Omba msimpate rais ambaye anafikiria 'interest' na maslahi yake tu!

Omba msimpate rais ambaye anafikiria 'interest' na maslahi yake tu!

Baada ya kutafakari sana nimemuona Samia katika sura hii:

Kwanza ni mtu anayependa afulfil maslahi yake tu hata nyie mkifa shauri yenu.

Ni mtu anayependa mass appreciation bila hata kujali maslahi kwa watu wengine.

Ni mtu anayependa kusifiwa sana hata kama anajua watu wanakufa kwa njaa au hawana ajira kabisa yeye hajali ilimradi anasifiwa kwamba anupiga mwingi.

Ni mtu wa kupenda publicity ya watu maarufu sana nyie wadogo hata mfe shauri yenu.

Ki ufupi Samia ni self centered.
Mbona sifa hizo zinafit 100% kwa mtangulizi wake.

Umesahau zile nyimbo za kumuabudu, kuzima wakosoaji n.k
 
Hilo nalo unamlaumu Samia tu, vipi kuhusu watangulizi wake ?.... unadhani ni jambo rahisi la kutatua usiku mmoja tu ?..

Acha lawama zisizo na msingi.
At least umemweleza ukweli
 
Baada ya kutafakari sana nimemuona Samia katika sura hii:

Kwanza ni mtu anayependa afulfil maslahi yake tu hata nyie mkifa shauri yenu.

Ni mtu anayependa mass appreciation bila hata kujali maslahi kwa watu wengine.

Ni mtu anayependa kusifiwa sana hata kama anajua watu wanakufa kwa njaa au hawana ajira kabisa yeye hajali ilimradi anasifiwa kwamba anupiga mwingi.

Ni mtu wa kupenda publicity ya watu maarufu sana nyie wadogo hata mfe shauri yenu.

Ki ufupi Samia ni self centered.
Hakuna Rais aliependa kusifiwa tangu Uhuru kama awamu ya tano!! Tuongee ukwel bila ushabiki!!
 
Hilo nalo unamlaumu Samia tu, vipi kuhusu watangulizi wake ?.... unadhani ni jambo rahisi la kutatua usiku mmoja tu ?..

Acha lawama zisizo na msingi.
Akakopi na kupaste kwa jk yeye alifanyaje mpaka ualimaua ukawa kimbilio kwa vijana na udaktari paia
 
Ukisema interest zake unamaanisha kuwapa Wana familia yake uwaziri, ukurugenzi, ubunge wa michongo , mitaji ya biashara na kuwakingia kifua wasilipe Kodi au una maana ya rais kujilimbikizia Mali?
Tanzania hatuna rais wa hivyo kwani kila rais anajua atalishwa na kuvishwa na serikali hata mazishi yake yatagharamiwa na serikali.
 
. Mi nimekuuliza serikali Ina kazi Gani?
Wewe ndiye uliyesema kuwa Katiba inasema Serikali ndiyo inatakiwa iwe muajiri Mkuu, sasa tutajie kifungu cha Katiba kinachosema kuwa serikali inatakiwa kuwa muajiri Mkuu.

Hayo ya kazi za serikali ni zipi mbona inajulikana tu!!
 
Hakuna Rais aliependa kusifiwa tangu Uhuru kama awamu ya tano!! Tuongee ukwel bila ushabiki!!
Samia amekuja kuendeleza sifa hizo tena zaidi na zaidi na mbaya zaidi sifa hizo anapenda kuzipata kwa matajiri tu maskini potelea mbali
 
Huyu mama amekuja kuziendeleza na slowly atamzidi kwa sifa
Hawezi kufikia hata robo, mtangulizi alilazimisha watu wamsifie, ukienda kinyume (kukosoa) unajua nini kitafuata.

Sidhani kama huyu mama atafika huko.

Umezungumia ajira, toka ameingia mdarakani angalau kajitahidi kuliko mtangulizi wake,
 
Baada ya kutafakari sana nimemuona Samia katika sura hii:

Kwanza ni mtu anayependa afulfil maslahi yake tu hata nyie mkifa shauri yenu.

Ni mtu anayependa mass appreciation bila hata kujali maslahi kwa watu wengine.

Ni mtu anayependa kusifiwa sana hata kama anajua watu wanakufa kwa njaa au hawana ajira kabisa yeye hajali ilimradi anasifiwa kwamba anupiga mwingi.

Ni mtu wa kupenda publicity ya watu maarufu sana nyie wadogo hata mfe shauri yenu.

Ki ufupi Samia ni self centered.
Unamaanisha mama anapenda kusifiwa kumpita Jiwe?
Hauko sawasawa kichwani wewe.
 
Elimu ya uraia na kujitambua bado watu wengi hawana yaani mtu hajui haki zake za msingi na ubora wa namna anavyo paswa kupewa, watu hawajui nini serikali yao inatakiwa kuwafanyia. Kama kuna watu wa kupiga vita basi ni hawa wasio jitambua ni watu wanao tukwamisha wao hawajui tofauti ya ukimya na kelele.
Elimu inapaswa kutolewa watu wajue haki zao na mipaka iliyopo kati ya mihimili ya serikali na vyama vya siasa, sio tu mtu anaibuka eti anasema amemsamehe Lema atamfutia mashitaka yake hii haikubaliki kwenye mataifa ya watu wenye akili timamu.
 
