Ajira imepewa kisogo as if siyo kazi ya serikali. Au kama ccm imeelemewa basi iachie ngaziSasa we mjinga Mambo gani yaliyosimama . Kama ni elimu watoto wenu mnaoo zaa Kama panya siwanalipiwa ada na kujengewa madarasa. Wakulima sunawapewa mbolea ya ruzuku. Miradi ya jiwe wenu sii inaendelezwa, Wafanyakazi si kila mwezi wanalipwa. Mambo gani hayafanyiki ebu twambie ewe mja ulie jitia upofu
Sasa wewe mjinga unataka raisi aajili watu wote? Akisema amefungua nchi wawekezaji wanakuja. Mnapaaza sauti kuwa kaleta wezi kuchota mali za nchi. Mbona hamna jema nyinyi watanzaniaKazi kuu za serikali Duniani kote ni KUWALINDA na KUWAENDELEZA watu wake.Utawaendeleza vipi watu?ni kwa kuhakikisha wanapata mahitaji yote muhimu;ni ili wayapate sharti wawe na Elimu bora na ajira za heshima na siyo kazi kama za Bodaboda.
Na ndiyo maana ata kwenye siasa za Marekani huko walikoendelea,utasikia sana ahadi ya ajira kwa raia wake kwa maana ni wajibu wa serikali kuhakikisha watu wake wana ajira nzuri.
Acheni kumdanganya Bibi yenu wa Kikwajuni!
Ahahah mbona mapema hivyo?😅mama anaupiga mwingi kwelikweli🏃Baada ya kutafakari sana nimemuona Samia katika sura hii:
Kwanza ni mtu anayependa afulfil maslahi yake tu hata nyie mkifa shauri yenu.
Ni mtu anayependa mass appreciation bila hata kujali maslahi kwa watu wengine.
Ni mtu anayependa kusifiwa sana hata kama anajua watu wanakufa kwa njaa au hawana ajira kabisa yeye hajali ilimradi anasifiwa kwamba anupiga mwingi.
Ni mtu wa kupenda publicity ya watu maarufu sana nyie wadogo hata mfe shauri yenu.
Ki ufupi Samia ni self centered.
Hapana sisi tunampongeza kwa kileta wawekezaji lakini je mbona unemployment rate inapaa kila siku. What impact have wawezaji done? Na je serikali imejivua jukumu hili la kuajili. Unataka kusema hata walimu wanasubili wawekezaji ili waajiri wakati public schools hamna walimuSasa wewe mjinga unataka raisi aajili watu wote? Akisema amefungua nchi wawekezaji wanakuja. Mnapaaza sauti kuwa kaleta wezi kuchota mali za nchi. Mbona hamna jema nyinyi watanzania
Wawekezaji uchwara! Hivi kwenye nchi ambayo umeme bado ni tatizo kuna mwekezaji gani anaweza kuja! Hujawajua awamu hii lengo lao ni kupika data feki waonekane bora kuliko aliyepita! Subiri report ya CAG utakuja uniambie!Hapana sisi tunampongeza kwa kileta wawekezaji lakini je mbona unemployment rate inapaa kila siku. What impact have wawezaji done? Na je serikali imejivua jukumu hili la kuajili. Unataka kusema hata walimu wanasubili wawekezaji ili waajiri wakati public schools hamna walimu
Mama anajitahidi lakini huwezi kumfanainsha na jpm ambaye alika hatua mpaka ya kutupiga fix eti tumeingia uchumi wa kati huku umaskini unazidi kuwa juu siku Hadi siku na ajira zinazidi kuyeyuka ila tukalazimisha hivyo hivyo tukubali kwamba tumeingia uchumi wa kati a ukikosoa tu kesho unaokotwa kwenye kiroba cocoWawekezaji uchwara! Hivi kwenye nchi ambayo umeme bado ni tatizo kuna mwekezaji gani anaweza kuja! Hujawajua awamu hii lengo lao ni kupika data feki waonekane bora kuliko aliyepita! Subiri report ya CAG utakuja uniambie!
Huu uzi unaweza ukaondolewa mapema maana mods wa JF ni kama wameingia maridhiano na Samia. Ukiweweka uzi unaomkisoa wanauondoa haraka sana. Juzi nilieleza jinsi alivyoshupaa kwenye interview ya BBC kuwa mbiwe ni gaidi, ukaondolewa harakaBaada ya kutafakari sana nimemuona Samia katika sura hii:
Kwanza ni mtu anayependa afulfil maslahi yake tu hata nyie mkifa shauri yenu.
