Omary Mjenga: Gharama za Gulf Stream kwenda Rio de Janerio Brazil ni mara 7 ya Dreamliner ya ATC

Omary Mjenga: Gharama za Gulf Stream kwenda Rio de Janerio Brazil ni mara 7 ya Dreamliner ya ATC

Kiukweli wewe ni mpumbavu,Rais ataenda popote bila kujalisha gharama yaani unafanya marudio.

Enzi ya Mkapa mliambiwa Ndege ya Rais lazima inunuliwe hata kama mtakula nyasi,hii ni baada ya wengine kudai Ina gharama kubwa kama unavyosema wewe.

Kiufupi kuwa na Rais ni gharama
Ona nguruwe šŸ– hili!
 
sawa kabisa ,isije Ikawa tunasafiri kisa kuna siti 100

na,tunaenda kichwa wazi na kurudi kichwa wazi
 
Hakika hawa machawa wa mama Kizimkazi wanatuona Watanzania bado ni wajinga sana!

Omary Mjenga ni mwanadiplomasia Mwandamizi na Mtendaji Mkuu wa National Defense College leo ametetea Rais Samia kutumia ndege ya ATC aina ya Boeing Dreamliner yenye uwezo wa kubeba zaidi ya abiria 100 kibiashara kwa hoja kuwa angetumia ndege ya Rais aina ya Gulfstream gharama ingekuwa mara 7 zaidi!

Amesema hayo wakati akihojiwa na Farhia Middle kwenye kipindi cha dakika 45 cha ITV. Bw. Omary amejenga hoja kuwa Rais anasafiri na ujumbe wa watu wengi wakiwemo walinzi na wasaidizi kadhaa mbali na wataalam! Ameongeza kusema angesafiri kwa Gulfstream ingelazimu wajumbe wengine kusafiri kwa ndege za kibiashara.

Bw. Omary anatakiwa atueleze je kuna umuhimu wa Rais kusafiri na watu zaidi ya 100 katika ziara zake nchi za nje? Uzoefu wetu unaonyesha huwa anasafiri na machawa wake wakiwemo wasanii ambao hawana mchango wo wote katika mazungumzo ya kiserikali na wafanyabiashara ambao wanatumika kuhujumu na kufisadi mali za umma!

Bw. Omary atueleze ni hasara kiasi gani ATC inapata kwa ndege kutofanya biashara kipindi chote cha ziara za Rais?

Bw. Omary atueleze ni faida gani tutapata kutokana na mwaliko wa Rais kuhudhuria mkutano wa G20 akiambatana na watu zaidi ya 100 na kitu gani tungekosa kama angesafiri na watu wachache?

Maswali ni mengi lakini kwa kweli Watanzania tumepigwa!
Hakuna hasara ATCL unapata maana hizo ndege Huwa zinakodishwa na Serikali na watalipia Kwa mda wote watakaoitumia.

Hoja iwe idadi ya watu wanaosafiri Hadi kukodi ndege kubwa ila kinyume na hapo hakuna hoja maana ziara nyingi za Rais Nje ya Nchi zimeleta manufaa ya kifedha directly na manufaa ya kiuchumi Kwa uwekezaji au fursa za masoko.
 
Hakika hawa machawa wa mama Kizimkazi wanatuona Watanzania bado ni wajinga sana!

Omary Mjenga ni mwanadiplomasia Mwandamizi na Mtendaji Mkuu wa National Defense College leo ametetea Rais Samia kutumia ndege ya ATC aina ya Boeing Dreamliner yenye uwezo wa kubeba zaidi ya abiria 100 kibiashara kwa hoja kuwa angetumia ndege ya Rais aina ya Gulfstream gharama ingekuwa mara 7 zaidi!

Amesema hayo wakati akihojiwa na Farhia Middle kwenye kipindi cha dakika 45 cha ITV. Bw. Omary amejenga hoja kuwa Rais anasafiri na ujumbe wa watu wengi wakiwemo walinzi na wasaidizi kadhaa mbali na wataalam! Ameongeza kusema angesafiri kwa Gulfstream ingelazimu wajumbe wengine kusafiri kwa ndege za kibiashara.

Bw. Omary anatakiwa atueleze je kuna umuhimu wa Rais kusafiri na watu zaidi ya 100 katika ziara zake nchi za nje? Uzoefu wetu unaonyesha huwa anasafiri na machawa wake wakiwemo wasanii ambao hawana mchango wo wote katika mazungumzo ya kiserikali na wafanyabiashara ambao wanatumika kuhujumu na kufisadi mali za umma!