Sijayaona hayo unayosema kwa Rais Samia. Hayo yote alikuwa nayo jiwe. Angalau Samia kidogo anajali hatma ya mtanzania kwa ujmla wake. Samia si mkamilifu but is doing better kwenye angle nyingi sana ukilinganisha na Jiwe

Sent from my Infinix X6817 using JamiiForums mobile app
 
Kwanza una elimu Gani mana hata katiba yenyewe huijui. What are the functions of the government?
Kazi kuu za serikali Duniani kote ni KUWALINDA na KUWAENDELEZA watu wake.Utawaendeleza vipi watu?ni kwa kuhakikisha wanapata mahitaji yote muhimu;ni ili wayapate sharti wawe na Elimu bora na ajira za heshima na siyo kazi kama za Bodaboda.
Na ndiyo maana ata kwenye siasa za Marekani huko walikoendelea,utasikia sana ahadi ya ajira kwa raia wake kwa maana ni wajibu wa serikali kuhakikisha watu wake wana ajira nzuri.
Acheni kumdanganya Bibi yenu wa Kikwajuni!
 
A stupid question should always receive a stupid answer. Mi nimekuuliza serikali Ina kazi Gani? Unless hata mama mwenyewe haelewe kazi za serikali ndo mana anaona kundi kubwa la vijana mtaani wanalandlanda yeye anaona poa tu Bora akapatane na mbowe ambaye ni tajiri tayari. Hili ni bomu in future na vikundi vya kigaidi Huwa vinaanza hivihivi kwa vijana kukosa ajira na serikali inachukulia poa yaani inaona siyo jukumu lake
Bibi alishasema kuwa siyo kazi ya serikali kutoa ajira!
Mimi nilishaacha kusikiliza hotuba zake.
 
Hayupo mtawala yeyeto atakaekuletea maendeleo uongozi ni ajira yake na sio wito
 
Kazi kuu za serikali Duniani kote ni KUWALINDA na KUWAENDELEZA watu wake.Utawaendeleza vipi watu?ni kwa kuhakikisha wanapata mahitaji yote muhimu;ni ili wayapate sharti wawe na Elimu bora na ajira za heshima na siyo kazi kama za Bodaboda.
Na ndiyo maana ata kwenye siasa za Marekani huko walikoendelea,utasikia sana ahadi ya ajira kwa raia wake kwa maana ni wajibu wa serikali kuhakikisha watu wake wana ajira nzuri.
Acheni kumdanganya Bibi yenu wa Kikwajuni!
Sio afrika haya.
Afrika uongozi ni ajira thus tunabadilisha viongozi lakini matatizo yale Yale tangu UHURU hadi mwisho wa dunia.
Hatuwezi jitawala
 
Baada ya kutafakari sana nimemuona Samia katika sura hii:

Kwanza ni mtu anayependa afulfil maslahi yake tu hata nyie mkifa shauri yenu.

Ni mtu anayependa mass appreciation bila hata kujali maslahi kwa watu wengine.

Ni mtu anayependa kusifiwa sana hata kama anajua watu wanakufa kwa njaa au hawana ajira kabisa yeye hajali ilimradi anasifiwa kwamba anupiga mwingi.

Ni mtu wa kupenda publicity ya watu maarufu sana nyie wadogo hata mfe shauri yenu.

Ki ufupi Samia ni self centered.
Wajinga watakuja kuona ukweli huu baada ya kupata rais mwingine.
 
Samia amekuja kuendeleza sifa hizo tena zaidi na zaidi na mbaya zaidi sifa hizo anapenda kuzipata kwa matajiri tu maskini potelea mbali
Noo sidhan kama ni zaid wote tupo bongo hii na awamu zote tumejionea! Kabla ya Samia ilikua ukisifu na kutukuza unaukwaa uongoz au ukuu wa wilaya, tesa upinzani au piga san weka ndan, unaukwaa pia, imagine mtu unafananishwa na MUNGU, YESU mtume Muhammad? Na still unakaa kimya kana kwamba umeridhika na kufurahia?
 
Magufuli ndo kharaibu hi nchi Mambo mengine tuache siasa za Bei Rahisi Mama anajitahidi tumpe Muda tuone mwisho wake lakini Magufuli he was the monster
 
Hatuwezi kuishi kwa siasa tu Kuna mambo mengi yanatakiwa kufanywa kwa maslahi ya umaa. Siasa ni segment ndogo sana na inawanufaisha tu wale wachache ambao tayari ni wanasiasa. Kuna wengine na kwakweli ndo wengi, hatuna traits za siasa kabisa
Sasa we mjinga Mambo gani yaliyosimama . Kama ni elimu watoto wenu mnaoo zaa Kama panya siwanalipiwa ada na kujengewa madarasa. Wakulima sunawapewa mbolea ya ruzuku. Miradi ya jiwe wenu sii inaendelezwa, Wafanyakazi si kila mwezi wanalipwa. Mambo gani hayafanyiki ebu twambie ewe mja ulie jitia upofu
 
Back
Top Bottom