Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
dadavua mada yako vizuri.Nipo mahali aisee mdada kajifunguliq nyumbani sasa kijana now yupo 15yrs hana maamuzi anakosa hata ule uhuru binafsi kama mtoto kila kosa akifanya malalamiko anatukanwa Baba yake na kabila zima
Miaka 15 ukute baba Ake alishatupa story yake kule kwenye Kula kimasihala🤔Nipo mahali aisee mdada kajifunguliq nyumbani sasa kijana now yupo 15yrs hana maamuzi anakosa hata ule uhuru binafsi kama mtoto kila kosa akifanya malalamiko anatukanwa Baba yake na kabila zima
Ukweli Uzi wako haujaelewekaKatika maelezo yote umesoma neno Mungu tuu
Wenda machungu ya kumlea huyo dogo bila usaidizi wa baba yake wanayamalizia kwa mtoto na kabila la baba yake.Nipo mahali aisee mdada kajifunguliq nyumbani sasa kijana now yupo 15yrs hana maamuzi anakosa hata ule uhuru binafsi kama mtoto kila kosa akifanya malalamiko anatukanwa Baba yake na kabila zima
Naona kesi ya malezi mabovu na ujinga wa huyo kijana imehusishwa kitu ambacho Hakuna uhakika kama kipo au hakipo.Sasa ndio hivyo mtoto anatesema huku kwa wajomba
Hao umamani kwao hawana busara. Hawajui maana ya malezi. Huwezi mtukana kijana anayekuwa kwa maneno ya namna hiyo, binafsi nitamlea kama mwanangu huyo kijana kuchukua nafasi ya baba anayemkosaNipo mahali aisee mdada kajifunguliq nyumbani sasa kijana now yupo 15yrs hana maamuzi anakosa hata ule uhuru binafsi kama mtoto kila kosa akifanya malalamiko anatukanwa Baba yake na kabila zima
😂😂😂 hahaha always done yaani tayari Hahaha kafanya yake 🙌Miaka 15 ukute baba Ake alishatupa story yake kule kwenye Kula kimasihala🤔
HahahahahahKumbe kuna kuzaliwa tena na hamsemi..
Tulia sasaNdio hivyo nilijisikia vibaya