Omba omba wa Bukoba mjini tabia ya kukaa nje ya vyumba vya ATM sio poa

Omba omba wa Bukoba mjini tabia ya kukaa nje ya vyumba vya ATM sio poa

Covax

JF-Expert Member
Joined
Feb 15, 2021
Posts
10,198
Reaction score
35,323
Omba Omba kila sehemu wana tabia zao na maeneo yao ya kufanyia kazi yao ya kuomba misaada ila wa Bukoba mjini hiyo tabia hasa wakina mama wazee kukaa nje ya vyumba vya ATM sio poa sasa kama mmeamua hivo basi mue na change ya 10,000 siwezi kukiwachia 10k yote uchumi mgumu kwass 10k ndo mshahaara wangu kwa siku.

Bora wale wa Dodoma wanao kaa pembeni ya highway indayo Dar es salaamu. Au wale wa dar wanao enda kwenye maduka ya wa Hindi na waislamu siku ya jumaa au nje ya misikiti.

Ukweli ni kwamba tunataka kuwasaidia chochote ila ATm za Tanzania hazitowi change zinatoa 10 000 tu, wengine tunakosa raha tusipo wape kisa hatuna change.
 
Omba Omba kila sehemu wana tabia zao na maeneo yao ya kufanyia kazi yao ya kuomba misaada ila wa Bukoba mjini hiyo tabia hasa wakina mama wazee kukaa nje ya vyumba vya ATM sio poa sasa kama mmeamua hivo basi mue na change ya 10,000 siwezi kukiwachia 10k yote uchumi mgumu kwass 10k ndo mshahaara wangu kwa siku.

Bora wale wa Dodoma wanao kaa pembeni ya highway indayo Dar es salaamu. Au wale wa dar wanao enda kwenye maduka ya wa Hindi na waislamu siku ya jumaa au nje ya misikiti.

Ukweli ni kwamba tunataka kuwasaidia chochote ila ATm za Tanzania hazitowi change zinatoa 10 000 tu, wengine tunakosa raha tusipo wape kisa hatuna change.
Utawajuaaje kama waoo wa buuukoba?Ulitaka wafanane na wale dom?
 
Kuna wale wa Kivukoni Busisi wanakaa pembezoni mwa foleni ya kuelekea kulipia kuvuka na eneo la kusubiria kivuko. Ila wengine kwa mwonekano lazima utoe tu msaada ...wengine wako fiti kabisa kufanya kazi hao nawapotezeaga..
 
Kuna wale wa Kivukoni Busisi wanakaa pembezoni mwa foleni ya kuelekea kulipia kuvuka na eneo la kusubiria kivuko. Ila wengine kwa mwonekano lazima utoe tu msaada ...wengine wako fiti kabisa kufanya kazi hao nawapotezeaga..
Ukimnyima wakati unaona kweli una laki mbili mfukoni ila huna change unajisikia sio poa kweli.
 
  • Thanks
Reactions: apk
Mi naweza sema najitahidi kutoa. Na hata hutembelea vituo vya watoto yatima. Ila huwa nawakaushia ombaomba ambao wananitega waniaibishe. Mtu anakutegea mgahawani unakula. Wengine umejinunulia kasoda kako huyu hapa. Mara kakuona umevaa tai.
 
Back
Top Bottom