Ni mtu anayependa mass appreciation bila hata kujali maslahi kwa watu wengine.
Ni mtu anayependa kusifiwa sana hata kama anajua watu wanakufa kwa njaa au hawana ajira kabisa yeye hajali ilimradi anasifiwa kwamba anupiga mwingi.
Ni mtu wa kupenda publicity ya watu maarufu sana nyie wadogo hata mfe shauri yenu.
Ki ufupi Samia ni self centered.
Mi hawezi mana naweza kuwaloga wote wakawa mashoga woteHuu uzi unaweza ukaondolewa mapema maana mods wa JF ni kama wameingia maridhiano na Samia. Ukiweweka uzi unaomkisoa wanauondoa haraka sana. Juzi nilieleza jinsi alivyoshupaa kwenye interview ya BBC kuwa mbiwe ni gaidi, ukaondolewa haraka
Una wivu kama mke mwenzaSamia amekuja kuendeleza sifa hizo tena zaidi na zaidi na mbaya zaidi sifa hizo anapenda kuzipata kwa matajiri tu maskini potelea mbali
Mama chapa kazi wa Tz tupo nawe daima na usiwaze hivi 'vibua'
Ni vijitu vilivyo na utapiamlo wa kufikiri!
Umeandika jina Samia kwa bahati mbaya ama ulidhamiria? Sifa hizi mheshimiwa Samia hana hata moja. Sifa hizi ni za jiwe aka Mungu wa sukuma gang.Baada ya kutafakari sana nimemuona Samia katika sura hii:
Kwanza ni mtu anayependa afulfil maslahi yake tu hata nyie mkifa shauri yenu.
Ni mtu anayependa mass appreciation bila hata kujali maslahi kwa watu wengine.
Ni mtu anayependa kusifiwa sana hata kama anajua watu wanakufa kwa njaa au hawana ajira kabisa yeye hajali ilimradi anasifiwa kwamba anupiga mwingi.
Ni mtu wa kupenda publicity ya watu maarufu sana nyie wadogo hata mfe shauri yenu.
Ki ufupi Samia ni self centered.
Hapa unazungumzia Samia au Magu?Baada ya kutafakari sana nimemuona Samia katika sura hii:
Kwanza ni mtu anayependa afulfil maslahi yake tu hata nyie mkifa shauri yenu.
Ni mtu anayependa mass appreciation
Ni mtu anayependa kusifiwa sana
Ni mtu wa kupenda publicity
ni self centered.
Mbona kama ni sifa za "jiwe" ???!!!Baada ya kutafakari sana nimemuona Samia katika sura hii:
Kwanza ni mtu anayependa afulfil maslahi yake tu hata nyie mkifa shauri yenu.
Ni mtu anayependa mass appreciation bila hata kujali maslahi kwa watu wengine.
Ni mtu anayependa kusifiwa sana hata kama anajua watu wanakufa kwa njaa au hawana ajira kabisa yeye hajali ilimradi anasifiwa kwamba anupiga mwingi.
Ni mtu wa kupenda publicity ya watu maarufu sana nyie wadogo hata mfe shauri yenu.
Ki ufupi Samia ni self centered.
Una matatizo wewe hivi Samia na magufuli Nani alikuwa anapenda kusifiwa?Baada ya kutafakari sana nimemuona Samia katika sura hii:
Kwanza ni mtu anayependa afulfil maslahi yake tu hata nyie mkifa shauri yenu.
Ni mtu anayependa mass appreciation bila hata kujali maslahi kwa watu wengine.
Ni mtu anayependa kusifiwa sana hata kama anajua watu wanakufa kwa njaa au hawana ajira kabisa yeye hajali ilimradi anasifiwa kwamba anupiga mwingi.
Ni mtu wa kupenda publicity ya watu maarufu sana nyie wadogo hata mfe shauri yenu.
Ki ufupi Samia ni self centered.
Chuki zako tu ulizonazo kwa Samia ndio zinakutesaBaada ya kutafakari sana nimemuona Samia katika sura hii:
Kwanza ni mtu anayependa afulfil maslahi yake tu hata nyie mkifa shauri yenu.
Ni mtu anayependa mass appreciation bila hata kujali maslahi kwa watu wengine.
Ni mtu anayependa kusifiwa sana hata kama anajua watu wanakufa kwa njaa au hawana ajira kabisa yeye hajali ilimradi anasifiwa kwamba anupiga mwingi.
Ni mtu wa kupenda publicity ya watu maarufu sana nyie wadogo hata mfe shauri yenu.
Ki ufupi Samia ni self centered.