharama za Gulf Stream kwenda Rio de Janerio Brazil ni mara 7 ya Dreamliner ya ATC

Wananchi waelezwe gharama yote ya Mhe. Rais kwenda Brazil kwenda na kurudi ikijumuisha ujumbe wake wote. Pili tuelezwe ni faida gani itapatikana na safari ya Mhe. Rais kwenda Brazil?.
 
Wananchi waelezwe gharama yote ya Mhe. Rais kwenda Brazil kwenda na kurudi ikijumuisha ujumbe wake wote. Pili tuelezwe ni faida gani itapatikana na safari ya Mhe. Rais kwenda Brazil?.
Brazil shamba au hujui
 
Siku bdege hiyo ikipata shida ndo utajua idadi na aina ya watu wanaoambatana na mh kwenye hizo ziara.
Kuna wajukuu wanakwenda kufanya shopping...
Ila kusema ukweli, kuna jamii flani hapa Tanzania wakilata uRais wanaifanya kama kazi ya familia kuanzia watoto hadi wajukuu na hadi wajomba.
Chunguzeni kwa viongozi waliopata kutuongoza.

Hii inanikumbusha siku moja kama miezi miwili iliyopita.
Tunatoka Kigamboni kuja huku Feri.
Kivuko kinakaribia kushusha kuna mtu akawapa ishara ya kusogea mbele yani pale pakushukia mbele kabisa vijana wawili binti na mvulana,
wao wakawa wa kwanza kabisa, lakini ng'ambo kabisa kuna Gari jeusi lenye namba za Jeshi V8 imetugeukia na kuna kamanda kasimama na kaifungua milango ya Gari hilo.

Wale vijana wakashusha kwenye Kivuko na moja kwa moja wakaingia kwenye Gari fasta.
Ilikuwa ni kitendo cha harakaharaka sana hata kutokuweza kujiuliza kuwa inaweza ikawa ni damu ya kiboba gani wa 'Nji' hii.
Watu wakawa wanabung'aabung'aa tu.

Ila kuna watu wanakula matunda ya Uhuru nyie.

Acheni ujinga,
Tafuteni madaraka Kenge nyie.
 
Siku bdege hiyo ikipata shida ndo utajua idadi na aina ya watu wanaoambatana na mh kwenye hizo ziara.
Kuna wajukuu wanakwenda kufanya shopping...
Ila kusema ukweli, kuna jamii flani hapa Tanzania wakilata uRais wanaifanya kama kazi ya familia kuanzia watoto hadi wajukuu na hadi wajomba.
Chunguzeni kwa viongozi waliopata kutuongoza.
Mimi nilichoka siku alipoenda ziara nchi Fulani ,ktk hotuba yake akamtambulisha mwanae Abdul 🥴🥴😔
 
Hakika hawa machawa wa mama Kizimkazi wanatuona Watanzania bado ni wajinga sana!

Omary Mjenga ni mwanadiplomasia Mwandamizi na Mtendaji Mkuu wa National Defense College leo ametetea Rais Samia kutumia ndege ya ATC aina ya Boeing Dreamliner yenye uwezo wa kubeba zaidi ya abiria 100 kibiashara kwa hoja kuwa angetumia ndege ya Rais aina ya Gulfstream gharama ingekuwa mara 7 zaidi!

Amesema hayo wakati akihojiwa na Farhia Middle kwenye kipindi cha dakika 45 cha ITV. Bw. Omary amejenga hoja kuwa Rais anasafiri na ujumbe wa watu wengi wakiwemo walinzi na wasaidizi kadhaa mbali na wataalam! Ameongeza kusema angesafiri kwa Gulfstream ingelazimu wajumbe wengine kusafiri kwa ndege za kibiashara.

Bw. Omary anatakiwa atueleze je kuna umuhimu wa Rais kusafiri na watu zaidi ya 100 katika ziara zake nchi za nje? Uzoefu wetu unaonyesha huwa anasafiri na machawa wake wakiwemo wasanii ambao hawana mchango wo wote katika mazungumzo ya kiserikali na wafanyabiashara ambao wanatumika kuhujumu na kufisadi mali za umma!

