Chikenpox
JF-Expert Member
- Oct 15, 2022
- 784
- 1,246
- Thread starter
- #41
Ajira imepewa kisogo as if siyo kazi ya serikali. Au kama ccm imeelemewa basi iachie ngaziSasa we mjinga Mambo gani yaliyosimama . Kama ni elimu watoto wenu mnaoo zaa Kama panya siwanalipiwa ada na kujengewa madarasa. Wakulima sunawapewa mbolea ya ruzuku. Miradi ya jiwe wenu sii inaendelezwa, Wafanyakazi si kila mwezi wanalipwa. Mambo gani hayafanyiki ebu twambie ewe mja ulie jitia upofu