Bw. Omary atueleze ni hasara kiasi gani ATC inapata kwa ndege kutofanya biashara kipindi chote cha ziara za Rais?

Bw. Omary atueleze ni faida gani tutapata kutokana na mwaliko wa Rais kuhudhuria mkutano wa G20 akiambatana na watu zaidi ya 100 na kitu gani tungekosa kama angesafiri na watu wachache?

Maswali ni mengi lakini kwa kweli Watanzania tumepigwa!
Tatizo lako ni kujenga hoja huku ushatoa uamuzi,rais anasagiri kwa madlahi ya nchi,hilo kaa uelewe
 
Dogo point yako ni ipi?
a) Rais kutumia Dreamliner badala ya Gulfstream?
b) Hasara iliyopata ATC baada ya Rais kutumia Dreamliner badala ya Gulfstream?
c) Idadi ya watu walioambatana na Rais Brazil?
d) Kuna faida gani Tanzania tutapata kwenye huo mkutano?

Ebu eleza vizuri tukusaidie Dogo!
Wala makombo wa ikulu hampotezi muda kuleta utetezi..
 
Hakuna hasara ATCL unapata maana hizo ndege Huwa zinakodishwa na Serikali na watalipia Kwa mda wote watakaoitumia.

Hoja iwe idadi ya watu wanaosafiri Hadi kukodi ndege kubwa ila kinyume na hapo hakuna hoja maana ziara nyingi za Rais Nje ya Nchi zimeleta manufaa ya kifedha directly na manufaa ya kiuchumi Kwa uwekezaji au fursa za masoko.
Orodhesha faida zilizotokana na ziara za Rais kama siyo kwenda kuuza rasilimali za nchi!
 
Tatizo lako ni kujenga hoja huku ushatoa uamuzi,rais anasagiri kwa madlahi ya nchi,hilo kaa uelewe
Sana sana anakwenda kuuza sura na rasilimali za nchi! Miradi yote inayoendelea kujengwa hivi sasa ilianzishwa na Magufuli ambaye hakuwahi kwenda kuuza sura huko nje!
 
Dogo point yako ni ipi?
a) Rais kutumia Dreamliner badala ya Gulfstream?
b) Hasara iliyopata ATC baada ya Rais kutumia Dreamliner badala ya Gulfstream?
c) Idadi ya watu walioambatana na Rais Brazil?
d) Kuna faida gani Tanzania tutapata kwenye huo mkutano?

Ebu eleza vizuri tukusaidie Dogo!
Tumia akili yako kuelewa ujumbe
 
Kama nchi yetu inataka kupata maendeleo ya haraka haraka hawa wazee wote inatakiwa wafe wote kwanza tupate watu wenye akili timamu, huyu mzee naye utakuta ni mkuu wa taasisi.
 
Kama nchi yetu inataka kupata maendeleo ya haraka haraka hawa wazee wote inatakiwa wafe wote kwanza tupate watu wenye akili timamu, huyu mzee naye utakuta ni mkuu wa taasisi.
Huyu ndiye Mtendaji Mkuu wa chuo cha jeshi - National Defense College.
 
Hakuna hasara ATCL unapata maana hizo ndege Huwa zinakodishwa na Serikali na watalipia Kwa mda wote watakaoitumia.

Hoja iwe idadi ya watu wanaosafiri Hadi kukodi ndege kubwa ila kinyume na hapo hakuna hoja maana ziara nyingi za Rais Nje ya Nchi zimeleta manufaa ya kifedha directly na manufaa ya kiuchumi Kwa uwekezaji au fursa za masoko.
Wengi humu ni walalamikaji wasio na taarifa wala kujua mifumo ya kiserikali inafanya vipi kazi.
 
Sana sana anakwenda kuuza sura na rasilimali za nchi! Miradi yote inayoendelea kujengwa hivi sasa ilianzishwa na Magufuli ambaye hakuwahi kwenda kuuza sura huko nje!
Huna ujualo lolote. Ipo miradi mingi sana anaianzisha Samia na inaendelea kupanuka.

Chuki za kundi la hayati JPM zinazeeka pamoja na wahusika.
 
Back
Top Bottom