Bw. Omary atueleze ni hasara kiasi gani ATC inapata kwa ndege kutofanya biashara kipindi chote cha ziara za Rais?

Bw. Omary atueleze ni faida gani tutapata kutokana na mwaliko wa Rais kuhudhuria mkutano wa G20 akiambatana na watu zaidi ya 100 na kitu gani tungekosa kama angesafiri na watu wachache?

Maswali ni mengi lakini kwa kweli Watanzania tumepigwa!
Ndio ukaji wao
 
$ 5000 kwa gharama zipi? Kula, kulala, kusafiri bure. Bado per diem 5000! Naomba utaalamu hapa
Rais anaishi bure, ni kula kulala na analipwa na anacholipwa haijulikani analipwa kwa kusudi gani ikiwa anapatiwa huduma zote bure hata anapostaafu.
 
Hii inanikumbusha siku moja kama miezi miwili iliyopita.
Tunatoka Kigamboni kuja huku Feri.
Kivuko kinakaribia kushusha kuna mtu akawapa ishara ya kusogea mbele yani pale pakushukia mbele kabisa vijana wawili binti na mvulana,
wao wakawa wa kwanza kabisa, lakini ng'ambo kabisa kuna Gari jeusi lenye namba za Jeshi V8 imetugeukia na kuna kamanda kasimama na kaifungua milango ya Gari hilo.

Wale vijana wakashusha kwenye Kivuko na moja kwa moja wakaingia kwenye Gari fasta.
Ilikuwa ni kitendo cha harakaharaka sana hata kutokuweza kujiuliza kuwa inaweza ikawa ni damu ya kiboba gani wa 'Nji' hii.
Watu wakawa wanabung'aabung'aa tu.

Ila kuna watu wanakula matunda ya Uhuru nyie.

Acheni ujinga,
Tafuteni madaraka Kenge nyie.
Hii ni the same ingekuwa kuna mtoto wa kibabo flani yupo chini ya jengo pale Kkoo. Hadi helicopter za jeshi zingetumika.

Nadhani kuna shida mahali katika kuelewa dhamani ya ubinadam. Kinachoangaliwa zaidi ni dhamani ya vyeo mkuu.
 
Dogo point yako ni ipi?
a) Rais kutumia Dreamliner badala ya Gulfstream?
b) Hasara iliyopata ATC baada ya Rais kutumia Dreamliner badala ya Gulfstream?
c) Idadi ya watu walioambatana na Rais Brazil?
d) Kuna faida gani Tanzania tutapata kwenye huo mkutano?

Ebu eleza vizuri tukusaidie Dogo!
Wewe ndiye unahitaji msaada kwa ujinga wako wa kutokuelewa.
 
Huu urais ulimuangukia tu kwa bahati, labda Magufuli asingefariki naye asingekuwa rais, lakini kwakuwa iliisha kuwa hivyo muacheni ale raha, kila siku mnamtishia uchaguzi, ambao ni mwakani tu apo.

Jiulizeni asipokula leo atakula lini? Na huo ndio urefu wa kamba mliyompa.

Jamani mnataka president apande bus kwenda Brazil? Au mlitaka apande KLM au Air Frence? Au mlitaka apande Sea Horse?

Kapanda ndege ya Tanzania na watanzania 100 mnalalamika?

Juzi hapa tulikuwa tunalalamika kawakilishwa, sasa kaamua kwenda mwenyewe mnalalamika. Hata akienda kusikiliza tu muacheni aende, tulitaka rais akakutane na wenzake huko, au mnataka afanyeje?
 
Dogo point yako ni ipi?
a) Rais kutumia Dreamliner badala ya Gulfstream?
b) Hasara iliyopata ATC baada ya Rais kutumia Dreamliner badala ya Gulfstream?
c) Idadi ya watu walioambatana na Rais Brazil?
d) Kuna faida gani Tanzania tutapata kwenye huo mkutano?

Ebu eleza vizuri tukusaidie Dogo!
Mkuu, kwa namna ulivyo orodhesha hayo maswali hapo juu inaonekana umemuelwa vizuri.

Tulitamani uyajibu halafu ndio muulize kama ameyaelewa majibu yako.

Au kweli wewe ni mtoto wa shule??
 
Back
Top Bottom